McCollum
JF-Expert Member
- Jan 10, 2023
- 384
- 684
- Thread starter
- #41
Tabia hauzaliwi nayo, hii ndio fact.we unadhani watu wale wanaokuwaga wapole huwa unakuta amezaliwa hivyo sasa kwenye kukua uakuta kwa vile yeye ni mpole lazima mambo yake ni chini chini ndo maana utasikia wapole wankuaga na hasira au uakuta mtu historia yake tokea mtoto ni mkorofi sasa mara nyingi akiwa mkorofi uakuta yumo kwenye pombe sigara kuokana na nature ya alivyozaliwa...