Kuwa kocha sio mpaka ucheze mpira na point hapo ni kwamba sababu alikuwa na passion ukocha ulikuwa part time..., hata wewe hapo unaweza ukawa na kazi yako machinga au hata daktari ukitoka kazini au weekend unawafundisha madogo mtaani ukifanya vizuri watu watakuelewa...
Moral of the story: dunia ya sasa ni ya watu multi-skilled na unahitaji adaptability kuna makocha kibao wanajitolea bila kulipwa hata senti na wengine wengi zaidi ni jobless...; Waambie madogo just follow your dreams na passion ila sio uende kusomea kuwa kocha au pundit; unaweza ukaanza kufanya ukocha na ukitaka kupata FIFA badge unachukua vijikozi vichache tena vingine online