stonecutter
JF-Expert Member
- Jun 12, 2022
- 1,724
- 2,584
Mwijaku: Mimi mtu yoyote akinilipa namsifia
Na ndivyo walivyo Wasanii wetu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwijaku: Mimi mtu yoyote akinilipa namsifia
Na ndivyo walivyo Wasanii wetu
Hapo kwenye "wasanii wetu" naamini ulitaka kuandika "wanasiasa wetu" ama "Watanzania wetu".Mwijaku: Mimi mtu yoyote akinilipa namsifia
Na ndivyo walivyo Wasanii wetu 😀
Magu alikua diktetaYaani inawezekanaje kumsahau Magu, Eti hawataki atajwe Wala akumbukwe!!
Unajiuliza kwani Magu ambaye ameshafariki, akitajwa Kwa mazuri yake, anaathiri vipi utendaji wa Rais aliyepo?
Alikuwa dikteta aliyependwa na wananchi.Magu alikua dikteta
Tusi hapo liko wapiKatika mambo unayoyajua kwa ufasaha ni kutukana a.k.a matusi
Hahaha wenye chama hawa hapaAnakumbatia viroba vya uvundo havitowacha kumnukia!
Wakina Erythrocyte nabhuyu mleta mada, Kamanda nanilhilo? Chiembe..... list ni ndefu sana naweza jaza sava hapa nikapigwa ban.Hawa wa fake ID? Ok.
Kidumu cha mapunduzi!Hahaha wenye chama hawa hapa
Haya endeleeni kupinduanaKidumu cha mapunduzi!
Ok mkuu, ngoja tuwatakie kila la heri.Wakina Erythrocyte nabhuyu mleta mada, Kamanda nanilhilo? Chiembe..... list ni ndefu sana naweza jaza sava hapa nikapigwa ban.
Hayo ni Mapandikizi wanajinasibu CCM kumbe wapi, ukiingia kumi na nane unazushiwa mungu kasema. loh
Huna akiliUkisikiliza kwa umakini jinsi Samia Hassan Suluhu Mwenyekiti wa CCM Taifa anavyoongea kuhusu masuala mbalimbali ya kisiasa, unagundua ndani ya CCM Kuna kutokutakiwa kwake.
Siku hizi huoni Samia akiongea zaidi kama kiongozi mwenye mamlaka ndani ya CCM, bali ni kama kiongozi anayetegemea hatima yake toka kwa watu kama kina Makonda.
Mashambulizi dhidi yake ndani ya CCM yamekuwa makubwa Sana na dalili mojawapo ni jinsi wale wanaojiita waumini wa Magufuli ndani ya CCM wanavyoanza kumshambulia hadharani.
Kwa Sasa kama asingekuwa na cheo cha Urais nadhani wababe ndani ya CCM wangeshamfukuza chamani waweke mtu wao.
Hawajalala jana wamekesha, na leo mchana kutwa wamo tu humu. Wakiona Magu, Jiwe, Magufuli nao wanaanzisha hivi vi thread. Mfano hizi za Jenerali Mabeo. Yote hizi ni kuzima 'Juhudi'😆😅Ok mkuu, ngoja tuwatakie kila la heri.
Kidumu!Kidumu cha mapunduzi!
HahahaHawajalala jana wamekesha, na leo mchana kutwa wamo tu humu. Wakiona Magu, Jiwe, Magufuli nao wanaanzisha hivi vi thread. Mfano hizi za Jenerali Mabeo. Yote hizi ni kuzima 'Juhudi'😆😅
Waombewe kwa kweli. Nipo Chato leo.
Kama.jpm aliyetaka kuwa padre lakini urais ukamdondokea japo najua vyote asingeweza mana upadre inahitaji mtu mwadilifu siyo muuji na mfoka ovyo kama kidagaaYeye mwenyewe alitaka kuwa muhudumu WA ndege urais ni mzigo mkubwa saana kwake ni vile tuu Hana namna
Kwamba angeegemea kundi la watekaji wa sukuma gang ndio wangemsafishia?Shida alijichafua kuegemea upande wa wakina wazuri hawafi,,wamemuharibia kabisa