Naby Keita
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 12,893
- 20,089
Nendeni mkanywe juisi mpumbazwe tenaKwamba angeegemea kundi la watekaji wa sukuma gang ndio wangemsafishia?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nendeni mkanywe juisi mpumbazwe tenaKwamba angeegemea kundi la watekaji wa sukuma gang ndio wangemsafishia?
Adui muombee njaaUkisikiliza kwa umakini jinsi Samia Hassan Suluhu Mwenyekiti wa CCM Taifa anavyoongea kuhusu masuala mbalimbali ya kisiasa, unagundua ndani ya CCM Kuna kutokutakiwa kwake.
Siku hizi huoni Samia akiongea zaidi kama kiongozi mwenye mamlaka ndani ya CCM, bali ni kama kiongozi anayetegemea hatima yake toka kwa watu kama kina Makonda.
Mashambulizi dhidi yake ndani ya CCM yamekuwa makubwa Sana na dalili mojawapo ni jinsi wale wanaojiita waumini wa Magufuli ndani ya CCM wanavyoanza kumshambulia hadharani.
Kwa Sasa kama asingekuwa na cheo cha Urais nadhani wababe ndani ya CCM wangeshamfukuza chamani waweke mtu wao.
JiweShida alijichafua kuegemea upande wa wakina wazuri hawafi,,wamemuharibia kabisa
Tukanywe juice wapi? Mbona juice ni vitu virahisi sana, au kwako unaona hatari sana juice?Nendeni mkanywe juisi mpumbazwe tena
Hamna ishu nyie mliingia kichwakichwa na hao wazuri hawafi mkalambishwa vijuisi ikulu mkajiona mmewini sahivi mnaanza tena kulialia,, safari hii yale madafu sidhani kama yamewaacha salamaTukanywe juice wapi? Mbona juice ni vitu virahisi sana, au kwako unaona hatari sana juice?
To be honest hata sielewi unaongea utoto gani!Hamna ishu nyie mliingia kichwakichwa na hao wazuri hawafi mkalambishwa vijuisi ikulu mkajiona mmewini sahivi mnaanza tena kulialia,, safari hii yale madafu sidhani kama yamewaacha salama
Ningemshauri Mama apumzike, kiroho safi.25 sidhani kama ana chake
Rais ndio bosi wa chama na yeye ndio anapanga safi yake itakayoendelea kumuweka madarakani sidhani kama uko sahihiUkisikiliza kwa umakini jinsi Samia Hassan Suluhu Mwenyekiti wa CCM Taifa anavyoongea kuhusu masuala mbalimbali ya kisiasa, unagundua ndani ya CCM Kuna kutokutakiwa kwake.
Siku hizi huoni Samia akiongea zaidi kama kiongozi mwenye mamlaka ndani ya CCM, bali ni kama kiongozi anayetegemea hatima yake toka kwa watu kama kina Makonda.
Mashambulizi dhidi yake ndani ya CCM yamekuwa makubwa Sana na dalili mojawapo ni jinsi wale wanaojiita waumini wa Magufuli ndani ya CCM wanavyoanza kumshambulia hadharani.
Kwa Sasa kama asingekuwa na cheo cha Urais nadhani wababe ndani ya CCM wangeshamfukuza chamani waweke mtu wao.
Zidumuuuuuuuuuuuuuuu!Kidumu!
Zidumu fikra za John Pombe Magufuli....
Kiitikio huko😅😅😅😂😂😂
Ndo ukome kushobokea usiyoyajuaTo be honest hata sielewi unaongea utoto gani!
Subiri watoto wenzio kesho wakitoka shule mle wa wali kwa hisani ya watu wa marekani.Ndo ukome kushobokea usiyoyajua
Waliberali sogeeni tena ikulu mkapewe kajuisi kalichowekwa limbwataSubiri watoto wenzio kesho wakitoka shule mle wa wali kwa hisani ya watu wa marekani.
Wacha wafu wawazike wafu wao sisi inatuhusu Nini?Ukisikiliza kwa umakini jinsi Samia Hassan Suluhu Mwenyekiti wa CCM Taifa anavyoongea kuhusu masuala mbalimbali ya kisiasa, unagundua ndani ya CCM Kuna kutokutakiwa kwake.
Siku hizi huoni Samia akiongea zaidi kama kiongozi mwenye mamlaka ndani ya CCM, bali ni kama kiongozi anayetegemea hatima yake toka kwa watu kama kina Makonda.
Mashambulizi dhidi yake ndani ya CCM yamekuwa makubwa Sana na dalili mojawapo ni jinsi wale wanaojiita waumini wa Magufuli ndani ya CCM wanavyoanza kumshambulia hadharani.
Kwa Sasa kama asingekuwa na cheo cha Urais nadhani wababe ndani ya CCM wangeshamfukuza chamani waweke mtu wao.
Acha uongo weweUkisikiliza kwa umakini jinsi Samia Hassan Suluhu Mwenyekiti wa CCM Taifa anavyoongea kuhusu masuala mbalimbali ya kisiasa, unagundua ndani ya CCM Kuna kutokutakiwa kwake.
Siku hizi huoni Samia akiongea zaidi kama kiongozi mwenye mamlaka ndani ya CCM, bali ni kama kiongozi anayetegemea hatima yake toka kwa watu kama kina Makonda.
Mashambulizi dhidi yake ndani ya CCM yamekuwa makubwa Sana na dalili mojawapo ni jinsi wale wanaojiita waumini wa Magufuli ndani ya CCM wanavyoanza kumshambulia hadharani.
Kwa Sasa kama asingekuwa na cheo cha Urais nadhani wababe ndani ya CCM wangeshamfukuza chamani waweke mtu wao.
🤣 🤣 🤣Ukisikiliza kwa umakini jinsi Samia Hassan Suluhu Mwenyekiti wa CCM Taifa anavyoongea kuhusu masuala mbalimbali ya kisiasa, unagundua ndani ya CCM Kuna kutokutakiwa kwake.
Siku hizi huoni Samia akiongea zaidi kama kiongozi mwenye mamlaka ndani ya CCM, bali ni kama kiongozi anayetegemea hatima yake toka kwa watu kama kina Makonda.
Mashambulizi dhidi yake ndani ya CCM yamekuwa makubwa Sana na dalili mojawapo ni jinsi wale wanaojiita waumini wa Magufuli ndani ya CCM wanavyoanza kumshambulia hadharani.
Kwa Sasa kama asingekuwa na cheo cha Urais nadhani wababe ndani ya CCM wangeshamfukuza chamani waweke mtu wao.