Hizi ni dalili za kwamba wewe bado ni maskini/fukara na unatakiwa ukaze zaidi

Hizi ni dalili za kwamba wewe bado ni maskini/fukara na unatakiwa ukaze zaidi

1,hela siku zote zinahesabika kwa mkono,ila pesa haiwezekani lazima mashine ihusike.

2,chenji elfu 10 upewe 500 tupu kama zitakaa ktk wallet,vipi una pesa tayari?

3,wasifu hauhusiani na pesa kama maprof wengi wana status ila pesa hawana.

4,ndege[emoji28][emoji28],acha ushamba bana.

5,23mln kwa mwaka ni sawa na ave 1.8 per month,huyu mtu hata kipato cha kati cha juu hayupo,bado ni masikini.

6,kama unatumia 70mln kununua gari kati ya masikini wanaoweza kufikiri unatapanya pesa,bado u kati yao,ili uwe ni fogo kakae masaki ambapo ukinunua gari la 70mln unapongezwa.

7,haya mambo wanafanya masikini waliopata pesa za ghafla,wanaotafuta hela toka chini huwa hawaachi kuuliza bei.

8,kufanikiwa hakutegemei ndumba au njia haramu ila utajiri lazima mbinu haramu zitumike,ukitaka kunielewa nenda kaanze kulima matikiti ukisikilizia mtaji kufika tsh 1bln,utagundua ni kwa namna gani ni ngumu kuwa tajiri.

9,kuomba hela mpaka tusikie tusio husika ni ufukara,lakini kutoa pesa mpaka tusiohusika tusikie ni umasikini.

10,usichanganye msaada na biashara,ukitaka kufanya msaada unawezanunua mboga ya 250 kwa elfu 5,ila ukisimama kama mteja tu,utagundua 50 utakayopunguziwa inawezanunua kitunguu.
Mkorintho umeongea hoja mzuri Sana mkuu
 
1,hela siku zote zinahesabika kwa mkono,ila pesa haiwezekani lazima mashine ihusike.

2,chenji elfu 10 upewe 500 tupu kama zitakaa ktk wallet,vipi una pesa tayari?

3,wasifu hauhusiani na pesa kama maprof wengi wana status ila pesa hawana.

4,ndege[emoji28][emoji28],acha ushamba bana.

5,23mln kwa mwaka ni sawa na ave 1.8 per month,huyu mtu hata kipato cha kati cha juu hayupo,bado ni masikini.

6,kama unatumia 70mln kununua gari kati ya masikini wanaoweza kufikiri unatapanya pesa,bado u kati yao,ili uwe ni fogo kakae masaki ambapo ukinunua gari la 70mln unapongezwa.

7,haya mambo wanafanya masikini waliopata pesa za ghafla,wanaotafuta hela toka chini huwa hawaachi kuuliza bei.

8,kufanikiwa hakutegemei ndumba au njia haramu ila utajiri lazima mbinu haramu zitumike,ukitaka kunielewa nenda kaanze kulima matikiti ukisikilizia mtaji kufika tsh 1bln,utagundua ni kwa namna gani ni ngumu kuwa tajiri.

9,kuomba hela mpaka tusikie tusio husika ni ufukara,lakini kutoa pesa mpaka tusiohusika tusikie ni umasikini.

10,usichanganye msaada na biashara,ukitaka kufanya msaada unawezanunua mboga ya 250 kwa elfu 5,ila ukisimama kama mteja tu,utagundua 50 utakayopunguziwa inawezanunua kitunguu.
This comment is superbly assymmetrical to the post.Umemjibu vizuri mkuu.
 
Tukiachana na labda kushindwa kugharamia mambo yale ya lazima ili uweze kuishi, au kutokuwa na nyumba wala usafiri, basi hizi hapa dalili zingine ambazo hazitajwi sana ila zinamtafsiri kuwa huyu mtu ni maskini na anapaswa apambane sana.

1. Kuweza kuhesabu hela zako zote kwa mkono bila msaada wa mashine.

2. Hela zako zote kuenea kwenye wallet na wallet kukaa vizuri kwenye mfuko wa suruali bila kushtukiwa na yeyote.

3. Kutakiwa kujitambulisha kila sehemu utakayoenda. Waliofanikiwa wote huwa wanatambulishwa au MC husema "natambua uwepo wa Mr Mrangi hapa".

4. Kutowahi kutumia milango ya JNIA ile ya wanaoondoka na wanaowasili. Ina maana kutowahi kupanda ndege. Wenye mafanikio hujali muda.

5. Kuwa na pato la chini ya USD 10000 kwa mwaka. Yaani kama Tsh 23m kwa mwaka. Pambana sana.

6. Kuwaona wanaonunua magari ya kifahari kama vile wanatapanya pesa. Unaona mtu katumia labda Tsh 70m kununua ndinga kali halafu wewe unadai bora angenunua kiwanja. Huo ni umaskini.

7. Kuulizia bei kwanza kila ukiingia hotelini au mgahawani.

8. Kuwa na mashaka na kila tajiri kwa kudhani katumia mbinu chafu kupata utajiri.

9. Kuonyesha chuki kali kwa kina dada wanaoomba hela kwa wapenzi wao na kudhani wapenzi wao ni wajinga kutoa hela zao.

10. Kuomba punguzo la bei hata kwa kina mama wauza mboga mboga na vitu vingine vya nyumbani.

Kama una dalili zingine mzitaje.
Ningekutukana sema nimeheshimu jina unalotumia hapo
 
Umepiga mule mule.

Hiyo namba 4 hiyo...vere vere soon
 
HIZI NIMEKUELEWA ZAIDI

7. Kuulizia bei kwanza kila ukiingia hotelini au mgahawani.

8. Kuwa na mashaka na kila tajiri kwa kudhani katumia mbinu chafu kupata utajiri.


10. Kuomba punguzo la bei hata kwa kina mama wauza mboga mboga na vitu vingine vya nyumbani.
 
Unaonaje huo ukawa mtazamo wako binafsi baada ya kushiba makande kwa shemeji yako
 
Hii ni kweli kabisa

10. Kuomba punguzo la bei hata kwa kina mama wauza mboga mboga na vitu vingine vya nyumbani.
 
Ndio maana unamakalio kama flampeni!.
 
Back
Top Bottom