Hizi ni Hesabu zangu ambazo zinanipa Jeuri Kuamini kuwa bado Simba SC hii hii inayochekwa sasa itakuwa tena Bingwa wa NBC Premier League 2021/2022

Nipe matokeo Leo kwenye uwanja mzuri.
Yanga 0 timu iiliyomfunga Simba wakiwa pungufu 0.

Hakuna aliyelalamika kuhujumiwa leo pamoja na kuongopa kwa washika vibendera kuwa ni offside. Faulo za wazi za ndani ya kumi na nane ambapo ingekuwa wanacheza Simba ungeona refa kafunika penati. Au lasivyo ungeona nyuzi zingemiminika humu GSM anaharibu ligi.
 
Vyura wote wametoka kwenye vidimbwi. Mji umejaa kelele.
 
Mzee wa ID buku njoo na ID nyingine
 
Ondoa kmc haraka kisha tuendelee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…