Standards Person
JF-Expert Member
- Apr 22, 2021
- 672
- 860
Hiyo ni chai au umechoma ubani hapo mkuuHuu Uzi bila picha Ni chai[emoji116]View attachment 1764582
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo ni chai au umechoma ubani hapo mkuuHuu Uzi bila picha Ni chai[emoji116]View attachment 1764582
Mambo sindio hayo sasa,maneno na pichaMombo-Soni-Lushoto,
Mara ya kwanza unaweza usema huku sirudi tena.View attachment 1764642
🤣 🤣 🤣 🤣corner bar,sinza!!
Nimezipita hizi juzi tu.. Kona za kutosha yaniKuna kona wakati unakaribia Namtumbo ukitokea Tunduru... HATARI SANA
Haizishindi kona za kwenda Mbulu.Mombo-Soni-Lushoto,
Mara ya kwanza unaweza usema huku sirudi tena.View attachment 1764642
Sitasahau hapa nilikutana uso kwa uso na fuso usiku ipo full light, luckly hatukugongana...1. Kona za Iyovu - ukitoka tu mikumi kuelekea iringa utaziona Kona hizi, ni Tamu Sana
Upareni hakufaiii, na nyingine ni kona za Same to Chome na kona za ukiwa unatoka arusha kwenda Wilaya ya Mbulu...Kona ya Hedaru kwenda Vunta, same huko nasikia Kuna Waziri aliwahi kuzimia, alihisi kifo
I have been there aiseeee, mwanzo wakati naenda nilipewa lift kwenye gari ya serikali ilikuwa usiku sikuona tabu sana japo nilikaaa mbele, wakati narudi nilipanda Burdan Bus aiseee unaweza kuomba kushuka na jamaa wanalala nazo tu wala hawajali[emoji23][emoji23][emoji23] naisi ni moja kati ya barabara hatarishi Tanzania inaweza kuwa ya kwanza au ya pili, maana ile road ni nyembambaa mno, uwezi kufananisha na kitonga, maana kitonga cha mtotoMombo-Soni-Lushoto,
Mara ya kwanza unaweza usema huku sirudi tena.View attachment 1764642
Ungesema mbeya kuelekea Tukuyu mzeeKuna kona moja matata kutoka Mbeya kuelekea Malawi imepewa jina Uwanja wa ndege ni balaa,R.I.P nyingi zilipatikana pale hasa kwa wageni enzi hizo hadi kuna kibao cha onyokali,punguza mwendo,tembea taratibu[emoji591][emoji591][emoji591][emoji591]
Panaitwa kilima sela zamani kulikuwa na mlima mkubwa kipindi hicho barabara ya rami kwa upande wa songea ilikuwa inaishia namtumbo na upande wa masasi ilikuwa inaishia mangaka, usafiri enzi hizo unapanda Obama, Allah karim au Sadja gari zilikuwa zinalala tu, wachina wamefuta mlima wameacha kona..Kuna kona wakati unakaribia Namtumbo ukitokea Tunduru... HATARI SANA
Duh aki sitaki kupita njia hiyo nimeskia ni kona mno, ile kitonga tu mimi naskia kulia huko sijui itakuaje, kuna siku tunatoka Mbeya kufika kitonga pale naona watu wanalia wameumia kuuliza ni ajali na gari imedumbukia kule chini ingawa si kule bondeni sanaa na hao watu wametolewa huko na kuletwa huku juu kwa ajili ya kuwaishwa hospital duh😪😪nilitetemeka maana dereva wetu alikua anaenda speed na hizo kona hajali.Mkuu funga safari utoke iringa kwenda dodoma au dodoma kwenda iringa via Mtera utakuja kuelezea hiyo kitonga ni cha mtoto