The Eric
JF-Expert Member
- Feb 23, 2019
- 6,446
- 10,976
usafiri ni noah 2000 tu mpaka kijiji 😊 kuna kona ya mbulu nasikia ni rough road iyo ni funga mwaka.I wish siku moja nipite kona kuelekea Ugweno nione yaliyomo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
usafiri ni noah 2000 tu mpaka kijiji 😊 kuna kona ya mbulu nasikia ni rough road iyo ni funga mwaka.I wish siku moja nipite kona kuelekea Ugweno nione yaliyomo
Ipo Njia ya Mkato, Unatokea Mwanza, Nzega, Tabora, Ipole, Chunya, Mbeya. Masaa 8 unaiona Mwanza kama gari iko poa.Ivi hamna njia mkato kupitia Tabora hadi Mbeya ukitokea Mwanza?
Kona za mkoa zinaitwa unaona bonde la Usangu lileee na gari ikianguka kule ni bye byeee na angalau sasa njia ni rami wamepunguza na milima zamani kipindi hakuna rami ukiwa ndani ya boysasa pale unasali tu.Kona hatari ni kona za kutoka Mbeya kwenda Chunya. Kona nyingine inaitwa Gangi tololi, kutoka Njombe kwenda Ludewa.
Ok, naona gari zinazungukia Dodoma nilidhani Hanna njia ya mkatoIpo Njia ya Mkato, Unatokea Mwanza, Nzega, Tabora, Ipole, Chunya, Mbeya. Masaa 8 unaiona Mwanza kama gari iko poa.
Ile njia ni ya kifala sana. As if hayo makona hayatoshi, mwanzoni ilikua ukimaliza izo kona tu kwa mbele kidogo kuna mto mpana nadhani unaingiza maji lake manyara na palikua hamna daraja! Kwahiyo mnapiga mbizi na magari yenu mnaibukia upande wa pili.Magara kwenda Mbulu usha wahi pita ile njia? Hahaaa pira siku moja na hutaomba kurudi na hio njia
Kona za kilimasera njia tunduru toKuna kona wakati unakaribia Namtumbo ukitokea Tunduru... HATARI SANA
Huko Chunya kwenyewe kuna kona hatariIpo Njia ya Mkato, Unatokea Mwanza, Nzega, Tabora, Ipole, Chunya, Mbeya. Masaa 8 unaiona Mwanza kama gari iko poa.
Mkuu, njia ipo unapita mwanza tabora rungwa makongolos chunya mbeya tena ni njia fupi kuliko kuzunguka dodoma..ila tatizo ni njia mbovu sana haina lamiIvi hamna njia mkato kupitia Tabora hadi Mbeya ukitokea Mwanza?
Mbeya-Chunya walishatandaza lami..sijajua huko kwingine.Mkuu, njia ipo unapita mwanza tabora rungwa makongolos chunya mbeya tena ni njia fupi kuliko kuzunguka dodoma..ila tatizo ni njia mbovu sana haina lami
We mngoni, mndendeule au myao..!?Kona za kilimasera njia tunduru to
songea
Mimi pressure ilipanda mwaka 2015 tulikuwa tunatoka Hedaru kwenda huko Vunta ...ilee barabara shikamooo!Vunta ni hatari mno, ni moja Kati ya dangerous roads, na hiyo ya Ugara kwenda Mbulu basi haziwezi kupita Kona ni Kali Sana.
Hizi Kona mbili kifo unakiona kileeee
Kawetere kona gan sas, au mlima? Na kama ukitumia mlima bhas kawetere ndio highest point trunk kwa east afrika hakuna barabara ipo juu vile. Hivyo ungeweka namba mojaKona namba moja ilipaswa kuwa nyang'oro , kutoka mtera kwenda iringa.
Na namba mbili ilipaswa kuwa lipumburu, kutoka njombe kwenda songea
Na namba 3 ilipaswa kuwa kawetere
[emoji23] [emoji23] Sio mbaya zinajitahidiKona za Kazimzumbwi, Kisarawe.
Wasambaa ni madereva asee na unaweza kuta wengine hawana leseni wanatumia uzoefu tu.Mi nashangaa watu wanafananisha eti na mburu kusiko hata na maporomoko,
Burdani anapitaga na mpaka 90kmph usiku, Madereva Wageni wengine wakifika Mombo wanaomba Mwenyeji awasaidie kupandisha, No chance for mistakes juu kuna jabali, chini kuna falls kati hapatoshi.
Cha kushangaza Sijawahi sikia ajali njia ilee.
Nlifika huko lolo mpaka nyandiraMorogoro kuna Njia ya kutoka Mlali kwenda Mgeta Kibaoni kuna mlima hatari kuna Kona kali na miinuko mikali pia wameweka kalavati za kupitisha maji kwa juu na njia ni nyembamba. Kama dereva mgeni akipita na gari manual atapata tabu Sana.Ukienda mbele zaidi utakutana na vilima huko Nyandira.
Kabisa King cross, safari ilikuwa ndefu sana ile kwenye zile kona mnatumia saa zima bado mnahangaika na kona ikitokea gari nyingine lazima msimame ili muweze kupishana, saizi lami hata kona zimepungua na barabara imekuwa pana.Utakuwa ulikuwa unapanda KING CROSS/MFALME WA KONA AU URAFIKI.[emoji3]
still ni nyanda za juu kusini au sio boss?Ni kona kali na nyingi ila hazitishi kama za mlima kawetele barabara ya Chunya