Hizi ni kona kali na milima, kwa barabara nchini, taja nyingine

Hizi ni kona kali na milima, kwa barabara nchini, taja nyingine

Umetupiga kamba mzee, Ruaha hiyo ya wapi?
Ruaha inaingiza maji mtera pale Ila ipo mbali kidogo sehemu kubwa linaonekana bwawa la mtera labda pale darajani upande wa pili ni mto ruaha.
 
Habari jamvi?, kwa wale wazurulaji nchini

Ukizunguka nchini utakutana na sehemu maarufu , kimandhari na kimuonekano.

Leo naongelea sehemu za barabara nchini ambazo Zina Kona Kali na sehemu ya milima, nataja chache nyingine ongeza

1. Kona za Iyovi - ukitoka tu mikumi kuelekea Iringa utaziona Kona hizi, ni Tamu Sana
2. Kona za kitonga - hizi zinapatikana kutoka Moro kwenda Iringa.

3. Kona za Kolo- hizi zinapatikana kutoka Kondoa kuelekea Babati

4.Kona za Nyang'olo - hizi zinapatikana unapokaribia kufika Iringa kutokea Dodoma

5. Kona za Lukumbulu Songea huko

6. Kona za Msambiazi, Korogwe kuelekea Mombo
7. Kona za Mombo kuelekea Soni - Lushoto
8.Kona za Mbeya kwenda Chunya
9. Kona za Ugara - Babati kwenda Mbulu - hapa kitonga chamtoto Cha ngedele
10. Kona za Hedaru - Vunta, Same

Ni Kona hatari lakini Tamu Sana, na mabasi huwa wanalala na Kona hizi kwa speed ya 120 yaani shaa.

Ongeza Kona Kali nyingine
Moshi,Rombo,Rongai
 
Mi nawashangaa sana wapare wanawacheka sana sana kwao hivyi ni vitu vya kawaida kabisa katika umri wangu mkubwa sijawahi sikia ajali yeyote mbaya iliyotokea kwenye milima ya kwenda Pare nina wasi wasi aliyetoa uzi huu atakuwa ni mtu wa dar Mzaramo maana akiona kichuguu kwake ni mlima maana hajawahi ona
Anywa mtoa mada ni jokes tu tufurahi ahsante kutuletea mada 😀😀😀😀😀
 
Kona za kupandisha mlima kutokea mwanga kilimanjaro unaelelekea kijiji kinaitwa ugweno baba ile naifananisha na death road ilioko Bolivia lakini haina ajali za ovyo ovyo
Kama Peru kule,Kuanzia hapa Mwanga kuisaka Lambo kuna Kona za kichokozi
 
Back
Top Bottom