umesema visa ni bure halafu uamiaji ni pesa yako🤔🤔🤔... ok bora visa ingekuwepo tu.Uhamiaji ni pesa yako na vigezo vyako tu
Nchi zenyewe za hovyo hovyo... US na Canada ndo kilakitu.
Visa na passport ni vitu viwili tofautiWewe
umesema visa ni bure halafu uamiaji ni pesa yako🤔🤔🤔... ok bora visa ingekuwepo tu.
Me tatimba nchini Niue inaonekana kuna magoli sanaa ya kutoboa ila ndo ivo uhai inakua roho mkononiWabongo nyoso ni wananchi ambao hawana desturi ya kusafiri nje ya nchi. Wote tumesongamana hapa Nchini utafikiri watoto wanaosubiria nyumba ya urithi.
Nchi zinazotoa VISA ya bure kwa Watanzania.
View: https://www.instagram.com/p/CxC5PRyuwra/?igshid=MzRlODBiNWFlZA==
Japokuwa Nchi yetu inashika orodha ya idadi kubwa ya Raia ambao ni zaidi ya milion 60, na kwa Afrika mashariki ndio vinara wa idadi kubwa ya raia, ila hatuna watu wengi wanaotoka nje ya nchi.
Moja wapo ya sababu nchi yetu sio maarufu Duniani kote kama Wanaijeria, wasauzi na Wakenya, ni kuwà Nchi yetu Raia wake sio wengi ughaibuni.
Ukienda nchi za wenzetu Wabongo unaweza kuwatafuta kwa Tochi na usiwapate. Hizo hapo juu ni nchi ambazo huitaji kibali cha Visa kuingia kwao, Yani ni wewe na nauli yako na passport yako basi.
Sasa unakuta na Nchi ni ya Free VISA ila Wabongo bado huwakuti. Hii ni shida sana, na hizi fursa za free VISA watu kama Wanaijeria uwa hawazichezei kabisa.
Ndio maana naijeria ni nchi maarufu duniani kwa sababu Raia wake wametapakaa na kuitangaza nchi hivyo hivyo kwa wasauzi na Wakenya.
Swali zuriUnawajua watu wanaitwa uhamiaji?
hao mara nyingi wanaishi kivyao vyao vya na mitaa yao, hata kuchanganyana na wabongo iwe kwenye misiba, kuoana, n.k. wapo kivyao vyao.Mbona Wachina, Wahindi, Wabelgiji, waarabu na watu wamataifa mengi yasiyo ya kiingereza wanakuja bongo na wengine hawajui hata kiingereza
hao mara nyingi wanaishi kivyao vyao na mitaa yao, hata kuchanganyana na wabongo iwe kwenye misiba, kuoana, n.k. wapo kivyao vyao.Mbona Wachina, Wahindi, Wabelgiji, waarabu na watu wamataifa mengi yasiyo ya kiingereza wanakuja bongo na wengine hawajui hata kiingereza
Moja wapo ya sababu nchi yetu sio maarufu Duniani kote kama Wanaijeria, wasauzi na Wakenya, ni kuwà Nchi yetu Raia wake sio wengi ughaibuni.
Hao ndo wazuri sasa kuchangamana na wapuuzi kunaleta majunguhao mara nyingi wanaishi kivyao vyao vya na mitaa yao, hata kuchanganyana na wabongo iwe kwenye misiba, kuoana, n.k. wapo kivyao vyao.
Aisee!Nchi zenyewe za hovyo hovyo... US na Canada ndo kilakitu.