Hizi ni Nchi zinazotoa VISA bure, Wabongo tunafeli wapi kusongamana ughaibuni kama Wanaijeria

Me tatimba nchini Niue inaonekana kuna magoli sanaa ya kutoboa ila ndo ivo uhai inakua roho mkononi
 
Mbona Wachina, Wahindi, Wabelgiji, waarabu na watu wamataifa mengi yasiyo ya kiingereza wanakuja bongo na wengine hawajui hata kiingereza
hao mara nyingi wanaishi kivyao vyao vya na mitaa yao, hata kuchanganyana na wabongo iwe kwenye misiba, kuoana, n.k. wapo kivyao vyao.
 
Mbona Wachina, Wahindi, Wabelgiji, waarabu na watu wamataifa mengi yasiyo ya kiingereza wanakuja bongo na wengine hawajui hata kiingereza
hao mara nyingi wanaishi kivyao vyao na mitaa yao, hata kuchanganyana na wabongo iwe kwenye misiba, kuoana, n.k. wapo kivyao vyao.
 
Moja wapo ya sababu nchi yetu sio maarufu Duniani kote kama Wanaijeria, wasauzi na Wakenya, ni kuwà Nchi yetu Raia wake sio wengi ughaibuni.

Sababu kubwa ni kwamba kupata MKOBA napo ni kipengele ,bureaucracy kama yote ,kijana ambaye nayetafuta maisha kwenda kutoa laki 3 ya passport ,halafu 1.5m ya nauli then hajui anaenda kufanya mishe gani ,anaona hiyo 2m ni bora apambane hapa hapa Bongo.
 
hao mara nyingi wanaishi kivyao vyao vya na mitaa yao, hata kuchanganyana na wabongo iwe kwenye misiba, kuoana, n.k. wapo kivyao vyao.
Hao ndo wazuri sasa kuchangamana na wapuuzi kunaleta majungu
 
Sasa si bora nibakie zangu Kipumbwiko huku kuliko kwenda Pakistan
 
Nchi zenyewe zimechoka hizo hapo yenye ahuweni ni Singapore 🇸🇬 tu hapo ila zungine bora kubaki zako Bahi chimendel huko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…