Clear37
Senior Member
- Oct 25, 2023
- 113
- 165
Kivipi mkuu?fafanua kama unauelewa na huo mchakato.Yes unaingia tuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kivipi mkuu?fafanua kama unauelewa na huo mchakato.Yes unaingia tuu
HahahahahNauli yenyewe tu ya kutufikisha ofisi za uhamiaji ni shida mbali na ile ya kutufikisha huko ughaibuni. Ukisikia watanzania tu masikini iwe inaeleweka mara moja na ukitaka mifano pita jimboni kwa Madelu ujionee nyumba zetu za tembe zenye kimo cha futi tano tu.
Nauli yenyewe tu ya kutufikisha ofisi za uhamiaji ni shida mbali na ile ya kutufikisha huko ughaibuni. Ukisikia watanzania tu masikini iwe inaeleweka mara moja na ukitaka mifano pita jimboni kwa Madelu ujionee nyumba zetu za tembe zenye kimo cha futi tano tu.
Kuingia kwake ni mtitiExposure ndogo
Mtu hajui hata Bahamas na USA ni masaa mawili tu....
Wa Nigeria wapo kila nchi
Unaweza kosa hata nauli yakurudi home.Bora upigike Tanzania ( nyumbani kwako ) kuliko kupigika ugenini
Tatizo sio lugha, wachina wamejazana Tanzania kingereza hawajui na kiswahili ni shidaYeah lugha inaweza kuwà na impact lakini si hipi uzito kwa sababu... Mimi nimewahi kukutana na Mnaijeria jijini Mwanza, yupo kwenye Vibanda vya kubetia anabeti na hajuhi kiswahili, na anaowaongelesha nao ni wa kiingereza cha kuungaunga. Mbona Wachina, Wahindi, Wabelgiji, waarabu na watu wamataifa mengi yasiyo ya kiingereza wanakuja bongo na wengine hawajui hata kiingereza, wanakaa wanaanza kujifunza mdogo mdogo kiswahili kwa kuunga unga. Kwa nini tusiwe wa kama wao... Mbona sauzi tunasongamana na wasauzi hawajui kiswahili na tunaishi nao... Kwa nini Tusiende mataifa mengine tukafanya hivyo hivyo
Yeah Bado nipo hukuBado uko Dubai?
Mkuu wangu naona unapoteza tu muda wako...jamaa anakwepa swali lako alafu anajifanya kujua sana...Unawajua uhamiaji?
Uhamiaji utaenda tu, finger print utaziweka online?, ajabu utaambatanisha resent picha, ila bado utatakiwa kwenda kupiga picha. Hapo bado haijaenda kupitiwa na kurudishwa au kukubaliwa ombi lako hilo.Huitaji kwenda uhamiaji kupata Passport,. passport unaweza kuomba online na kila kitu kufanyia online siku ya kwenda unapeleka tu Documents ambazo ukizoziweka online.