Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wabongo nyoso ni wananchi ambao hawana desturi ya kusafiri nje ya nchi. Wote tumesongamana hapa Nchini utafikiri watoto wanaosubiria nyumba ya urithi.
Nchi zinazotoa VISA ya bure kwa Watanzania.
View: https://www.instagram.com/p/CxC5PRyuwra/?igshid=MzRlODBiNWFlZA==
Japokuwa Nchi yetu inashika orodha ya idadi kubwa ya Raia ambao ni zaidi ya milion 60, na kwa Afrika mashariki ndio vinara wa idadi kubwa ya raia, ila hatuna watu wengi wanaotoka nje ya nchi.
Moja wapo ya sababu nchi yetu sio maarufu Duniani kote kama Wanaijeria, wasauzi na Wakenya, ni kuwà Nchi yetu Raia wake sio wengi ughaibuni.
Ukienda nchi za wenzetu Wabongo unaweza kuwatafuta kwa Tochi na usiwapate. Hizo hapo juu ni nchi ambazo huitaji kibali cha Visa kuingia kwao, Yani ni wewe na nauli yako na passport yako basi.
Sasa unakuta na Nchi ni ya Free VISA ila Wabongo bado huwakuti. Hii ni shida sana, na hizi fursa za free VISA watu kama Wanaijeria uwa hawazichezei kabisa.
Ndio maana naijeria ni nchi maarufu duniani kwa sababu Raia wake wametapakaa na kuitangaza nchi hivyo hivyo kwa wasauzi na Wakenya.
Nilipitia Airport tu nikiwa naenda Sydney sikupata picha halisi ya hiyo nchiUshawai kufika Malaysia wewe
Hapo mji upi ambao unafaa kwa maisha ukiacha mji mkuu waoNi sehemu nzuri sana
Unasafiri vipi na hujui nini utaenda kufanya huko ili uweze kuishi?Jibu swali kwa nini wabongi nyoso hampendi kusafiri nje ya Nchi
Passport ni 150,000.Sababu kubwa ni kwamba kupata MKOBA napo ni kipengele ,bureaucracy kama yote ,kijana ambaye nayetafuta maisha kwenda kutoa laki 3 ya passport ,halafu 1.5m ya nauli then hajui anaenda kufanya mishe gani ,anaona hiyo 2m ni bora apambane hapa hapa Bongo.
Umefungua uzi na kuanza mjadala ukiwa huna taarifa zitakazo pelekea uzi wako kuwa potential kama title inavyosomeka.Huitaji kwenda uhamiaji kupata Passport,. passport unaweza kuomba online na kila kitu kufanyia online siku ya kwenda unapeleka tu Documents ambazo ukizoziweka online.
Si hata kutalii... Ukienda kutalii ndio unajifunza na fursa zilizopo... Sasa wewe huko Tanzania unataka kujua ukafanye mishe gani wakati hujawai kupaona... Hata wenzako wanaofata vitu nje ya nchi, mara ya kwanza wanaenda kama wataliiPassport ni 150,000.
Issue inakuja unaenda kufanya mishe gani huko. Inabidi kwanza mtu ujue sio kwenda tu
Ndugu yangu..wabongo na kutalii wapi na wapi? Utalii wa ndani tu umetushinda..ni wenye pesa zao tu ndo wanaweza kuwaza kwenda kutalii huko.Si hata kutalii... Ukienda kutalii ndio unajifunza na fursa zilizopo... Sasa wewe huko Tanzania unataka kujua ukafanye mishe gani wakati hujawai kupaona... Hata wenzako wanaofata vitu nje ya nchi, mara ya kwanza wanaenda kama watalii
Huko kwenye nafuu wanachomoa figo na moyo kama hawana akili nzuriZaidi ya HongKong na Singapore, hakuna nchi za maana.
Omba Green Lotary ya Marekani kwenye mtandao wao, ukishinda unapewa Visa... sema hizi nchi zinazohitaji Visa zina complications sana na kupata mpaka uwe mtalii, mwanafunzi au uwe na kazi maalumu iliyokupeleka huko... Unless ujue jinsi ya kudili na hizi viza, Canada nasikia ndio pa kwendaNdugu yangu..wabongo na kutalii wapi na wapi? Utalii wa ndani tu umetushinda..ni wenye pesa zao tu ndo wanaweza kuwaza kwenda kutalii huko.
Mfano mimi hapa sina mapesa zaidi ya kuweza kujitafutia passport, nataka kwenda kutafuta maisha nje ya nchi , naanzia wapi?
Nipo serious nataka kuondoka hapa...
Fursa naona Singapore, hongkong wachina kibaoSingapore, Hongkong huku kuna fursa gani mnaojua?
Hiyo bahati nasibu hapana, nataka hizi visa free countries hata burundi, sema sina pa kuanziaOmba Green Lotary ya Marekani kwenye mtandao wao, ukishinda unapewa Visa... sema hizi nchi zinazohitaji Visa zina complications sana na kupata mpaka uwe mtalii, mwanafunzi au uwe na kazi maalumu iliyokupeleka huko... Unless ujue jinsi ya kudili na hizi viza, Canada nasikia ndio pa kwenda
Wabongo nyoso ni wananchi ambao hawana desturi ya kusafiri nje ya nchi. Wote tumesongamana hapa Nchini utafikiri watoto wanaosubiria nyumba ya urithi.
Nchi zinazotoa VISA ya bure kwa Watanzania.
View: https://www.instagram.com/p/CxC5PRyuwra/?igshid=MzRlODBiNWFlZA==
Japokuwa Nchi yetu inashika orodha ya idadi kubwa ya Raia ambao ni zaidi ya milion 60, na kwa Afrika mashariki ndio vinara wa idadi kubwa ya raia, ila hatuna watu wengi wanaotoka nje ya nchi.
Moja wapo ya sababu nchi yetu sio maarufu Duniani kote kama Wanaijeria, wasauzi na Wakenya, ni kuwà Nchi yetu Raia wake sio wengi ughaibuni.
Ukienda nchi za wenzetu Wabongo unaweza kuwatafuta kwa Tochi na usiwapate. Hizo hapo juu ni nchi ambazo huitaji kibali cha Visa kuingia kwao, Yani ni wewe na nauli yako na passport yako basi.
Sasa unakuta na Nchi ni ya Free VISA ila Wabongo bado huwakuti. Hii ni shida sana, na hizi fursa za free VISA watu kama Wanaijeria uwa hawazichezei kabisa.
Ndio maana naijeria ni nchi maarufu duniani kwa sababu Raia wake wametapakaa na kuitangaza nchi hivyo hivyo kwa wasauzi na Wakenya.