Hizi ni sababu zangu kuu tano za kwa nini sitampigia kura Samia Suluhu Hassan kama atasimamishwa na chama chake

Hizi ni sababu zangu kuu tano za kwa nini sitampigia kura Samia Suluhu Hassan kama atasimamishwa na chama chake

mimi zangu 5 ni hizi

1. Amesginswa sector ya Afya kwa 86%

2.Ameshindwa kwenye sector ya uchumi wa nchina kuongeza mianya ya matumizi mabaya ya fedha za serikali na kodi zisizoelewaka na kufanya uchumi wa wananchi kutoeleweka.

3. Amefail kabisa kwenye uongozi wa kimadarakaa wa wateuzi wake kwa kuwa na washauri wabovu sana haijawahi tokea, na ndio wamemuangusha, hakutumia akili wakati wa kuchagua cabinet ya washauri wake since mwanzo, so ameharibu a lot of secters cas of that thing, hivo ni big no.

4.Sijui ni tamaa ya kupenda easy things, au kukosa akili ya uongozi au ndo washauri wapuuzi, but ameharibu sana kutobalance issue ya mikopo na kupelekea upuuzi wa kodi zisizoleta uafadhari, miradi iso na maana yakipigaji, yani full stupidness jwenye mzunguko wa fedha,so ni big no

5. Suala la uuzwaji na ugawaji ovyo raslimali za nchi bilakujali umuhimu kwa nchi na,wananchi, hana mpango endelevu wowote wa maana kwa nchi, ujinga ujinga tu badala ya kufocus na vitu muhimu, yani ana upuuzi mwingi sana.

sio kwa ubaya au chuki,butkwa issue yakimaswalz ya nchi kwangu ni big no😪
Hivi na nyinyi binafsi nafamilia zenu mnaziongoza vizuri kama mnavyochambua hapa?
 
Niende moja kwa moja. Ikiwa CCM watamsimamisha Samia kuwa mgombea katika uchaguzi mkuu 2025 sitampigia kura yangu kwa sababu zifuatazo.

1. Matukio ya utekaji yanaongezeka siku hadi siku. Sijui anajisikiaje kuachanisha familia za watu, kuwaacha watoto bila wazazi kwa kuteka na kupoteza watu. Ni kawaida kwa nchi sasa mtu kupotea na kupoteza maisha kabisa alaf polisi wakasema hawana taarifa naye. Ni kawaida mtu kurepotiwa kwamba ametekwa na polisi hawana taarifa baadaye utasikia alikua mikononi mwa polisi. Huu ni ukatili wa Samia

2. Kuongezeka kwa tozo. Katika kipindi chake tozo katika miamala ya simu imekua kero, mbaya zaidi hatuoni ni wapi fedha hzo zinaenda. Nachelea kusema kuna genge linatafuna fedha hizo.

3. Kubinafsisha bandari kama si kuuza kabisa ni jambo ambalo linakera sana. Kwa sababu pamoja na bandari kuchukuliwa na DP world bado hakuna ahueni yoyote. Kama ume import gari kipindi cha karibuni utakubaliana na mimi kwamba charges zimeongezeka sana.

4. Mfumuko wa bei wa bidhaa mbali mbali hasa zile bidhaa muhimu. Katika nchi hii bei ya sukari iko juu pengine kuliko nchi yoyote jirani inayotuzunguka. Ameshindwa ku conroll hilo. Ajabu na kweli ni pale ambapo bei ya mafuta nchini kwetu ukilinganisha na nchi jirani ambazo zina import mafuta kupitia bandari ya DSM ni ndogo kuliko sisi

5. Wizi serikali na nidhamu ya hovyo imezidi mara dufu. Report ya CAG kila ikitoka lazima ije na report za ufujaji wa fedha uliokithiri. Kwa miaka hii imekua kawaida sana na huoni hatua zikichukuliwa. Zile kauli za 'utanijua mimi ni nani' zimerudi kwa kasi, yani unaweza kudhulumiwa haki yako na hakuna kitu utafanya.

Sitampigia kura Samia 2025. Kama una ungana nami ongeza mengine. Na kama huungani nami prove me wrong.
Bingwa kama unabweka vile!
 
Hata usipompigia bado atashinda tu uraisi. Hapa umejichosa bure kuja kuandika mambo ambayo hayatokuwa na tija yoyote katika uchaguzi.

Enzi za chama kimoja, kuna watu ambao hawakuwa wanapiga kura, lakini raisi alipita kupitia wale wale wachache waliompigia kura.

Enzi za vyama vingi kuna watu hawakumpigia kura Mkapa, lakini alipita na kuongoza nchi kwa miaka 10.
Enzi za Kikwete ilikuwa ni mshike mshike kweli kweli, lakini mwisho wa siku Kikwete kashinda chaguzi zote na kukaa madarakani miaka 10.

Wakati wa uchaguzi wa 2015, kulikuwa na amsha amsha pamoja na propaganda zaidi ya hizi ulizoandika hapa, vyama viliungana, wapinzani wenye mvuto mkubwa pia waliungana hadi kupelekea wapinzani hao kuanza kupanga kabisa baraza lao la mawaziri kabla ya uchaguzi.

Mgombea wao akawambia mabisa kuwa wasiposhinda uraisi hiyo 2015, ndo basi tena hawatokuja kushinda mpaka miaka 50 mingine ipite. Lakini mwisho wa siku CCM ikashinda na Magufuli akawa raisi kwa muhula wa kwanza na wa pili ambao ulileta matokeo yaliowaacha watu wengi midomo wazi kutokana na shutuma nyingi alizopewa kabla ya uchaguzi kupitia ndani ya chama chake, na upinzani.

Hivyo hata hiyo 2025 bado Samia ataendelea kupeta tu kama kawa. Angalau kidogo 2030, kwa vile atakuwa sio yeye raisi ndo mgombea wa kiti. Hivyo mgombea mpya ataweza kukumbana na challenge za hapa na pale.
Ni kweli amejisumbua kuandika. CCM itajichukulia kura itakazoamua kuchukua. Ht wote wasipopiga Kura bado CCM itashinda tu, tena kwa kishindo. Imekuwa hivyo siku zote na ndivyo itakavyokuwa. Nape keshawapa elimu, bado hamuelewi tu? Na hata watu 100 wakishiriki Kura halafu Rais akatangazwa Amepata kura 100,000,000 bdo hakuna la kufanya kwa sababu matokeo yake hayahojiwi mahali popote. Ndiyo Nchi ya hovyo inayoitwa Tanzania ktk Karne hii ya 21.
 
Niende moja kwa moja. Ikiwa CCM watamsimamisha Samia kuwa mgombea katika uchaguzi mkuu 2025 sitampigia kura yangu kwa sababu zifuatazo.

1. Matukio ya utekaji yanaongezeka siku hadi siku. Sijui anajisikiaje kuachanisha familia za watu, kuwaacha watoto bila wazazi kwa kuteka na kupoteza watu. Ni kawaida kwa nchi sasa mtu kupotea na kupoteza maisha kabisa alaf polisi wakasema hawana taarifa naye. Ni kawaida mtu kurepotiwa kwamba ametekwa na polisi hawana taarifa baadaye utasikia alikua mikononi mwa polisi. Huu ni ukatili wa Samia

2. Kuongezeka kwa tozo. Katika kipindi chake tozo katika miamala ya simu imekua kero, mbaya zaidi hatuoni ni wapi fedha hzo zinaenda. Nachelea kusema kuna genge linatafuna fedha hizo.

3. Kubinafsisha bandari kama si kuuza kabisa ni jambo ambalo linakera sana. Kwa sababu pamoja na bandari kuchukuliwa na DP world bado hakuna ahueni yoyote. Kama ume import gari kipindi cha karibuni utakubaliana na mimi kwamba charges zimeongezeka sana.

4. Mfumuko wa bei wa bidhaa mbali mbali hasa zile bidhaa muhimu. Katika nchi hii bei ya sukari iko juu pengine kuliko nchi yoyote jirani inayotuzunguka. Ameshindwa ku conroll hilo. Ajabu na kweli ni pale ambapo bei ya mafuta nchini kwetu ukilinganisha na nchi jirani ambazo zina import mafuta kupitia bandari ya DSM ni ndogo kuliko sisi

5. Wizi serikali na nidhamu ya hovyo imezidi mara dufu. Report ya CAG kila ikitoka lazima ije na report za ufujaji wa fedha uliokithiri. Kwa miaka hii imekua kawaida sana na huoni hatua zikichukuliwa. Zile kauli za 'utanijua mimi ni nani' zimerudi kwa kasi, yani unaweza kudhulumiwa haki yako na hakuna kitu utafanya.

Sitampigia kura Samia 2025. Kama una ungana nami ongeza mengine. Na kama huungani nami prove me wrong.
Umpigie au usimpigie ndio atakuwa Rais.

Pili una Haki ya kupigia unapoona panafaa Kwa mujibu wa sababu zako
 
kama bado unafikiri ccm wanategemea kura za wananchi kushinda chaguzi mbalimbali hasa uchaguzi mkuu. basi hili bandiko lako ni batili
 
Muda utaamua ila ameimislead sana nchi...nafasi ambayo angeimudu ni waziri wa utalii pekee,tena bila kujihusisha na maliasili!
 
Ni kweli amejisumbua kuandika. CCM itajichukulia kura itakazoamua kuchukua. Ht wote wasipopiga Kura bado CCM itashinda tu, tena kwa kishindo. Imekuwa hivyo siku zote na ndivyo itakavyokuwa. Nape keshawapa elimu, bado hamuelewi tu? Na hata watu 100 wakishiriki Kura halafu Rais akatangazwa Amepata kura 100,000,000 bdo hakuna la kufanya kwa sababu matokeo yake hayahojiwi mahali popote. Ndiyo Nchi ya hovyo inayoitwa Tanzania ktk Karne hii ya 21.
Tatizo ni aina ya wagombea wabovu wanaopambana na wa CCM. Unampigiaje kura mtu ambae haijulikani anaishi wapi. I mean unapigaje kura kwa mtu ambae leo yupo Tanzania, kesho yupo Ubelgiji?

Si nchi itakuwa kama ile ya Cameroon ampapo baraza la mawaziri lipo cameroon lakin raisi wao anaishi zake Ufaransa, yan akienda Cameroon ni kuchungulia kwa muda kisha anatokomea zake Ufaransa kula bata na familia yake.
 
Mimi naamini Jani moja likidondoka kwenye nyumba sidhani kama nyumba hiyo itavuja,ili unogeshe zaidi shawishi na wanafamilia wako wasimpigie ila 2025 Samia ndo rais wako,mikumi tena Kwa mama samia
 
Samia anasapotiwa kwa nguvu lubwa na kakikundi kadogo ka wahuni (wezi) wanaofaidi keki ya Taifa peke yao, huku kakichagizwa na chawa kadhaa wanaoambulia mabaki ya ukoko!.
 
Niende moja kwa moja. Ikiwa CCM watamsimamisha Samia kuwa mgombea katika uchaguzi mkuu 2025 sitampigia kura yangu kwa sababu zifuatazo.

1. Matukio ya utekaji yanaongezeka siku hadi siku. Sijui anajisikiaje kuachanisha familia za watu, kuwaacha watoto bila wazazi kwa kuteka na kupoteza watu. Ni kawaida kwa nchi sasa mtu kupotea na kupoteza maisha kabisa alaf polisi wakasema hawana taarifa naye. Ni kawaida mtu kurepotiwa kwamba ametekwa na polisi hawana taarifa baadaye utasikia alikua mikononi mwa polisi. Huu ni ukatili wa Samia

2. Kuongezeka kwa tozo. Katika kipindi chake tozo katika miamala ya simu imekua kero, mbaya zaidi hatuoni ni wapi fedha hzo zinaenda. Nachelea kusema kuna genge linatafuna fedha hizo.

3. Kubinafsisha bandari kama si kuuza kabisa ni jambo ambalo linakera sana. Kwa sababu pamoja na bandari kuchukuliwa na DP world bado hakuna ahueni yoyote. Kama ume import gari kipindi cha karibuni utakubaliana na mimi kwamba charges zimeongezeka sana.

4. Mfumuko wa bei wa bidhaa mbali mbali hasa zile bidhaa muhimu. Katika nchi hii bei ya sukari iko juu pengine kuliko nchi yoyote jirani inayotuzunguka. Ameshindwa ku conroll hilo. Ajabu na kweli ni pale ambapo bei ya mafuta nchini kwetu ukilinganisha na nchi jirani ambazo zina import mafuta kupitia bandari ya DSM ni ndogo kuliko sisi

5. Wizi serikali na nidhamu ya hovyo imezidi mara dufu. Report ya CAG kila ikitoka lazima ije na report za ufujaji wa fedha uliokithiri. Kwa miaka hii imekua kawaida sana na huoni hatua zikichukuliwa. Zile kauli za 'utanijua mimi ni nani' zimerudi kwa kasi, yani unaweza kudhulumiwa haki yako na hakuna kitu utafanya.

Sitampigia kura Samia 2025. Kama una ungana nami ongeza mengine. Na kama huungani nami prove me wrong.
Goli la MKONO mchengerwa aliahidi
 
Hivi na nyinyi binafsi nafamilia zenu mnaziongoza vizuri kama mnavyochambua hapa?
hapana hakuna alie perfect, ila masuala ya mtu maisha yake binafsi na family yake hata yawe vipi ni sawa tu atajua mwenyewe na aishi anavotaka

but masuala ya nchi, ya watu wote zaidi ya 50m+ huezi ongoza vile we unajiskia😠, lazima uwe very creative na kuongoza watu vizuri kuwapa maisha bora , kutatua changamoto zao, na sio kujiangalia wewe tu na kufanya unavotaka

so ni big nooooo to me
 
Unataka tumpigie nani? Hawa vibaka akina mbowe lissu zitto, waliojaa ukabila hadi makalioni tunaojielewa lazima tumpigie Samia licha ya mapungufu aliyonayo yanayovumilika
 
hapana hakuna alie perfect, ila masuala ya mtu maisha yake binafsi na family yake hata yawe vipi ni sawa tu atajua mwenyewe na aishi anavotaka

but masuala ya nchi, ya watu wote zaidi ya 50m+ huezi ongoza vile we unajiskia😠, lazima uwe very creative na kuongoza watu vizuri kuwapa maisha bora , kutatua changamoto zao, na sio kujiangalia wewe tu na kufanya unavotaka

so ni big nooooo to me
Kila jambo linaanzia kwenye level ya person,halafu familia halafu ndio jamii na taifa kwa ujumla,ndio maana nimewauliza wachambuzi vipi nyinyi wenyewe level ya mtu mmoja mmoja,familia zenu,huko mitaani mnaweza kujisimamia vile inatakiwa?kabla hamjatoa huo ushauri
 
Niende moja kwa moja. Ikiwa CCM watamsimamisha Samia kuwa mgombea katika uchaguzi mkuu 2025 sitampigia kura yangu kwa sababu zifuatazo.

1. Matukio ya utekaji yanaongezeka siku hadi siku. Sijui anajisikiaje kuachanisha familia za watu, kuwaacha watoto bila wazazi kwa kuteka na kupoteza watu. Ni kawaida kwa nchi sasa mtu kupotea na kupoteza maisha kabisa alaf polisi wakasema hawana taarifa naye. Ni kawaida mtu kurepotiwa kwamba ametekwa na polisi hawana taarifa baadaye utasikia alikua mikononi mwa polisi. Huu ni ukatili wa Samia

2. Kuongezeka kwa tozo. Katika kipindi chake tozo katika miamala ya simu imekua kero, mbaya zaidi hatuoni ni wapi fedha hzo zinaenda. Nachelea kusema kuna genge linatafuna fedha hizo.

3. Kubinafsisha bandari kama si kuuza kabisa ni jambo ambalo linakera sana. Kwa sababu pamoja na bandari kuchukuliwa na DP world bado hakuna ahueni yoyote. Kama ume import gari kipindi cha karibuni utakubaliana na mimi kwamba charges zimeongezeka sana.

4. Mfumuko wa bei wa bidhaa mbali mbali hasa zile bidhaa muhimu. Katika nchi hii bei ya sukari iko juu pengine kuliko nchi yoyote jirani inayotuzunguka. Ameshindwa ku conroll hilo. Ajabu na kweli ni pale ambapo bei ya mafuta nchini kwetu ukilinganisha na nchi jirani ambazo zina import mafuta kupitia bandari ya DSM ni ndogo kuliko sisi

5. Wizi serikali na nidhamu ya hovyo imezidi mara dufu. Report ya CAG kila ikitoka lazima ije na report za ufujaji wa fedha uliokithiri. Kwa miaka hii imekua kawaida sana na huoni hatua zikichukuliwa. Zile kauli za 'utanijua mimi ni nani' zimerudi kwa kasi, yani unaweza kudhulumiwa haki yako na hakuna kitu utafanya.

Sitampigia kura Samia 2025. Kama una ungana nami ongeza mengine. Na kama huungani nami prove me wrong.
Hicho kikura chako kimoja ni sawa na kijiko cha chumvi baharini, nahati mbaya hata akili huna
 
Back
Top Bottom