Kama ni kweli basi Hongera Ali Kiba kwa kujitambua.
Nipeni ratiba ya show yake ya karibuni Dar niende kumuunga kwa ujasiri wake.
hakikisha familia yako nzima na mtaa wako kwa ujumla wanachagua UKAWA
I won't be the lastly to honour your distinguished idea on that. Truely you have gained my support. It's last being on your rivals. I devote my own being accountable in all your undertaking.
Achana naye, nimeshamsoma huyo..
Usishangae maana kile chama kukishabikia inabidi ukapimwe akili!
Kijana na akili zako kabisa, umezaliwa ukaikuta CCM, ukaona viroja vyake, alafu bado unaishabikia CCM!! Huwa nashangaa sanaaa.....akwende huyo amepanic.
Umenifurahisha, wala huna muda naye, ananengua tu lakini wewe walaaa!!
U hali gani Ali Kiba? Natumai u mzima kabisa na unaendelea vyema na shughuli zako za muziki.
Mimi kama shabiki/mpenzi na mfuasi wako napenda kukupongeza kwa kitendo chako cha kishujaa na chenye hekima cha kutokuhudhuria kwenye mkutano wa kuzindua kampeni na ilani za chama cha CCM uliofanyika leo jijini Dar Es Salaam katika viwanja vya Jangwani.
Leo mchana nilisikia tetesi kuwa utakuwepo jangwani, niliumia sana.
Niliamua kusitisha shughuli zangu zote leo ili niweze kuangalia mkutano huo niweze kuona kwa macho yangu kama utaweza kufanya onesho kwenye mkutano ule au lah!
Lakini hadi mwisho wa mkutano sijakuona kabisa, kwa hili nakupongeza sana Ali Kiba. Umenipa sababu za kukupenda na kuzidi kuupenda muziki wako mara dufu.
Kila mara huwa nasema kuwa siupendi mziki wako tu, bali na mtindo wako wa maisha kiujumla.
Tunapoongelea suala la msanii ni kioo cha jamii, wewe ndiye hasa unayefaa kuitwa kioo cha jamii.
Busara na hekima zako Mungu alizokujalia na kipaji chako ni tunu ya kipekee....hongera sana.
Naomba hekima hizo zisiishie kwenye mkutano wa leo tu, bali mikutano yote inayohusu chama cha CCM. Sitaki kuzungumzia hili zaidi maana hakuna Mtanzania mwenye akili timamu anayeweza kuwaunga mkono viongozi na chama hiki kiujumla.
Naomba usinitie aibu mimi na mashabiki wenzangu kama yule mwenzio alivyowatia aibu na kuwakera mashabiki wake kwa kitendo chake cha kuonesha mahaba yake hadharani juu ya chama dhalimu cha Mapinduzi na mgombea wake Magufuli.
Kwa hili, nasema ASANTE SANA.
NAKUSHUKURU NA KUKUAHIDI KUWA SHABIKI WAKO MILELE!
MUNGU AKUBARIKI.
Kijana na akili zako kabisa, umezaliwa ukaikuta CCM, ukaona viroja vyake, alafu bado unaishabikia CCM!! Huwa nashangaa sanaaa.....akwende huyo amepanic.
Umenifirahisha, wala huna muda naye, ananengua tu lakini wewe walaaa!!
Mkuu sio familia tu, ukoo mzima, majirani na hata kitaa chetu hapa ni UKAWA tu.
Tena jana nilikuwa na kikao na marafiki zangu na wote wamenihakikishia kuwapa Chadema kura zao.....usijali.
#PamojaTutashinda
Lol...mkuu mtoto mwenyewe ana utata bado biological father hajulikani!
ndio mana lina domo kubwa kama sinia lakini akili ndogo kama kijiko na uanzia leo simpi kura yangu waka kushare posts zake bora angebaki kuiimbia ccm lakini sio kuingiza siasa za kichochezi na za kikabila kiasi hichi.Abdulraman ,Ndugu ndugu yangu ukisema hivyo unakosea,,Diamond na mtu yoyote ,wana haki ya kuchagua Chama wakipendacho ,au Mgombea wampendae,,point hapa ni kwamba Diamond ni msanii hivyo yeye kama msanii ,anawashabiki wengi kuliko unavyofikiria wewe au mimi na yule ,Hivyo basi sio wote wanaomshabikia katika kazi zake basi watamshabikia katika hisia zake za kisiasa,,kumbuka Diamond ni msanii. mara nyingi Msanii wetu huyo ushirikishwa sana katika Tuzo za Musiki Nchini na Nchi za nje,,upigiwa kura na Watanzania ,,tunamtakia mafanikio sana hila akumbuke kwamba Kupiga kura ni haki yake na Siri yake,akilijua hilo kwamba yeye kama kioo cha jamii anaangalia na watu wote wa Tanzania ,kuna wengine atawakwaza sana kama akionyesha anaunga mkono kambi fulani au mgombea fulani,,yeye Kwa nafasi yake ilitakiwa hile kura yake tarehe 25 /10 ndio ikaamue,lakini hii sasa hivi ,itamgharimu sana baadae,maana usije ukafikiria wewe kwamba kura moja ya mtu sio muhimu,hila ukijua haki ya kupiga kura hiyo kura moja ndio uleta mabadiliko makubwa sana,,,kura hiyo moja tuu ya mtu inaweza kumpa Magufuli au Lowasa Uraisi,hivyo pia ajihepushe na yeye maana ni ,mshiriki sana katika kazi za usanii wake ,kwenye vinyang'anyiro vingi sana vya kushindania TUZO,halafu akaikosa kura ya muhimu kwa mtu ambaye alikwanza na maamuzi yake ya KISIASA.,Jamani wasanii mliangalie sana hili ..kuweni neutral...siku ya siku Shika kichinjio cha cha kupigia kura nenda ukamchinje Lowasa au Magufuli hiyo 25 /10 / 2015.