Hizi ni zana tulizotumia wana JF wa kale. Welcome to our museum

Hizi ni zana tulizotumia wana JF wa kale. Welcome to our museum

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,107
Reaction score
160,001
Utu uzima dawa, ya kale ni dhahabu. Tena ya kale hayanuki.

Twende sawa sasa

1695897919106.jpg



Leso hii ilitumiwa na Maxence Melo enzi zile akiitwa computer Guru
 
Utu uzima dawa, ya kale ni dhahabu. Tena ya kale hayanuki.

Twende sawa sasa

View attachment 2764990


Leso hii ilitumiwa na Maxence Melo enzi zile akiitwa computer Guru
hivi vitambaa nilikutana navyo moshi mwezi wa pili nilishanga sana ni katika duka moja la dawa linalomilikiwa na mangi lakini ajabu pale mapokezi kulikua na matairi ya gari mawili yameegemezwa ukutani kabla sijaingia ndani nilijiuliza sana hili ni duka la dawa au nimekosea
 
Back
Top Bottom