Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Kweli mi nazeeka vibaya. Hv ina maana hizi leso hazipo tena!!!Utu uzima dawa, ya kale ni dhahabu. Tena ya kale hayanuki.
Twende sawa sasa
View attachment 2764990
Leso hii ilitumiwa na Maxence Melo enzi zile akiitwa computer guru
Ukiiona nunua kwa lakiKweli mi nazeeka vibaya. Hv ina maana hizi leso hazipo tena!!!
Watoto wadogo hawawezi elewa....Utu uzima dawa, ya kale ni dhahabu. Tena ya kale hayanuki.
Twende sawa sasa
View attachment 2764990
Leso hii ilitumiwa na Maxence Melo enzi zile akiitwa computer Guru
Hahahaha,kitamboWana JF wa zamani tulitumia floppy disk ya 1.44MB kutunza data zetu.
Leo mna hard disk external hadi za 10 TB
View attachment 2765053
Nakala ya copyHahahaha,kitambo
hivi vitambaa nilikutana navyo moshi mwezi wa pili nilishanga sana ni katika duka moja la dawa linalomilikiwa na mangi lakini ajabu pale mapokezi kulikua na matairi ya gari mawili yameegemezwa ukutani kabla sijaingia ndani nilijiuliza sana hili ni duka la dawa au nimekoseaUtu uzima dawa, ya kale ni dhahabu. Tena ya kale hayanuki.
Twende sawa sasa
View attachment 2764990
Leso hii ilitumiwa na Maxence Melo enzi zile akiitwa computer Guru
Peni zangu hizi
Watoto wa mtaani enzi hizo walizitumia kama silaha ukizingua wanakutoboaPeni zangu hizi
Mkongwe Kiranga akifuatilia na kuchangia mada za JF kipindi hiko kabla hakwenda state kwa Dada yake alipoolewa kubeba Mabox ππππ
Cello was bestkipindi hicho nandikia kalamu za beifa na maspido View attachment 2765256