Hizi njemba(hawa ma-legend) za JF zinatufanya kizazi cha sasa tuonekane tuna upeo mdogo wa kufikiri


Tumekwisha.
Yaani Vijana wa sasa Waite kwenye Ajira, wafanyie usaili Kwa lugha ya Kiswahili tuu utaona uwezo wao jinsi ulivyo.
Wengi hawajiamini, kujieleza ni shida, sijui nini kimetokea
 
Tumekwisha.
Yaani Vijana wa sasa Waite kwenye Ajira, wafanyie usaili Kwa lugha ya Kiswahili tuu utaona uwezo wao jinsi ulivyo.
Wengi hawajiamini, kujieleza ni shida, sijui nini kimetokea
Hawaamini kwenye juhudi bali Wana amini kwenye shortcuts.....jambo lolote linalohitaji juhudi kwao ni mtihani mzito ndio maana wanashindwa kutoa maelezo madogo tu ili wapate vitu vikubwa......jambo rahisi tu kama kujieleza kupitia kitu ulichosomea chuoni ili kumshawishi mtu mwenye ajira kukupa ajira ni jambo zito kwake vipi kuhusu mengine ambayo hayajui na hakusomea lakini yapo kwenye jamii.......??
 
Kadiri unavyosoma Sana ndivyo ubongo wako unavyozidi kutumika na kuwa Bora zaidi.[emoji1752][emoji1545]

Mkuu nimekufuatilia Kwa miaka Sasa.
Ingawaje wengine wanakusema una-google lakini tunachoangalia ni kile kinachowasilishwa na namna kinavyowasilishwa.

Una-contents za kutosha/ sio content Bali contents za kutosha alafu ni unlimited.
Kuanzia ulipoanza kutoa Nondo mpaka hivi leo angekuwa mwingine angeshapasua matairi.
Na hii tafsiri yake ni kuwa Unakipaji, Kwa maan kipaji ndio mtu huzaliwa nacho na huzikwa nacho, Hakiishi.

Hongera Sana Mkuu
 
Hakuna utambulisho ulionifurahisha kama wa Kiranga aysee!
Mkuu ROBERT HERIEL ukiweza utafute uupandishe hapa! Alinifurahisha sana namna alivyocheza na lugha ya kiswahili

Huyo mtu anatakiwa akutane na Mtu mahiri zaidi kwenye masuala ya Imani na dhahania.
Ili kujadiliana Naye.
Mtu anayetakiwa kujadiliana na kiranga anatakiwa awe katika level Sawa naye kielimu na kiuelewa.
Vinginevyo wengi watamshindwa
 
Unamjua bujibuji wewe? Ana miaka 59 sasa utanuweka kundi lipi? la 1960-1989 au 1990-2022?
 

Ngoja niongeze baadhi yao
 
Reactions: tyc
Alikua ajamaliza ndio mana akasema wengine tutaongezea pamoja sana miamba ni wengi.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Bila kumsahau Masanilo kwenye lile jukwaa letu pendwa. Huyu mwamba alikuwa active sana kule [emoji1787]
 
Labda wewe hapo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…