Salaam, Shalom!!
Amesikika Makamo Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu akitahadharisha wanachama wa CHADEMA kuwa makini sababu tayari Kuna pesa zimeingia kuchafua chaguzi ndani ya chama.
Amedai pesa za kuandaa mikutano ndani ya chama imekuwa ikipatikana Kwa taabu, lakini Cha kushangaza, katika chaguzi ndani ya chama, pesa zimekuwa nyingi, na amesema hadharani kuwa, pesa hizo zimetoka Kwa Abdul na Mama yake ingawa hakufafanua.
Pesa kuingia kupitia " MLANGONI" ni pesa Rasmi, Ruzuku, michango ya chama kama Join the chain nk nk, ila ikiwa zimepitia " DIRISHANI" ni pesa haramu.
Swali linakuja kuwa ikiwa zimepitia DIRISHANI, nani wahusika ndani ya chama waliohusika kuruhusu hujuma hizo?
Na ikiwa zimepitia MLANGONI Kwa maana ya kuwa ni pesa Rasmi, nani wako nyuma ya pesa hizo kutumika kuhonga wanachama wa CHADEMA?
Kwa mara ya kwanza Makamo Mkt, anakeemea hadharani RUSHWA ndani ya chama ilhali viongozi wa Iringa na njombe waliotajwa wako kimya!!
Swali: Pesa hizo, ni Rasmi za Ruzuku, michango ya wanachama kujitolea, au ni za Dirishani/ mlango wa uani?
Karibuni🙏
Pia, soma=> Tundu Lissu atahadharisha uchaguzi ndani ya chama kuingiliwa na fedha za Rais Samia na mwanae Abdul
Amesikika Makamo Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu akitahadharisha wanachama wa CHADEMA kuwa makini sababu tayari Kuna pesa zimeingia kuchafua chaguzi ndani ya chama.
Amedai pesa za kuandaa mikutano ndani ya chama imekuwa ikipatikana Kwa taabu, lakini Cha kushangaza, katika chaguzi ndani ya chama, pesa zimekuwa nyingi, na amesema hadharani kuwa, pesa hizo zimetoka Kwa Abdul na Mama yake ingawa hakufafanua.
Pesa kuingia kupitia " MLANGONI" ni pesa Rasmi, Ruzuku, michango ya chama kama Join the chain nk nk, ila ikiwa zimepitia " DIRISHANI" ni pesa haramu.
Swali linakuja kuwa ikiwa zimepitia DIRISHANI, nani wahusika ndani ya chama waliohusika kuruhusu hujuma hizo?
Na ikiwa zimepitia MLANGONI Kwa maana ya kuwa ni pesa Rasmi, nani wako nyuma ya pesa hizo kutumika kuhonga wanachama wa CHADEMA?
Kwa mara ya kwanza Makamo Mkt, anakeemea hadharani RUSHWA ndani ya chama ilhali viongozi wa Iringa na njombe waliotajwa wako kimya!!
Swali: Pesa hizo, ni Rasmi za Ruzuku, michango ya wanachama kujitolea, au ni za Dirishani/ mlango wa uani?
Karibuni🙏
Pia, soma=> Tundu Lissu atahadharisha uchaguzi ndani ya chama kuingiliwa na fedha za Rais Samia na mwanae Abdul