- Thread starter
- #41
Yaezakuwa TABIA hii hawajaanza Leo,Za namna hii huwa haziingilii mlangoni bali madirishani..
Duuh, jamaa (CCM) wanataka kuingiza viongozi vibaraka wao..
Watoto wa mjini wanasema, CCM inarusha miguu ya kukata roho ya mauti...
Ni vile tu Lissu ameamua " Liwalo na liwe".