Hizi propaganda mnazofanya ni ujinga? Au ni ushamba wa kisiasa?

Hizi propaganda mnazofanya ni ujinga? Au ni ushamba wa kisiasa?

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
6,404
Reaction score
6,969
Uchaguzi umeisha na serikali iliyochaguiwa na Wananchi imeshaanza kuchapa kazi, Wananchi wa Tanzania wapo kimya wakisubiri kula matunda ya kile walichoahidiwa.

Kinachoshangaza baada ya kupigwa kichapo cha mbwa mtu kwenye ballot box mnaleta propaga za kishamba ambazo hazina kichwa wala miguu.

Mnaeneza uongo usio na mantiki, mlianza na mkwara mara Lissu atahutubia Eu parliament, Lissu mwenyewe akakanusha,mkapata aibu. Mkaja na mkwara mwingine kuwa mmefile case Icc, mpaka sasa hatujasikia kitu kutoka Icc juu ya Tanzania. Leo hii mmeibuka na uongo mwingine, Bunge la umoja wa Ulaya kujadili hali ya siasa Tanzania. Lakini mpaka sasa hakuna taarifa rasmi toka EU juu ya uongo mnaoneza.

Kwa mantiki hii msitufanye sisi watanzania ni wajinga, tuachieni serilali tuliyoichagua ili itufanyie mazuri tuliyoahidiwa, mlishindwa kwenye ballot box na Chadema kukosa wabunge isiwe sababu ya kuleta mkanganyiko.
 
Tarartibu vijana, jiwe kashasema habadilishi wateule wake.
 
Unayoyalalamikia pengine ni kweli . Lakini hiyo ballot box unayoisema ni ipi ?!. Hii ya wakurugenzi na police?
 
Unayoyalalamikia pengine ni kweli . Lakini hiyo ballot box unayoisema ni ipi ?!. Hii ya wakurugenzi na police ?!
Mimi nilipiga kura kama utaratibu unavyosema, habari za police na wakurugenzi unajua wewe.
 
Uchaguzi umeisha na serikali iliyochaguiwa na wananchi imeshaanza kuchapa kazi, wananchi wa Tanzania wapo kimya wakisubiri kula matunda ya kile walichoahidiwa.

Kinachoshangaza baada ya kupigwa kichapo cha mbwa mtu kwenye ballot box mnaleta propaga za kishamba ambazo hazina kichwa wala miguu

Mnaeneza uongo usio na mantiki, mlianza na mkwara mara Lissu atahutubia Eu parliament, Lissu mwenyewe akakanusha,mkapata aibu. Mkaja na mkwara mwingine kuwa mmefile case Icc, mpaka sasa hatujasikia kitu kutoka Icc juu ya Tanzania. Leo hii mmeibuka na uongo mwingine, Bunge la umoja wa Ulaya kujadili hali ya siasa Tanzania. Lakini mpaka sasa hakuna taarifa rasmi toka EU juu ya uongo mnaoneza.

Kwa mantiki hii msitufanye sisi watanzania ni wajinga, tuachieni serilali tuliyoichagua ili itufanyie mazuri tuliyoahidiwa, mlishindwa kwenye ballot box na Chadema kukosa wabunge isiwe sababu ya kuleta mkanganyiko.
Pumbavu, wewe ndio mjinga sio wa Tanzania wote, endekeza tumbo lako na propaganda za kimasikini jitu zima ovyo kabisa.
 
Back
Top Bottom