Hizi propaganda mnazofanya ni ujinga? Au ni ushamba wa kisiasa?

Hizi propaganda mnazofanya ni ujinga? Au ni ushamba wa kisiasa?

Sasa kama unajua filamu ya uchaguzi imeshaisha na serikali yako inachapa kazi wewe kinakuuma ni hao wengine wakijadili wanachokiona wao.wajadili wasijadili wewe kinachokuwasha ni nini.Wasiwasi wako ni nini hasa au hujiamini kwa ujinga uliofanyika.Fanya yako na wao wafanye yao.
Wewe ni mchawi? Unaweka bundi kwenye avatar yako. Au mama yako ni mchawi.

Wanajadili? Au wanaeneza uongo,pumbavu.
 
I know huku ni sehemu ya watu wasiotaka kupingwa wala kuambiwa nyeupe ni nyeupe wanataka nyeupe iwe nyeusi

Wala, huku watu wako huru, umewahi kusikia mtu katoa maoni yake humu jf akatumiwa watu wasiojulikana au kupigwa risasi? Huko kwenye media rasmi kama radio, TV nk, jaribu kwenda kukosoa ndio utafurahi.
 
We tindo acha kusapoti uongo na upuuzi. Yaani kueneza uongo ndio mawazo huru? Kwa hiyo kesho bunge la Ulaya litajiridi masuala ya kisiasa ya Tanzania? Wewe na mr minyoo mnachemka sana.

Umeona nimechangia chochote kwenye huo uzi wa mambo ya ulaya? Au umejichanganya?
 
Nafikiri kama wewe una akili, usingelidanywa kuwa Lissu anahutubia Bunge la Eu au keshu Bunge la EU litajidili hali ya siasa Tanzania.
Karibu tena. Mada umeanzisha mwenyewe halafu unajichepusha mwenyewe. Sijamtaja Lissu bali nimetaja "ujinga wako" ungeutolea maelezo labda ningekuelewa.
 
Karibu tena. Mada umeanzisha mwenyewe halafu unajichepusha mwenyewe. Sijamtaja Lissu bali nimetaja "ujinga wako" ungeutolea maelezo labda ningekuelewa.
Nenda kanyonye, acha kudandia mada za watu tunaoweza kumvua chupi mama yako.
 
Wewe jamaa ni mjinga sana,laiti kama ungejua jinsi ccm ilivyoshinda uchaguzi huu kwa kufoji na kwa nguvu plus hujuma na rafu kibao usingeleta uchuro wako hapa.Kuna mzee mmoja mwanaccm ktk Kata fulani, wilaya x kule Kagera,alinipigia simu na kukiri kuwa walifanya hujuma za kiwango cha lami wakati wa uchaguzi,na akasema anataka kwenda kutubu Kanisani maana inamuuma sana km mcha Mungu,halafu wewe ndo unatuletea uharo mweusi hapa.Acha kushangilia uovu maana Mungu hapendi.
Mkuu, usifikiri huyo pimbi hajui. Anafahamu vzr sarakasi walizofanya. Anafanya propaganda tu hapa
 
Uchaguzi umeisha na serikali iliyochaguiwa na wananchi imeshaanza kuchapa kazi, wananchi wa Tanzania wapo kimya wakisubiri kula matunda ya kile walichoahidiwa...
Kwa hiyo unataka kutuaminisha kuwa washikadau wa dhulma wataongea maneno gani zaidi ya kuvutia upande wait wa dhulma.?
 
Mimi kusikitishwa na propaganda za kipuuzi ndio JPM ni mtu wangu? Ushindani anaoufanya JPM ni kuwaletea wananchi maendeleo.
Basi relax kama JPM wako ameshinda Kwa halali huna haja ya pressure we piga mluzi Tu.
 
Back
Top Bottom