Idugunde
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 6,404
- 6,969
- Thread starter
- #41
Wewe ni mchawi? Unaweka bundi kwenye avatar yako. Au mama yako ni mchawi.Sasa kama unajua filamu ya uchaguzi imeshaisha na serikali yako inachapa kazi wewe kinakuuma ni hao wengine wakijadili wanachokiona wao.wajadili wasijadili wewe kinachokuwasha ni nini.Wasiwasi wako ni nini hasa au hujiamini kwa ujinga uliofanyika.Fanya yako na wao wafanye yao.
Wanajadili? Au wanaeneza uongo,pumbavu.