mama kubwa
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 6,230
- 9,889
MTU alieshinda Kwa halali pressure inatokea wapi ndio ushangae.Bila Shaka atakuwa analipwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MTU alieshinda Kwa halali pressure inatokea wapi ndio ushangae.Bila Shaka atakuwa analipwa
Yaani we acha tu!,naona wanajishitukia.MTU alieshinda Kwa halali pressure inatokea wapi ndio ushangae.
Ninyi wenyewe mnaujua ukweli.Ahaaaaa! Nani anamlipa? Kusema kweli ni kosa?
Ndiko ulikofikia? Kwaujinga wako nilijua silaha uliyobaki nayo ni kukosa staha. Shame on you Pro CCMNenda kanyonye, acha kudandia mada za watu tunaoweza kumvua chupi mama yako.
Kwani wewe unaona vipi!?Uchaguzi umeisha na serikali iliyochaguiwa na wananchi imeshaanza kuchapa kazi, wananchi wa Tanzania wapo kimya wakisubiri kula matunda ya kile walichoahidiwa.
Kinachoshangaza baada ya kupigwa kichapo cha mbwa mtu kwenye ballot box mnaleta propaga za kishamba ambazo hazina kichwa wala miguu
Mnaeneza uongo usio na mantiki, mlianza na mkwara mara Lissu atahutubia Eu parliament, Lissu mwenyewe akakanusha,mkapata aibu. Mkaja na mkwara mwingine kuwa mmefile case Icc, mpaka sasa hatujasikia kitu kutoka Icc juu ya Tanzania. Leo hii mmeibuka na uongo mwingine, Bunge la umoja wa Ulaya kujadili hali ya siasa Tanzania. Lakini mpaka sasa hakuna taarifa rasmi toka EU juu ya uongo mnaoneza.
Kwa mantiki hii msitufanye sisi watanzania ni wajinga, tuachieni serilali tuliyoichagua ili itufanyie mazuri tuliyoahidiwa, mlishindwa kwenye ballot box na Chadema kukosa wabunge isiwe sababu ya kuleta mkanganyiko.
Kwani barua yako ya kuposwa bado hujaipokea toka hapo lumumba!?Acha kuuliza maswali ya kijinga
Wala, huku watu wako huru, umewahi kusikia mtu katoa maoni yake humu jf akatumiwa watu wasiojulikana au kupigwa risasi? Huko kwenye media rasmi kama radio, TV nk, jaribu kwenda kukosoa ndio utafurahi.
Posa toka hapo Lumumba hujapokea bado!? Hayo maneno machafu yatafanya ukose mume.Mimi natakiwa nimvue chupi mama yako...
Si ajabu umekuwa na akili za king'ombe ng'ombe.Ng'ombe mia mbili zote nani atazitunza kama nikiteuliwa?
Uhuru unaousemea unampa melo wakati mgumu. Hakuna uhuru huo mkuu ni maigizo ya uhuru
Haukuwa uchaguzi bali uchafuzi wa demokrasiaView attachment 1629316View attachment 1629317View attachment 1629318
Haukuwa uchaguzi bali uchafuzi wa demokrasiaView attachment 1629316View attachment 1629317View attachment 1629318
Kamanda uliibiwa wapiMkuu Tangulia Mirembe kama unaamini serikali ilichaguliwa na wananchi [emoji23][emoji23][emoji23]
Makamanda wajinga sanaaNdodocha sio wewe unaedanganywa kesho bunge la ulaya kujadili hali ya siasa Tanzania?
Mkuu, wewe ni Nani pale mboga mboga?
Show ya kizembe kabisa!!! Bila hata fikira tunduizi unaona kuwa tukio lina mushkeri ya wazi kabisa. Poleni. Kazi imeishaanza.Haukuwa uchaguzi bali uchafuzi wa demokrasiaView attachment 1629316View attachment 1629317View attachment 1629318