Hizi propaganda mnazofanya ni ujinga? Au ni ushamba wa kisiasa?

Hizi propaganda mnazofanya ni ujinga? Au ni ushamba wa kisiasa?

Unakuwa na vithibitisho lakini hupeleki mhalifu kwenye vyombo vya sheria na wewe ni moja ya wale ambao walikuwa watunga sheria, unakwama wapi?

 
Unakuwa na vithibitisho lakini hupeleki mhalifu kwenye vyombo vya sheria na wewe ni moja ya wale ambao walikuwa watunga sheria, unakwama wapi?

Kwa nini unataka kesi ya Tumbili ipelekwe kwa Ngedere?Yaani kwa nini unataka kesi ya mwizi wa kura ipelekwe kwa msimamizi mkuu wa wizi wa kura?Unaelewa kuwa vyombo vya sheria ndiyo walikuwa wasimamizi wakuu wa wizi wa kura na waliokamatwa na kura fake walikuwa ni wasimamizi wasaidizi wa wizi wa kura?
 
Show ya kizembe kabisa!!! Bila hata fikira tunduizi unaona kuwa tukio lina mushkeri ya wazi kabisa. Poleni. Kazi imeishaanza.
Halafu eti TISS ndiyo walisimamia show ya kizembe namna hiyo!Hii ilithibitisha kuwa shirika letu la inteligensia lina mushkeli kubwa sana,yaani wanaandaa show halafu wanashtukiwa na kukamatwa kizembe na watu ambao hawana taaluma yoyote ile ya inteligensia
 
Siku nyingine msichukue sheria mkononi ya kuchoma moto ushahidi
Kwa nini unataka kesi ya Tumbili ipelekwe kwa Ngedere?Yaani kwa nini unataka kesi ya mwizi wa kura ipelekwe kwa msimamizi mkuu wa wizi wa kura?Unaelewa kuwa vyombo vya sheria ndiyo walikuwa wasimamizi wakuu wa wizi wa kura na waliokamatwa na kura fake walikuwa ni wasimamizi wasaidizi wa wizi wa kura?
 
Begi hili ni la Halima tumemfwatilia na Dada wake wa ndani kasema ni begi la Boss wake.[emoji23]

Halima ni tapeli.
Kama begi ni la Halima kwa nini serekali haijamkamata na kumshtaki kwa kusababisha taharuki na kwa kudhalilisha zoezi la upigaji kura?
 
Uchaguzi umeisha na serikali iliyochaguiwa na wananchi imeshaanza kuchapa kazi, wananchi wa Tanzania wapo kimya wakisubiri kula matunda ya kile walichoahidiwa.

Kinachoshangaza baada ya kupigwa kichapo cha mbwa mtu kwenye ballot box mnaleta propaga za kishamba ambazo hazina kichwa wala miguu

Mnaeneza uongo usio na mantiki, mlianza na mkwara mara Lissu atahutubia Eu parliament, Lissu mwenyewe akakanusha,mkapata aibu. Mkaja na mkwara mwingine kuwa mmefile case Icc, mpaka sasa hatujasikia kitu kutoka Icc juu ya Tanzania. Leo hii mmeibuka na uongo mwingine, Bunge la umoja wa Ulaya kujadili hali ya siasa Tanzania. Lakini mpaka sasa hakuna taarifa rasmi toka EU juu ya uongo mnaoneza.

Kwa mantiki hii msitufanye sisi watanzania ni wajinga, tuachieni serilali tuliyoichagua ili itufanyie mazuri tuliyoahidiwa, mlishindwa kwenye ballot box na Chadema kukosa wabunge isiwe sababu ya kuleta mkanganyiko.
Upumbavu
 
Huu ni upuuzi kabisa, kama walikamata kura, walizikamata vipi? Mbona hakuna ufafanuzi?
Hakuna ufafanuzi kwani ulifuatilia hii scandal ukakosa ufafanuzi?Kamanda usiechoka kutoka CCM siku hizi umeanza kuchoka ndugu yangu?Kwa nini hufuatilii haya masuala ya msingi?
 
Hakuna hicho kitu. Ni mawazo yenu tu. Mimi ni mmoja kati yawatu waliomkataa amsterdam. Uchaguzi ulikua Magufuli vs Amsterdam sio Lissu.
Tunampa wakati mgumu kwakuwa tunatawaliwa kwa shuruti bila ridhaa yetu. Lakini wanaotawala wangekuwa wanatawala kwa ridhaa ya wananchi, wasingekuwa na tatizo na uhuru wa maoni. Subiri utawala huu usio na ridhaa ya wengi ukimaliza muda wake, na kuingia utawala wenye ridhaa ya watu kama hujaona uhuru wa vyombo vya habari, midahalo mbalimbali isiyo na hofu, chaguzi zisizo na umwagaji damu wala mabeg ya kura za wizi, bunge huru na sio hilo kibogoyo nk.
 
HUWEZI TETEA UOVU HALAFU UKASHINDA BILA KUFANYA UOVU MWINGINE.
 
Uchaguzi umeisha na serikali iliyochaguiwa na wananchi imeshaanza kuchapa kazi, wananchi wa Tanzania wapo kimya wakisubiri kula matunda ya kile walichoahidiwa.
Mleta mada watu sio wajinga kama unavyodai! Inawezekana wewe ndie hujitambua na upeo wako ni mdogo sana! usifikiri watu humu wana akili za ukoko kama zako. 'serikali iliyochaguliwa na wananchi' ??
 
Uchaguzi umeisha na serikali iliyochaguiwa na wananchi imeshaanza kuchapa kazi, wananchi wa Tanzania wapo kimya wakisubiri kula matunda ya kile walichoahidiwa.

Kinachoshangaza baada ya kupigwa kichapo cha mbwa mtu kwenye ballot box mnaleta propaga za kishamba ambazo hazina kichwa wala miguu

Mnaeneza uongo usio na mantiki, mlianza na mkwara mara Lissu atahutubia Eu parliament, Lissu mwenyewe akakanusha,mkapata aibu. Mkaja na mkwara mwingine kuwa mmefile case Icc, mpaka sasa hatujasikia kitu kutoka Icc juu ya Tanzania. Leo hii mmeibuka na uongo mwingine, Bunge la umoja wa Ulaya kujadili hali ya siasa Tanzania. Lakini mpaka sasa hakuna taarifa rasmi toka EU juu ya uongo mnaoneza.

Kwa mantiki hii msitufanye sisi watanzania ni wajinga, tuachieni serilali tuliyoichagua ili itufanyie mazuri tuliyoahidiwa, mlishindwa kwenye ballot box na Chadema kukosa wabunge isiwe sababu ya kuleta mkanganyiko.
We mnyarwanda ipo siku utaingia mikononi mwa sheria.
 
Hakuna hicho kitu. Ni mawazo yenu tu. Mimi ni mmoja kati yawatu waliomkataa amsterdam. Uchaguzi ulikua Magufuli vs Amsterdam sio Lissu.

Hakuna anayemjua Amsterdam mbali ya mitandaoni, naona unaokoteza maelezo ya kipropaganda ndio unayatumia kujenga hoja kwenye ulimwengu wa uhalisia.
 
Hakuna propaganda. Jamaa yenu kawaharibia sana na makelele yake. Leo alhamis huko bungeni ulaya tumeshajadiliwa au bado?
Hakuna anayemjua Amsterdam mbali ya mitandaoni, naona unaokoteza maelezo ya kipropaganda ndio unayatumia kujenga hoja kwenye ulimwengu wa uhalisia.
 
Back
Top Bottom