tumeshakubaliana kabisa kwamba kuanzia sasa kwenye neno UCHAGUZI basi weka UCHAFUZI..... endelea ...Uchaguzi umeisha na serikali iliyochaguiwa na Wananchi imeshaanza kuchapa kazi, Wananchi wa Tanzania wapo kimya wakisubiri kula matunda ya kile walichoahidiwa.
Hakuna propaganda. Jamaa yenu kawaharibia sana na makelele yake. Leo alhamis huko bungeni ulaya tumeshajadiliwa au bado?
Huna jipya, ulaya gani?
Dada huyo ameolewaaa[emoji444][emoji444]dada huyo ameolewa mahari yako tushapokea[emoji444][emoji444]Uchaguzi umeisha na serikali iliyochaguiwa na Wananchi imeshaanza kuchapa kazi, Wananchi wa Tanzania wapo kimya wakisubiri kula matunda ya kile walichoahidiwa.
Kinachoshangaza baada ya kupigwa kichapo cha mbwa mtu kwenye ballot box mnaleta propaga za kishamba ambazo hazina kichwa wala miguu.
Mnaeneza uongo usio na mantiki, mlianza na mkwara mara Lissu atahutubia Eu parliament, Lissu mwenyewe akakanusha,mkapata aibu. Mkaja na mkwara mwingine kuwa mmefile case Icc, mpaka sasa hatujasikia kitu kutoka Icc juu ya Tanzania. Leo hii mmeibuka na uongo mwingine, Bunge la umoja wa Ulaya kujadili hali ya siasa Tanzania. Lakini mpaka sasa hakuna taarifa rasmi toka EU juu ya uongo mnaoneza.
Kwa mantiki hii msitufanye sisi watanzania ni wajinga, tuachieni serilali tuliyoichagua ili itufanyie mazuri tuliyoahidiwa, mlishindwa kwenye ballot box na Chadema kukosa wabunge isiwe sababu ya kuleta mkanganyiko.
Robert Amsterdam: Hali ya kisiasa Tanzania kujadiliwa katika Bunge la Ulaya kesho Alhamisi
Ameandika hivyo katika akaunti yake ya twitter: Excellent news! The situation in #Tanzania will be discussed in @Europarl_EN on Thursday. Looking forward to the hearing, the world needs to know Tanzania is becoming a dictatorship under Magafuli! The fight for democracy continues. Will share the...www.jamiiforums.com
Ndio nini hicho?
Beberu wenu kaunguruma
Beberu gani, naona unaleta story za kitoto tu hapa.
Ndo maana hakuna anyewasikiliza hamna misimamo wakuu.
Kwahiyo vijana wengi waliotia nia kwa lengo la kukichagia chama, imekula kwao???? walikuwa wanadanganywa na uDC, RC, DED nk nk. Sasa kama mzee kasema habadirishi watendaji inakuwaje sasa?? wasubiri 2025 au????Tarartibu vijana, jiwe kashasema habadilishi wateule wake.
Mmm! Mtu angekamatwa hapo asingetoka akiwa hai.Nakuuliza wewe unaeuliza kwa nini wezi wa kura waliachiwa,walipaswa kupelekwa wapi?
Ukiona hao ma TISS wamesaidia upande huo nadhani ni kwamba wamejiridhisha unafaa. Vinginevyo wangesaidia upande huu ili nchi "ipone".Ndio Ngedere wa CCM walioko Nec, polisi, wakurugenzi na pandikizi wote Tiss
Lini chadema walikamata mhalifu wa kisiasa wa matukio kama haya wakaua?Mmm! Mtu angekamatwa hapo asingetoka akiwa hai.
Upande unaofaa ni ule unaochaguliwa na wananchiUkiona hao ma TISS wamesaidia upande huo nadhani ni kwamba wamejiridhisha unafaa. Vinginevyo wangesaidia upande huu ili nchi "ipone".
Mimi sina chama. Raisi nilichagua chama fulani, mbunge kingine, diwani kingine. Nilikuwa nachagua watu sio vyama. Huenda kuna wengine walifanya kama mimi.Kura za tofauti laki kati ya ubunge na urais ?!
Rekebisha hapo kwenye serikali iliyochaguliwa na wananchi. Weka serikali iliyowekwa na NEC, TISS Na DollaUchaguzi umeisha na serikali iliyochaguiwa na Wananchi imeshaanza kuchapa kazi, Wananchi wa Tanzania wapo kimya wakisubiri kula matunda ya kile walichoahidiwa.
Kinachoshangaza baada ya kupigwa kichapo cha mbwa mtu kwenye ballot box mnaleta propaga za kishamba ambazo hazina kichwa wala miguu.
Mnaeneza uongo usio na mantiki, mlianza na mkwara mara Lissu atahutubia Eu parliament, Lissu mwenyewe akakanusha,mkapata aibu. Mkaja na mkwara mwingine kuwa mmefile case Icc, mpaka sasa hatujasikia kitu kutoka Icc juu ya Tanzania. Leo hii mmeibuka na uongo mwingine, Bunge la umoja wa Ulaya kujadili hali ya siasa Tanzania. Lakini mpaka sasa hakuna taarifa rasmi toka EU juu ya uongo mnaoneza.
Kwa mantiki hii msitufanye sisi watanzania ni wajinga, tuachieni serilali tuliyoichagua ili itufanyie mazuri tuliyoahidiwa, mlishindwa kwenye ballot box na Chadema kukosa wabunge isiwe sababu ya kuleta mkanganyiko.
Kwa hiyo lengo la kulinda kura lilikuwa nini kama si kupeleka ushahidi polisi, wala nyie kushughulikia wahalifu?Lini chadema walikamata mhalifu wa kisiasa wa matukio kama haya wakaua?
Kwa hiyo lengo la kulinda kura lilikuwa ni kuua kama ulivyojinasibu hapo juu?Kwa hiyo lengo la kulinda kura lilikuwa nini kama si kupeleka ushahidi polisi, wala nyie kushughulikia wahalifu?