Hizi radi leo kazini kwangu kuna kazi

Hizi radi leo kazini kwangu kuna kazi

Tajiri Sinabay

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2024
Posts
1,333
Reaction score
3,619
Hakuna kitu nakiogopa (nina hofu nacho) duniani kushinda radi.
Radi zinapopiga huwa nakosa amani kabisa.

Tena zikigonga zile kubwa zaidi wakati nipo homu huwa nafunga milango na madirisha naingia chumbani nachukuwa shuka zito najifunika.

Kivumbi huwa pale zinapo piga wakati nipo kazini, kazi yangu ni uvuvi vuta picha tunakwenda baharini mbaaali kutoka nchi kavu.
huko hakuna kibanda wala mti ni maji tu. na inasemwa radi hushuka katika vitu virefu, mule baharini vitu virefu huwa ni sisi wavuvi na chombo/boti zetu.
Dah inahofisha sana.
 
Hakuna kitu nakiogopa (nina hofu nacho) duniani kushinda radi.
Radi zinapopiga huwa nakosa amani kabisa.

Tena zikigonga zile kubwa zaidi wakati nipo homu huwa nafunga milango na madirisha naingia chumbani nachukuwa shuka zito najifunika.

Kivumbi huwa pale zinapo piga wakati nipo kazini, kazi yangu ni uvuvi vuta picha tunakwenda baharini mbaaali kutoka nchi kavu.
huko hakuna kibanda wala mti ni maji tu. na inasemwa radi hushuka katika vitu virefu, mule baharini vitu virefu huwa ni sisi wavuvi na chombo/boti zetu.
Dah inahofisha sana.
Futa hilo jina la sivyo utabakia kuwa kijana maskini maisha yako yote!
 
Hakuna kitu nakiogopa (nina hofu nacho) duniani kushinda radi.
Radi zinapopiga huwa nakosa amani kabisa.

Tena zikigonga zile kubwa zaidi wakati nipo homu huwa nafunga milango na madirisha naingia chumbani nachukuwa shuka zito najifunika.

Kivumbi huwa pale zinapo piga wakati nipo kazini, kazi yangu ni uvuvi vuta picha tunakwenda baharini mbaaali kutoka nchi kavu.
huko hakuna kibanda wala mti ni maji tu. na inasemwa radi hushuka katika vitu virefu, mule baharini vitu virefu huwa ni sisi wavuvi na chombo/boti zetu.
Dah inahofisha sana.
Yaani umemaliza kulijenga taifa lako kwa uzi kama huu!!
 
Hakuna kitu nakiogopa (nina hofu nacho) duniani kushinda radi.
Radi zinapopiga huwa nakosa amani kabisa.

Tena zikigonga zile kubwa zaidi wakati nipo homu huwa nafunga milango na madirisha naingia chumbani nachukuwa shuka zito najifunika.

Kivumbi huwa pale zinapo piga wakati nipo kazini, kazi yangu ni uvuvi vuta picha tunakwenda baharini mbaaali kutoka nchi kavu.
huko hakuna kibanda wala mti ni maji tu. na inasemwa radi hushuka katika vitu virefu, mule baharini vitu virefu huwa ni sisi wavuvi na chombo/boti zetu.
Dah inahofisha sana.
Usiogope radi unazozisikia, ukiisikia radi ujue wewe uko hai na usipoisikia ujue tayari tuliobaki tutaufinya kwa niaba yako.
 
Hofu ondoa, ni sauti ya radi tu ndio yakutisha...

Ile makitu inatangulia umeme/mwanga halafu sauti huja baadaye ikishakuwa imelamba kitu ilichokishukia...
 
Astraphobia naskia huwa mara nyingi inaisha yenyewe me pia mkuu nimejitahidi imepungua, lakini bado ipoipo mvua ya radi zile kali kali ikinyesha huwa inanipa wakati mgumu
 
Back
Top Bottom