Hizi roho za watu wasio na hatia waliouawa siku ya mapinduzi ya Zanzibar January 12, 1964 zinahitaji kutendewa haki

Hizi roho za watu wasio na hatia waliouawa siku ya mapinduzi ya Zanzibar January 12, 1964 zinahitaji kutendewa haki

Missile of the Nation

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2018
Posts
15,101
Reaction score
56,054
Wengi tunaambiwa kuwa yale ni mapinduzi matukufu.

Lakini tusichoelezwa ni kuwa yale yalikuwa na viashiria vyote vya mauaji ya Kimbari.

Watu wasio na hatia waliuawa mchana kweupe.

Wakati mapinduzi yakifanyika kuna Waitaliano walikuwa wanazunguuka na Helicopter na kuchukua video mbalimbali kinachoendelea chini.

Video imeonyesha makaburi ya halaiki.
Video imeonyesha watu wakijaribu kukimbia kisiwa kwa matanga.

Video imeonyesha watu waliozagaa ufukweni kama nzige huku wakionyesha dalili za kufa.

Haya yote yalitokea Zanzibar. Watu wakauliwa kama wanyama!

Hii yote ili iweje, ili iwe nini na kwa nini?

Kwa video hii, kwa hali hii, hizi roho za waliodhulumiwa maisha yao zinastahili haki. Zanzibar kamwe haiwezi kuwa sawa sawia mpaka hizi roho zitendewe haki. Hii ni dhulma kubwa kabisa walitendewa watu hawa.

Hiii ni video iliyochukuliwa tarehe 12/January 1964 siku ya mapinduzi inaumiza sana:

 
Wengi tunaambiwa kuwa yale ni mapinduzi matukufu.

Lakini tusichoelezwa ni kuwa yale yalikuwa na viashiria vyote vya mauaji ya Kimbari.

Watu wasio na hatia waliuawa mchana kweupe.

Wakati mapinduzi yakifanyika kuna Waitaliano walikuwa wanazunguuka na Helicopter na kuchukua video mbalimbali kinachoendelea chini.

Video imeonyesha makaburi ya halaiki.
Video imeonyesha watu wakijarinu kukimbia kisiwa kwa matanga.

Video imeonyesha watu waliozagaa ufukweni kama nzige huku wakionyesha dalili za kufa.

Haya yote yalitokew Zanzibar. Watu wakauliwa kama wanyama!

Hii yote ili iweje, ili iwe nini na kwa nini?

Kwa video hii, kwa hali hii, hizi roho za waliodhulumiwa maisha yao zinastahili haki. Zanzibar kamwe haiwezi kuwa sawa sawia moaka hizi roho zitendewe haki. Hii ni dhulma kubwa kabisa walitendewa watu hawa.

Hiii ni video iliyochukuliwa tarehe 12/January 1964 siku ya mapinduzi inaumiza sana:

View attachment 2481240
Hayo makaburi mbona sijayaona?
 
Hayo makaburi mbona sijayaona?
Anzia 0:54 mpaka 1:25 utaona wengine wamekufa chini ya mti ni maiti hizo sio watu hai ambao ukiangalia 0:08 hadi 0:30 walikua hai ilirudi helicopter jamaa wameshawafyeka chini ya mti ule
 
Watu wakiwa wanakimbia for theirs lives walipata wapi muda wa kuzikana kwa muda huo hadi kwenye hiyo sinema yaonekane makabuli?.
Kuna waliokuwa wakikimbia (hasa wanachama wa vyama pinzani), aidha siyo chama tawala wote walikuwa wabaya jamani. Mfano, katika jamii utakuta baba yuko chama A, mtoto na mjomba wake wako chama B, je ikitokea hasara kama ile ndiyo watashindwa kuwazika?
 
Mkuu inawezekanaje mapinduzi siku hiyo hiyo na makaburi pia!?
Kwa rekodi sahihi tu: mapinduzi yalitokea usiku mmoja lakini mauaji na hasa sehemu za vijijini yaliendelea kwa kipindi kidogo, mpaka Serikali mpya ilichukuwa hatua ya kuwachukua baadhi ya watu (hasa kutoka vyama vya upinzani) na kuwaweka sehemu kuwahifadhi na kuwalinda.
 
Back
Top Bottom