Huwa najiuliza maana siku hizi huko kwenye redio na mikutano ya kikristo msisitizo mkubwa ni sadaka. Ingekuwa sadaka hizi haziwanufaishi hawa wahubiri( wao husema mtolee Mungu), wangekuwa kweli na bidii ya kutengeneza mafundisho haya (aghalabu mengi ni ya uongo na matisho tu) yenye msisitizo wa kutoa sadaka?
Hakuna tena mkazo kwenye kuokoa roho za watu maana hizi hazina faida kwao. Wahubiri wamegeuka kuwa watu wa kujipatia mapato ya aibu kama biblia inavyosema. Pesa,pesa,pesa. Wameipa majina mengi mara sadaka, mara matoleo, mara sadaka maalum....n.k lakini yote ni PESA inatakiwa. Unaitwa kwenye mikutano ya injili uanaambiwa eti hakuna kiingilio.
Ukifika huko unahubiriwa habari za kutoa na kutishwa kwa laana zitakazokupata usipotoa. Ni aibu kabisa kwa imani yetu ya kikristo. Hakuna tena apostolic succession. Mtu anaibuka from nowhere na motive yake ni kutengeneza pesa anaanzisha kanisa lake. Shame on those who have turned the gospel into a commodity to sell. Watapata adhabu iliyo kuu.
Hakuna tena mkazo kwenye kuokoa roho za watu maana hizi hazina faida kwao. Wahubiri wamegeuka kuwa watu wa kujipatia mapato ya aibu kama biblia inavyosema. Pesa,pesa,pesa. Wameipa majina mengi mara sadaka, mara matoleo, mara sadaka maalum....n.k lakini yote ni PESA inatakiwa. Unaitwa kwenye mikutano ya injili uanaambiwa eti hakuna kiingilio.
Ukifika huko unahubiriwa habari za kutoa na kutishwa kwa laana zitakazokupata usipotoa. Ni aibu kabisa kwa imani yetu ya kikristo. Hakuna tena apostolic succession. Mtu anaibuka from nowhere na motive yake ni kutengeneza pesa anaanzisha kanisa lake. Shame on those who have turned the gospel into a commodity to sell. Watapata adhabu iliyo kuu.