Hizi shule za English Medium zimetugeuza Wazazi kuwa Walimu?

Hizi shule za English Medium zimetugeuza Wazazi kuwa Walimu?

Ni marufuku kumfanyia mtoto wako homework, sasa hapo mwalimu atampimaje kama alielewa au hakuelewa.
Wajibu wako km mzazi ni kuhakikisha mwano anapata muda wa kufanya home work na amalize, hata ukimuona ameandika masifuri sifuri mwache akachezee fimbo au azomewe na wenzake ndio atapata akili.
 
Aisee hii ni shida mwanangu maswali ya darasa la pili uafikir form3 du watamuua mwanangu, kweli mtoto wa std 2 una muuliza swali la mention four symptoms of tuberculosis kweli, mpaka nikampigia rafiki yanyu doctor mana mimi nilikua najua 2 tu. Sasa sijui nasoma mimi au mwanangu
Huoni imekusaidia, nawe umejifunza inamaana usingejua hayo mambo ya TB bila dogo....
 
Dogo aliwahi kuja na hii, "Parents use mobile phone, ___________, ___________ and ________.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]!

Utopolo mtupu.

Swali ambiguous lisilokuwa na mbele wala nyuma!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Mtoto wangu Homework ya Kiswahili alikosa methali na nahau, mtoto akaulizwa nani kakusaidia akajibu baba... Mwalimu akamwambia babaako na wewe wote akili hamna....

Taarifa ikanifikia, nikaona isiwe tabu, kwakuwa ni class VII nimemhamisha mkoa yupo boarding na homework hainihusu tena.
[emoji86][emoji23]
 
Nilidhani tatizo liko kwangu tu, kumbe hata kwa wengine? Mtoto wangu ameanza darasa la kwanza 'medium school'. Mbali na ada kuna tuition. Halafu naona kwamba watoto wanafundishwa kwa kukaririshwa na siyo kuelewa. Nijuavyo mimi tuition inahitajika labda kwa mtoto mwenye mahitaji maalumu na siyo kwamba ni aina ya ku'catch up' kwa mwanafunzi darasani. Ada tunalipa kubwa, mtoto haelewi na hata anayofundishwa tuition haelewi na tuition iko kwenye Sh25,000 kwa mwanafunzi. Watoto wanapewa diary kuleta nyumbani, halafu unakuta mtoto ndiye anayeambiwa aandike kwenye diary. Sasa kama mtoto hajaelewa anachotakiwa kufanya, mzazi hajui mwalimu anachohitaji. Watoto pia wanafundishwa na walimu ambao wako trained kufundisha madarasa ya juu, lakini hawana skills za kuwafundisha watoto wadogo. Ni shida na inanipa hasira sana maana naona kama ada ninayolipa inakufa bure!
Kabisa mkuu.
Ualimu ni profession ya watu.
Wamesomea na wanalipwa!!
Kwa Nini mtoto asielewe wanapomfundisha?
Mbona mambo ya kawaida nyumbani anaelewa?
 
Dogo aliwahi kuja na hii, "Parents use mobile phone, ___________, ___________ and ________.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]!

Utopolo mtupu.

Swali ambiguous lisilokuwa na mbele wala nyuma!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sasa hapo utajua Nini amefundishwa huko?
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Mtoto wangu Homework ya Kiswahili alikosa methali na nahau, mtoto akaulizwa nani kakusaidia akajibu baba... Mwalimu akamwambia babaako na wewe wote akili hamna....

Taarifa ikanifikia, nikaona isiwe tabu, kwakuwa ni class VII nimemhamisha mkoa yupo boarding na homework hainihusu tena.

Mtoto anaamini baba yake ni shujaa. Baba yake anajua kila kitu, baba yake anapiga "dunia zima" leo mwalimu anamkatisha tamaa mtoto kwa kumwambia "baba yake" hana akili. Hakumfanyia vizuri mtoto.
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Mtoto wangu Homework ya Kiswahili alikosa methali na nahau, mtoto akaulizwa nani kakusaidia akajibu baba... Mwalimu akamwambia babaako na wewe wote akili hamna....

Taarifa ikanifikia, nikaona isiwe tabu, kwakuwa ni class VII nimemhamisha mkoa yupo boarding na homework hainihusu tena.
Mimi ningemfikishia mwalimu ujumbe wake.
Kuwa yeye ndio Hana akili kwa kushindwa kutambua Mimi sio mwalimu.
Na Sina teaching ethics yoyote.
Kazi yangu kutafuta hela.!
Pumbafu kabisa
 
Acha kabisa mkuu, binafsi pia inaniboa mnoo.
Hapa dogo kaniletea maswali,nmejibu lakini kuna maswali mawili nmechemka.wajuzi wanisaidie please.

1.Farming involving permanent settlement is called...........
2.Farming with no permanent settlement is called.............

Nmemuambia akalale,namtafutia majibu atajaza alfajiri..nmejaribu ku Google lakini wapi
1. Large Scale agriculture, eg Sisal in Tanga,Cashenut in Mtwara,Cloves in Zanzibar and Sugar cane in Morogoro. etc.
2. Beans, Cassava, those are scale for consumer only.
Najaribu kuchangamsha bongo kwakuwa Nina mabanda ya Geography na social studies.
 
Kabisa mkuu.
Ualimu ni profession ya watu.
Wamesomea na wanalipwa!!
Kwa Nini mtoto asielewe wanapomfundisha?
Mbona mambo ya kawaida nyumbani anaelewa?
Tena hawa watoto wadogo wakipata mwalimu mzuri wanaelewa ajabu. Mtoto wangu wa pili ana miaka 3 - kwa sasa anajua kuhesabu hadi 20. Akitaka kwenda haja anasema. Kama hataki kula aina fulani ya chakula anasema. Ukimpa kitu anasema 'asante baba au asante mama'. Akimaliza kula anapeleka vitu sehemu vinavyooshewa. Anajua kutaja rangi vitu mbalimbali mbalimbali na analilia aende shule ingawa hajaanza. Kwa hiyo, mtoto mdogo ni rahisi kushika jambo na hasahau kwa urahisi. Hizi shule za 'English medium' hizi ni tatizo kubwa! Shuleni anaposoma first born wangu nikiona bango la shule limeandikwa 'English medium' napata kichefuchefu sana!
 
Acha kabisa mkuu, binafsi pia inaniboa mnoo.
Hapa dogo kaniletea maswali,nmejibu lakini kuna maswali mawili nmechemka.wajuzi wanisaidie please.

1.Farming involving permanent settlement is called...........
2.Farming with no permanent settlement is called.............

Nmemuambia akalale,namtafutia majibu atajaza alfajiri..nmejaribu ku Google lakini wapi
1 estate/ plantation
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sasa hapo utajua Nini amefundishwa huko?

Shida ndugu yangu, nikamwambia kama ni hivyo wewe jaza jaza tu hapo:

"cars, sewing machines and gas cookers."

Maana swali kama lilivyo ni purely ambiguous. Kaja kakosa yote 😂😂😂😂😂!

Hahaahaaa ananiambia "baba uliyonisaidia nimekosa yote!"

Hizi shule hizi. Utopolo mtupu!

Namsaidia vipi kwa hali hii hali sikuwapo darasani?
 
Acha kabisa mkuu, binafsi pia inaniboa mnoo.
Hapa dogo kaniletea maswali,nmejibu lakini kuna maswali mawili nmechemka.wajuzi wanisaidie please.

1.Farming involving permanent settlement is called...........
2.Farming with no permanent settlement is called.............

Nmemuambia akalale,namtafutia majibu atajaza alfajiri..nmejaribu ku Google lakini wapi
😂😂😂😂
 
Watoto kila siku wanarudi na homework mpya mzazi uwasaidie. Ukimuuliza anakuambia mwalimu hajamuelekeza akaelewa.

Sasa nalipia ada zaidi ya milioni ili watoto wapewe homework niwe mwalimu wao?
Kwa nini hawawafundishi wanafunzi wakaelewa ndipo wawape hizo home work wakazifanye!?

Wazazi wengine hatuna hulka ya kufundisha na wengine ndio tuliishia la sababa.

Tunatafuta hela na kulipa ada ili walimu wawafundishe sio watuletee homework kuja kutupima ujinga wetu..!! Walimu fanyeni kazi yenu ya kufundisha msihamishe goli.

Mbona kwenye ada hatupunguziwi kwamba tumeshiriki kufundisha watoto hivyo tulipwe stahiki zetu!?
•Home Tuitor nipo nafanya hata Online 0759 170 823. Englishmedium (Science,
Maths na ICT)

•Nafundisha Chemistry, Physics, Biology. O-level na A-level (kwa WhatsApp)

•Maths, Engineering science, ( O-level
pekee)
0759 170 823, nitumie SMS
 
Mimi ningemfikishia mwalimu ujumbe wake.
Kuwa yeye ndio Hana akili kwa kushindwa kutambua Mimi sio mwalimu.
Na Sina teaching ethics yoyote.
Kazi yangu kutafuta hela.!
Pumbafu kabisa
Mkuu, kama yupo humu najua ananisoma. Nilimfuata nikamwambia, akamchukia mtoto kwa kufikisha habari, usalama wa mtoto ukawa mdogo, nikamhamisha.
Namshukuru Mungu sasa yupo huru amezoea mazingira ya baridi.
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Mtoto wangu Homework ya Kiswahili alikosa methali na nahau, mtoto akaulizwa nani kakusaidia akajibu baba... Mwalimu akamwambia babaako na wewe wote akili hamna....

Taarifa ikanifikia, nikaona isiwe tabu, kwakuwa ni class VII nimemhamisha mkoa yupo boarding na homework hainihusu tena.

Naunga mkono hoja yako. Wapuuzi sana hawa jamaa.
 
Masomo kama SOCIAL STUDIES ni magumu kweli kweli. Mtoto darasa la tano anapewa swali la homework utadhani ni A level- "Explain in details the benefits and challenges of Regional integration by siting examples in economic, social and other aspects "!! [emoji86][emoji86][emoji86]

Mimi mzazi, I am like...seriously? [emoji56].

Sijui elimu siku hizi ipoje?
Hili swali n form six GS mkuu ,hawezi pewa swali LA namna hii
 
Back
Top Bottom