Vera ginger
JF-Expert Member
- Dec 25, 2016
- 1,458
- 1,887
[emoji1] [emoji1] [emoji1] halagu ukikosea tu mtoto anaanza kusema hujui,kesho yake anatafuta mwingine wa kumsaidiaNiliwahi kumfanyia dogo homework akaenda akakosa yote
Hebu kila mtu afanye kazi yake wasee mi na stress zangu za pesa na kujipiga na nyundo kwenye vidole badala mwalimu ufanye kaz yako unaniongezea mzigo na mm tena?
1. Zero grazing 2. Non zero grazingAcha kabisa mkuu, binafsi pia inaniboa mnoo. Hapa dogo kaniletea maswali,nmejibu lakini kuna maswali mawili nmechemka.wajuzi wanisaidie please.
1.Farming involving permanent settlement is called...........
2.Farming with no permanent settlement is called.............
Nmemuambia akalale,namtafutia majibu atajaza alfajiri..nmejaribu ku Google lakini wapi
Nilikataa kbs habari za tutionNilidhani tatizo liko kwangu tu, kumbe hata kwa wengine? Mtoto wangu ameanza darasa la kwanza 'medium school'. Mbali na ada kuna tuition. Halafu naona kwamba watoto wanafundishwa kwa kukaririshwa na siyo kuelewa. Nijuavyo mimi tuition inahitajika labda kwa mtoto mwenye mahitaji maalumu na siyo kwamba ni aina ya ku'catch up' kwa mwanafunzi darasani. Ada tunalipa kubwa, mtoto haelewi na hata anayofundishwa tuition haelewi na tuition iko kwenye Sh25,000 kwa mwanafunzi. Watoto wanapewa diary kuleta nyumbani, halafu unakuta mtoto ndiye anayeambiwa aandike kwenye diary. Sasa kama mtoto hajaelewa anachotakiwa kufanya, mzazi hajui mwalimu anachohitaji. Watoto pia wanafundishwa na walimu ambao wako trained kufundisha madarasa ya juu, lakini hawana skills za kuwafundisha watoto wadogo. Ni shida na inanipa hasira sana maana naona kama ada ninayolipa inakufa bure!
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Mtoto wangu Homework ya Kiswahili alikosa methali na nahau, mtoto akaulizwa nani kakusaidia akajibu baba... Mwalimu akamwambia babaako na wewe wote akili hamna....
Taarifa ikanifikia, nikaona isiwe tabu, kwakuwa ni class VII nimemhamisha mkoa yupo boarding na homework hainihusu tena.
Sipati picha..ulivyomdisappoint dogoNiliwahi kumfanyia dogo homework akaenda akakosa yote
Hebu kila mtu afanye kazi yake wasee mi na stress zangu za pesa na kujipiga na nyundo kwenye vidole badala mwalimu ufanye kaz yako unaniongezea mzigo na mm tena?
Mtoto anapewa "Homework" ili aushughulishe ubongo wake na siyo akuulize wewe mzazi umsaidie. Siyo jukumu lako wewe mzazi kumsaidia mtoto wako kufanya "homework" , ukimsaidia unamfanya kuwa tegemezi.Watoto kila siku wanarudi na homework mpya mzazi uwasaidie. Ukimuuliza anakuambia mwalimu hajamuelekeza akaelewa.
Sasa nalipia ada zaidi ya milioni ili watoto wapewe homework niwe mwalimu wao?
Kwa nini hawawafundishi wanafunzi wakaelewa ndipo wawape hizo home work wakazifanye!?
Wazazi wengine hatuna hulka ya kufundisha na wengine ndio tuliishia la sababa.
Tunatafuta hela na kulipa ada ili walimu wawafundishe sio watuletee homework kuja kutupima ujinga wetu..!! Walimu fanyeni kazi yenu ya kufundisha msihamishe goli.
Mbona kwenye ada hatupunguziwi kwamba tumeshiriki kufundisha watoto hivyo tulipwe stahiki zetu!?
Hivi kuna kilimo cha kuhamahama 🤣🤣🤣🤣Acha kabisa mkuu, binafsi pia inaniboa mnoo. Hapa dogo kaniletea maswali,nmejibu lakini kuna maswali mawili nmechemka.wajuzi wanisaidie please.
1.Farming involving permanent settlement is called...........
2.Farming with no permanent settlement is called.............
Nmemuambia akalale,namtafutia majibu atajaza alfajiri..nmejaribu ku Google lakini wapi
Aisee! Kumbe ndio ipo hivoWatoto mia zaidi chumba kimoja, buku mbili daily kwa ajili uji na lunch balaa tupu! Kisa, kufuata ung'enge wa bei nafuu. Cheap is expensive.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Acha kabisa mkuu, binafsi pia inaniboa mnoo. Hapa dogo kaniletea maswali,nmejibu lakini kuna maswali mawili nmechemka.wajuzi wanisaidie please.
1.Farming involving permanent settlement is called...........
2.Farming with no permanent settlement is called.............
Nmemuambia akalale,namtafutia majibu atajaza alfajiri..nmejaribu ku Google lakini wapi
Of course, hata mimi nimekataa. Ila tatizo mtoto wangu hajaelewa vizuri. Mfano, kwenye maths mtoto naona amefundishwa kujua missing number in an ascending order. Mfano, akipewa swali kama: fill in the missing numbers: 1, 2,--, --, 5,--, --, ---, 9, etc anajua. Lakini akipewa swali kama: fill in the missing numbers: 11, --,--, --, 7, --, --, --, 3, mtoto ataandika 12, 13, 14, 15, 16, 17. Kwa hiyo, inawezekana mwalimu hajawahi kuwaonyesha hizi njia mbili kwamba kwenye ascending order unaanza na namba ndogo kwenda kubwa na kwenye descending order unaanza na namba kubwa kwenda ndogo. Sasa hivi nimeamua nitenge muda wangu angalau kila siku kwa nusu saa nipitiea vitabu wanavyotumia na ni'formulate' maswali kwa muda kadhaa mpaka nitakapojiridhisha kwamba ame'catch up'. Otherwise, akienda darasa la 2 akiwa tabula rasa hivi, hatakuwa amepta background nzuri kwa mambo ya msingi.Nilikataa kbs habari za tution
Wanatafuta pesa tu kiujanja
Une ane a 365 jours,Dans une ane'e il'ya combie'n du jours?
[emoji1787] wanachosha na huwa hawakubali kirahisi ukiwaambia ntasaini kesho...ninao wawili basi kila siku ni kusoma...!Hakika umesema kweli yani kwa sasa na mm najiona nipo grade 3 A hahaha maana leo uataulizwa what is th process of changing liquid to gas mara draw coat of arm yan kwa kwel inachosha.
Huwa nawaza vipi kwa wale wazazi ambao hawajafika hata form four hawa watoto wanawasidiaje home work
Bado asubuhi hujakumbushwa kusign diary
Acha tu, kijana wangu kaisha kabaki kichwa tu...! Akirudi ana homework zaidi ya 1 anafanya kisha analala anaamka tena alfajiri kumalizia namuhurumia lakini simuoneshi...ajikaze tu si kwa ubaya [emoji5]Masomo kama SOCIAL STUDIES ni magumu kweli kweli. Mtoto darasa la tano anapewa swali la homework utadhani ni A level- "Explain in details the benefits and challenges of Regional integration by siting examples in economic, social and other aspects "!! [emoji86][emoji86][emoji86]
Mimi mzazi, I am like...seriously? [emoji56].
Sijui elimu siku hizi ipoje?
Ahaaaaaa,diskasheni hiyo umegoma ,yaan muda wa castle lager eti uaze kubadilishana mawazo na mtahiniwaAkiwa anakosea utamuacha akosee?
Na hapo NDIPO mzazi anapofanya hyo homework
Une ane a 365 jours,
Cè ça?
E'toi,vous etes francophone?