DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Today you choose to cultivate what you didn't cultivate yesterday?
Mimi kisamvu sili maisha yangu yote, siipendi hata ipikwe kwa nazi 10!
Mnavu ni dawa ya mapunye ya kichwa. Ulikula Griseofluvin.Mengine hayo ni magugu, walioyagundua walikuwa wanajaribujaribu wakaona hawajafa wakayaita mboga za majani. Mfano mnavu na mchunga sijui unaitwa.
Mara ya kwanza kuonja mnavu nilikuwa shule, nikahisi supplier wa chakula kakosea mboga kaleta majani ya mbuzi. Nikasikia mchungu na hauna radha ya kustahili kuitwa chakula labda uitwe dawa, nikawaambia wadau leo supplier kapigwa wakulima wamemkusanyia malisho ya mbuzi. Washkaji wakanieleza eti hiyo ni mboga, haikuniingia akilini.
Mm nadhani inategemea na mapishi mana kuna hizo zilizotajwa hapo zikipikwa vzr utajilamba hadi vidoleMajani ya Sungura sema ndio Maisha tu mnavu mtamu sana ukimixiwa na spinach na mapaja ya kuku
Kisamvu kinafanyiwa make up ili kiwe mboga, kutwanga, karanga, kuchemsha n.k.Kisamvu kipikwe na karanga vizuri, siwezi kuacha kuongeza chakula kwa hamu tu maana nakipenda 🙌🏾🙌🏾
Ila najua another man's food is another man's poison. Hivyo upo sawa kabisa
Kama ulimaanisha Matembele ni majani ya viazi boss umechanganyaEpuka utapia mlo. Hauwezi kula majani ya viazi 🥔 ukasema umekula mboga. Tafuta broccoli 🥦 spinach na lettuce 🥬
Tamu sana na waliMimi kisamvu sili maisha yangu yote, siipendi hata ipikwe kwa nazi 10!
Kitu kichungu ka chloroquineMajani ya Sungura sema ndio Maisha tu mnavu mtamu sana ukimixiwa na spinach na mapaja ya kuku
Kuna aina km 3, mkali wenyewe muarobaini ukasome, mkali kawaida alafu upo uliopoozana mchunga
Ile miekundu sio?Kuna aina km 3, mkali wenyewe muarobaini ukasome, mkali kawaida alafu upo uliopooza
Ongezea mlendapori hii pia IPO ya aina mbili
Ongezea mchichapori hii pia IPO aina mbili mmoja una miiba mwingine hauna miiba
Ni majani kwa ajili ya kuzuia soil erosionKama ulimaanisha Matembele ni majani ya viazi boss umechanganya
Hii nimeisahauMboga nisiyopenda ni mlenda kwakweli sijawahi kupenda mlenda japo nikikuta ugenini ndo mboga iliyoandaliwa huwa nagusa kiaina nisionekane nachagua msosi ila bamia napenda ikiwa imepikwa nzima nzima
Ndio nimesema mixing hata Bata alivyomchafu kuna mpuuzi akimpika utawachukia Bata wote wanapikwa Dunia nzima Ila ukipata mpishi hodari utasaka nyama ya Bata km huna Akili nzuriMm nadhani inategemea na mapishi mana kuna hizo zilizotajwa hapo zikipikwa vzr utajilamba hadi vidole
So maharage hua unapika kwa dakika ngapiLazima penye ukweli tuseme. Umaskini unatufanya tuzipambe ziwe mboga. Kisamvu mboga ina hatua 11 za maandalizi ili ipikwe iliwe. Hakuna mboga inapikwa more than 6 minutes