Swahili AI
JF-Expert Member
- Mar 2, 2016
- 10,174
- 89,364
- Thread starter
-
- #121
Muda wa kuiandaa hii mboga wanapata wapi?Wacongo wangekufa wote maana kinalika iwe asubuhi,mchana au jioni na kila nyumba
Hizi sasa ndiyo mboga hasa. Nyingine zinaiga tuKuna baadhi ya majani tumeamua kuyatunuku cheo kwamba ni mboga za kushushia na chakula.
Ila mimi nazipinga.
Mfano:
Majani ya maboga
Kisamvu
Mchunga
Majani ya kunde
Matembele
Mlenda
Mengine nimesahau majina.
Tuache kuyapakazia kuwa ni mboga, tunayasingiziq na hayana manufaa yoyote mwili bali ni shushia ugali tu.
Jamaa ni wa kufunga jela huyo. Anadharau mboga zangu kipenzi. Mimi hizi mbona hata nile namna gani sichoki.Mboga ambayo haina nutrients ni majani makavu, zingine zote hapo zinazo.
Hivi kabichi wanaume limewakosea nini? Kwetu wakati tunakua kaka zangu walikuwa hawali wanasema mmepika vitunguu.Umetoka zako shule una njaa balaa. Kufunua vyombo,// ugali na kabichi wtf???
Utoto ilikua raha sana.
Siku hizi mie ndio nawadanganya wanangu ugali kabichi vinaongeza vitamin
Mimi kwakweli mboga za majani zote ni rafiki yangu.Jamaa ni wa kufunga jela huyo. Anadharau mboga zangu kipenzi. Mimi hizi mbona hata nile namna gani sichoki.
Ushakutana na kisamvu kimewekwa utumbo wewe mixer karanga na unapiga na ugali wa dona?. Acheni masihara watoto wa kishua nyie hivi sisi ndio vimetulea. Mimi nasema kwa eksipiriensiMimi kisamvu sili maisha yangu yote, siipendi hata ipikwe kwa nazi 10!
Sijakuelewa , una maanisha hawana muda au ?Muda wa kuiandaa hii mboga wanapata wapi?
Maandalizi yake mkuu, kutwanga, kuchemsha n.kSijakuelewa , una maanisha hawana muda au ?
Sasa hiyo ndio mboga kuu drc hayo yote yanafanyikaMaandalizi yake mkuu, kutwanga, kuchemsha n.k
ila tuwe wakwel mm nakula mboga zote ...ila nyanya chungu hapana hiz sio mboga n kula sababu ya shida tu1. Matembeie miksa nyanya chungu
2.Kisanvu miksa kunde mbichi....hii kitu nazipenda sana, vijana mnaokula mapiza hamtaelewa aiseee....
Daah hizo sasa unapikia mchemsho , minyanya, kaloti, hoho yaani bonge la sotojo, ugali mdogoo.....kwa wale wazee wa daily kimoko, zinaongeza udambwi๐ila tuwe wakwel mm nakula mboga zote ...ila nyanya chungu hapana hiz sio mboga n kula sababu ya shida tu
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Jamii forum kuna watu ni cream grade one ya hii website iq zao ,akili zao , uzi zao , mawazo yao
Afu kuna grade ya kati hawa hawa atleast iq zao wana piga nyuzi kali pia
Kuna makapi ya jamii forum kama huyu mwandishi huwa wanaanzisha uzi hata kama huna manufaaa mara nyigi uzi unakuwa mfupi kama status ya whatsapp afu full pumba ....makapi ya jamii forum siku hizi yapo mengi sana
Mkuu umenichekesha sanaJamii forum kuna watu ni cream grade one ya hii website iq zao ,akili zao , uzi zao , mawazo yao
Afu kuna grade ya kati hawa hawa atleast iq zao wana piga nyuzi kali pia
Kuna makapi ya jamii forum kama huyu mwandishi huwa wanaanzisha uzi hata kama huna manufaaa mara nyigi uzi unakuwa mfupi kama status ya whatsapp afu full pumba ....makapi ya jamii forum siku hizi yapo mengi sana
Sure mkuuYou know nothing about nutrients
Dig more knowledge as to get rid from the ignorance hole.
๐๐๐๐๐Hizo hela za betting zitaisha.
Utalitafuta tembele hutaliona
Zimekukuza hizi.Kuna baadhi ya majani tumeamua kuyatunuku cheo kwamba ni mboga za kushushia na chakula.
Ila mimi nazipinga.
Mfano:
Majani ya maboga
Kisamvu
Mchunga
Majani ya kunde
Matembele
Mlenda
Mengine nimesahau majina.
Tuache kuyapakazia kuwa ni mboga, tunayasingiziq na hayana manufaa yoyote mwili bali ni shushia ugali tu.
Sijala hizi mkuuZimekukuza hizi.
Usiache mbachao Kwa msala upitao.
Wewe bila shaka utakuwa wale mboga thelathini tena zipatwazo baada ya kukwiba kodi zetu๐Kuna baadhi ya majani tumeamua kuyatunuku cheo kwamba ni mboga za kushushia na chakula.
Ila mimi nazipinga.
Mfano:
Majani ya maboga
Kisamvu
Mchunga
Majani ya kunde
Matembele
Mlenda
Mengine nimesahau majina.
Tuache kuyapakazia kuwa ni mboga, tunayasingiziq na hayana manufaa yoyote mwili bali ni shushia ugali tu.