Hizi sio mboga ni jaza tumbo

Hizi sio mboga ni jaza tumbo

Kuna baadhi ya majani tumeamua kuyatunuku cheo kwamba ni mboga za kushushia na chakula.
Ila mimi nazipinga.

Mfano:
Majani ya maboga
Kisamvu
Mchunga
Majani ya kunde
Matembele
Mlenda

Mengine nimesahau majina.

Tuache kuyapakazia kuwa ni mboga, tunayasingiziq na hayana manufaa yoyote mwili bali ni shushia ugali tu.
We kichwa maji kweli jamaa!!

Japo unachekesha mno!!Kuna uzima kwenye hizo mboga kuliko kwenye hizo za kizungu za ku control population hasa jamii ya Chinese, spinach etc!!

Kula mgagani na aina ya mboga chungu upone uric acid ndio maana Wana was israel kule misri waliambiwa wale nyama na mboga chungu!!?kwanini!!?coz uchungu was mboga no basic in nature ambayo itaenda ku neutralize acid (tindikali mwilini) hiyo tindikali ndio inaleta magonjwa !

That's why vegetarians hawaugui magonjwa hovyo hovyo!!
Hivyo TU!
 
Kuna baadhi ya majani tumeamua kuyatunuku cheo kwamba ni mboga za kushushia na chakula.
Ila mimi nazipinga.

Mfano:
Majani ya maboga
Kisamvu
Mchunga
Majani ya kunde
Matembele
Mlenda

Mengine nimesahau majina.

Tuache kuyapakazia kuwa ni mboga, tunayasingiziq na hayana manufaa yoyote mwili bali ni shushia ugali tu.
Umetukosea
 
Mboga zote izo fresh!! Ila aliyegundua kabichi alaaniwe!
Kuna siku nimekuta limepikwa mchemsho na ugali navyokula nikajihisi nimekuwa ng'ombe nakatiwa mashina ya mgomba!

Ila mnafu wa Nazi na kitimoto ugali!! Noma
 
Kuna baadhi ya majani tumeamua kuyatunuku cheo kwamba ni mboga za kushushia na chakula.
Ila mimi nazipinga.

Mfano:
Majani ya maboga
Kisamvu
Mchunga
Majani ya kunde
Matembele
Mlenda

Mengine nimesahau majina.

Tuache kuyapakazia kuwa ni mboga, tunayasingiziq na hayana manufaa yoyote mwili bali ni shushia ugali tu.
Jamii forum kuna watu ni cream grade one ya hii website iq zao ,akili zao , uzi zao , mawazo yao

Afu kuna grade ya kati hawa hawa atleast iq zao wana piga nyuzi kali pia

Kuna makapi ya jamii forum kama huyu mwandishi huwa wanaanzisha uzi hata kama huna manufaaa mara nyigi uzi unakuwa mfupi kama status ya whatsapp afu full pumba ....makapi ya jamii forum siku hizi yapo mengi sana
 
Mbo
Kuna baadhi ya majani tumeamua kuyatunuku cheo kwamba ni mboga za kushushia na chakula.
Ila mimi nazipinga.

Mfano:
Majani ya maboga
Kisamvu
Mchunga
Majani ya kunde
Matembele
Mlenda

Mengine nimesahau majina.

Tuache kuyapakazia kuwa ni mboga, tunayasingiziq na hayana manufaa yoyote mwili bali ni shushia ugali tu.
Mboga maboga ni nzuri sana inapunguza Kasi ya kuzeeka
 
Mboga zote izo fresh!! Ila aliyegundua kabichi alaaniwe!
Kuna siku nimekuta limepikwa mchemsho na ugali navyokula nikajihisi nimekuwa ng'ombe nakatiwa mashina ya mgomba!

Ila mnafu wa Nazi na kitimoto ugali!! Noma
Ni mboga nzuri changanya na mayai
 
Sitaki hata kujaribu mlenda mkuu🤣

Nakusoma mkuu kuna watu mlenda hawaukubali maana hawajakuzwa nao. Wengine tumepata kujitambua mlenda upo mdomoni na tukaupenda 😁..

Mlenda naukubali
 
Jamii forum kuna watu ni cream grade one ya hii website iq zao ,akili zao , uzi zao , mawazo yao

Afu kuna grade ya kati hawa hawa atleast iq zao wana piga nyuzi kali pia

Kuna makapi ya jamii forum kama huyu mwandishi huwa wanaanzisha uzi hata kama huna manufaaa mara nyigi uzi unakuwa mfupi kama status ya whatsapp afu full pumba ....makapi ya jamii forum siku hizi yapo mengi sana
... you're just not schooled enough!
INNOVATIVE PEOPLE STAY PLAYFULL LIKE CHILDREN, THROUGHOUT THEIR LIVES! ... THEY NEVER ALLOW THEIR BRAINS TO AGE BY PRETENDING TO BE WISE, FOR NOTHING, LIKE YOU!
 
We kichwa maji kweli jamaa!!

Japo unachekesha mno!!Kuna uzima kwenye hizo mboga kuliko kwenye hizo za kizungu za ku control population hasa jamii ya Chinese, spinach etc!!

Kula mgagani na aina ya mboga chungu upone uric acid ndio maana Wana was israel kule misri waliambiwa wale nyama na mboga chungu!!?kwanini!!?coz uchungu was mboga no basic in nature ambayo itaenda ku neutralize acid (tindikali mwilini) hiyo tindikali ndio inaleta magonjwa !

That's why vegetarians hawaugui magonjwa hovyo hovyo!!
Hivyo TU!
Kwa hiyo hydrochloric acid inafanya nini tumboni? Acha kutetea magugu mkuu
 
Mlenda wa porini na mchunga ndiyo siyo mboga. Zingine zote mboga safi kabisa. Vitamin safi kabisa. Ana afya azilazo kuliko alaye mapaja ya kuku.
 
Si ajabu vijana.wa Leo mpo laini laini na kwenye show hamuwezi kwa kukwepa kula mbogamboga konki kama hizo.

Mtoto wa kiume unakula vipaja vya kuku wa amadori tena mnakula hadi mifupa yake halafu mnataka msimamie kucha mtaweza wap.

Kula tembele, Samvu, mnavu, boga, parachichi, ugali wa muhogo na maziwa ya mgando ya ng'ombe wa kienyeji harafu ulete mrejesho.

Watoto mnakuwa mayai mayai kwa kupenda vizuri vizuri tu, waulizeni mama zenu na dada zenu wa miaka ya late 70' na early 80' walivyokuwa wakifurahia show kutoka kwa wanaume kamili.

Leo tunaskia vijana kabla ya show mnapaka mkongo, sijui mnywe mo energy na panadol yote hayo ni kwa sababu hamtaki kula vyakula heavy.
 
Si ajabu vijana.wa Leo mpo laini laini na kwenye show hamuwezi kwa kukwepa kula mbogamboga konki kama hizo.

Mtoto wa kiume unakula vipaja vya kuku wa amadori tena mnakula hadi mifupa yake halafu mnataka msimamie kucha mtaweza wap.

Kula tembele, Samvu, mnavu, boga, parachichi, ugali wa muhogo na maziwa ya mgando ya ng'ombe wa kienyeji harafu ulete mrejesho.

Watoto mnakuwa mayai mayai kwa kupenda vizuri vizuri tu, waulizeni mama zenu na dada zenu wa miaka ya late 70' na early 80' walivyokuwa wakifurahia show kutoka kwa wanaume kamili.

Leo tunaskia vijana kabla ya show mnapaka mkongo, sijui mnywe mo energy na panadol yote hayo ni kwa sababu hamtaki kula vyakula heavy.
1. Kusimamia kucha ndo uanaume mkuu?
2. Mfalme Solomoni alikua na pisi buku alikula kisamvu na matembele?
Ndo maanq nlisema hayo ni magugu mnayaremba na nyanya 🍅 🥕 kitunguu ili myape cheo cha mboga.
 
Hujakutana na jani la boga/mnavu lililopikwa kwa nazi ama karanga na kutiwa pilipili kwa mbali
Ama likaongezewa na nyama ya utumbo wa maziwaaa
 
Back
Top Bottom