Hizi taarifa nne muhimu mnazificha ili iweje? Sasa Mwamba wa taarifa zilizojificha nazianika hapa

Hizi taarifa nne muhimu mnazificha ili iweje? Sasa Mwamba wa taarifa zilizojificha nazianika hapa

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
1. Inadaiwa Wachezaji Aziz K na Kibwana Shomary WALIPIGANA Vyumbani baada ya Mechi kumalizika huku kila Mmoja akimlaumu Mwenzake.

2. Kuna tetesi zinasema Mwanachama Mwandamizi Mmoja mwenye Bifu Kubwa na Boss wa Timu baada ya kunyimwa Fedha zake na Madaraka aliyekuwa akiyataka na sasa Katengwa aliamua kutoa SIRI NZITO kwa Watu wa Azam Tv juu ya Wachezaji wa Yanga SC wanavyotumia Dawa za Kuongeza Nguvu michezoni kinyume na Kanuni na Sheria za Soka duniani.

3. Taarifa zisizo rasmi zinadai Mchezaji muhimu (ambaye wenyewe Klabuni Kwao) wanamuita Church Boy Max Mpia Zengeli mara mbili mfulilizo kukataa KUOGA MAJI YA KIUSHIRIKINA ya KAFARA la MAITI akiwaambia Yeye ni Mtu wa SALA / MAOMBI na kwamba huo UPUUZI haufanyi na kamwe hatoufanya na pia KUWAONYA waache tabia ya KUSHONEA HIRIZI katika Jezi zake pasipo Yeye kujua kwakuwa Mganga kawaambia kwa sasa NYOTA ya Timu inabebwa na Jina lake.

4. Aidha Inadaiwa Mchezaji Mudathir Yahya ambaye mara zote ndiyo alikuwa akitwishwa kubeba MIKOMBORA ya KIUCHAWI ya Timu yaliyobeba MAJINI kukataa KUYABEBA kwakuwa yalitaka kumletea MATATIZO makubwa ambayo hata yangegharimu MAISHA yake na pia UONGOZI kushindwa kumuongezea Hela kwa KUJIHATARISHIA huko Maisha yake KIUSHIRIKINA kwa maslahi ya Klabu.

GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE sijawahi kuingia CHIMBO halafu nisipate / nisipewe TAARIFA MUHIMU ambazo huwa zinakuwa za SIRI.

Kocha Mkuu anatathminiwa (japo inadaiwa Kiongozi kutoka Zanzibar hamtaki ila Msomali wa Bara anamkingia Kifua) na kaambiwa endapo Klabu itafanya vibaya katika Mechi yao ya Kwanza ya Makundi Klabu Bingwa Wiki chache tu zijazo basi atafurumushwa na tayari Makocha Wawili (Mmoja Mwafrika Mwenzenu na mwingine Mzungu) wameshaanza Mazungumzo ya awali na ya taratibu na Bosi Msomali ili Muajentina akiharibu tu Klabu Bingwa basi haraka sana Mmoja wao aje Kuchukua rasmi Mikoba.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE "Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer" Kudadadeki...haya chukueni hii kwa 100% kwani sijawahi Kukosea KITAARIFA.
 
1. Inadaiwa Wachezaji Aziz K na Kibwana Shomary WALIPIGANA Vyumbani baada ya Mechi kumalizika huku kila Mmoja akimlaumu Mwenzake.

2. Kuna tetesi zinasema Mwanachama Mwandamizi Mmoja mwenye Bifu Kubwa na Boss wa Timu baada ya kunyimwa Fedha zake na Madaraka aliyekuwa akiyataka na sasa Katengwa aliamua kutoa SIRI NZITO kwa Watu wa Azam Tv juu ya Wachezaji wa Yanga SC wanavyotumia Dawa za Kuongeza Nguvu michezoni kinyume na Kanuni na Sheria za Soka duniani.

3. Taarifa zisizo rasmi zinadai”Mchezaji muhimu (ambaye wenyewe Klabuni Kwao) wanamuita Church Boy Max Mpia Zengeli mara mbili mfulilizo kukataa KUOGA MAJI YA KIUSHIRIKINA ya KAFARA la MAITI akiwaambia Yeye ni Mtu wa SALA / MAOMBI na kwamba huo UPUUZI haufanyi na kamwe hatoufanya na pia KUWAONYA waache tabia ya KUSHONEA HIRIZI katika Jezi zake pasipo Yeye kujua kwakuwa Mganga kawaambia kwa sasa NYOTA ya Timu inabebwa na Jina lake.

4. Aidha Inadaiwa Mchezaji Mudathir Yahya ambaye mara zote ndiyo alikuwa akitwishwa kubeba MIKOMBORA ya KIUCHAWI ya Timu yaliyobeba MAJINI kukataa KUYABEBA kwakuwa yalitaka kumletea MATATIZO makubwa ambayo hata yangegharimu MAISHA yake na pia UONGOZI kushindwa kumuongezea Hela kwa KUJIHATARISHIA huko Maisha yake KIUSHIRIKINA kwa maslahi ya Klabu.

GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE sijawahi kuingia CHIMBO halafu nisipate / nisipewe TAARIFA MUHIMU ambazo huwa zinakuwa za SIRI.

Kocha Mkuu anatathminiwa (japo Kiongozi kutoka Zanzibar hamtaki ila Msomali wa Bara anamkingia Kifua) na kaambiwa endapo Klabu itafanya vibaya katika Mechi yao ya Kwanza ya Makundi Klabu Bingwa Wiki chache tu zijazo basi atafurumushwa na tayari Makocha Wawili (Mmoja Mwafrika Mwenzenu na mwingine Mzungu) wameshaanza Mazungumzo ya awali na ya taratibu na Bosi Msomali ili Muajentina akiharibu tu Klabu Bingwa basi haraka sana Mmoja wao aje Kuchukua rasmi Mikoba.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE "Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer" Kudadadeki...haya chukueni hii kwa 100% kwani sijawahi Kukosea KITAARIFA.
sio kweli
 
Bambo katoa remix ya ule wimbo wa Yanga hii inafungwaje tumuonyeshe support msanii huyu nguli katika nyanja ya bongo fleva
 
comments zote mafundi makenika wanampiga spana🎧🔩🔩🔩🔧⛓🔗🔨🗜🛠 mleta uzi mpaka ameukimbia😅.
 
comments zote mafundi makenika wanampiga spana🎧🔩🔩🔩🔧⛓🔗🔨🗜🛠 mleta uzi mpaka ameukimbia😅.
Israeli huwa inakimbia au inaoopa Vita? Tena waambie wawe makini kwani nimeshapewa Rungu kuwa yoyote anayenitolea Lugha mbovu nimripoti tu ili ale UMEME / BAN sasa Wewe wajaze Waumie / Waumizwe na Moderators. Nimemaliza.
 
1. Inadaiwa Wachezaji Aziz K na Kibwana Shomary WALIPIGANA Vyumbani baada ya Mechi kumalizika huku kila Mmoja akimlaumu Mwenzake.

2. Kuna tetesi zinasema Mwanachama Mwandamizi Mmoja mwenye Bifu Kubwa na Boss wa Timu baada ya kunyimwa Fedha zake na Madaraka aliyekuwa akiyataka na sasa Katengwa aliamua kutoa SIRI NZITO kwa Watu wa Azam Tv juu ya Wachezaji wa Yanga SC wanavyotumia Dawa za Kuongeza Nguvu michezoni kinyume na Kanuni na Sheria za Soka duniani.

3. Taarifa zisizo rasmi zinadai Mchezaji muhimu (ambaye wenyewe Klabuni Kwao) wanamuita Church Boy Max Mpia Zengeli mara mbili mfulilizo kukataa KUOGA MAJI YA KIUSHIRIKINA ya KAFARA la MAITI akiwaambia Yeye ni Mtu wa SALA / MAOMBI na kwamba huo UPUUZI haufanyi na kamwe hatoufanya na pia KUWAONYA waache tabia ya KUSHONEA HIRIZI katika Jezi zake pasipo Yeye kujua kwakuwa Mganga kawaambia kwa sasa NYOTA ya Timu inabebwa na Jina lake.

4. Aidha Inadaiwa Mchezaji Mudathir Yahya ambaye mara zote ndiyo alikuwa akitwishwa kubeba MIKOMBORA ya KIUCHAWI ya Timu yaliyobeba MAJINI kukataa KUYABEBA kwakuwa yalitaka kumletea MATATIZO makubwa ambayo hata yangegharimu MAISHA yake na pia UONGOZI kushindwa kumuongezea Hela kwa KUJIHATARISHIA huko Maisha yake KIUSHIRIKINA kwa maslahi ya Klabu.

GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE sijawahi kuingia CHIMBO halafu nisipate / nisipewe TAARIFA MUHIMU ambazo huwa zinakuwa za SIRI.

Kocha Mkuu anatathminiwa (japo inadaiwa Kiongozi kutoka Zanzibar hamtaki ila Msomali wa Bara anamkingia Kifua) na kaambiwa endapo Klabu itafanya vibaya katika Mechi yao ya Kwanza ya Makundi Klabu Bingwa Wiki chache tu zijazo basi atafurumushwa na tayari Makocha Wawili (Mmoja Mwafrika Mwenzenu na mwingine Mzungu) wameshaanza Mazungumzo ya awali na ya taratibu na Bosi Msomali ili Muajentina akiharibu tu Klabu Bingwa basi haraka sana Mmoja wao aje Kuchukua rasmi Mikoba.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE "Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer" Kudadadeki...haya chukueni hii kwa 100% kwani sijawahi Kukosea KITAARIFA.
Mods njooni mumlinde mawenge wenu

Kaanza tenaaaa
 
Acha taarifa za uzushi ndiyo maana siku hizi unapuuzwa tu.
Napuuzwa lakini cha Kushangaza Wewe Mpuuzi Mwenzangu bado tu unanifuatilia kwa kila Kitu hapa JamiiForums. Mshindi wa Tuzo ya Mwanachama Bora Jukwaa la Michezo (Sports) JamiiForums kwa msimu wa mwaka 2022 / 2023 anaweza Kupuuzwa? GENTAMYCINE mwenye Followers 200+ anaweza Kupuuzwa? Unavyonichukia / Mnavyonichukia ndiyo mnavyonifanya nifuatiliwe Kutwa hapa JamiiForums.

Na bado.....Kudadadeki....!!!!!
 
Hiyo ya Kibwana kupigana na Aziz Ki wala halikuhitaji kuingia chimbo clip ilikwepo na ikasambaaa sana wakikwidana matishirt points zingine ni mwendelezo wa yale yale ya SAUT kutuzalishia graduate wa hovyo waliobobea kwenye ushirikina
GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE "Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer" Kipenzi cha MUNGU.
 
Nawewe unaficha hii yanini,,, inasemekana wewe ndiye mropokaji maarufu wa mambo ya watu tena kwa kukurupuka🤒🤒🤒


Wachana na Yanga yetu.
GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE "Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer" Kipenzi cha MUNGU.
 
Back
Top Bottom