Hizi taarifa nne muhimu mnazificha ili iweje? Sasa Mwamba wa taarifa zilizojificha nazianika hapa

Hizi taarifa nne muhimu mnazificha ili iweje? Sasa Mwamba wa taarifa zilizojificha nazianika hapa

1. Inadaiwa Wachezaji Aziz K na Kibwana Shomary WALIPIGANA Vyumbani baada ya Mechi kumalizika huku kila Mmoja akimlaumu Mwenzake.

2. Kuna tetesi zinasema Mwanachama Mwandamizi Mmoja mwenye Bifu Kubwa na Boss wa Timu baada ya kunyimwa Fedha zake na Madaraka aliyekuwa akiyataka na sasa Katengwa aliamua kutoa SIRI NZITO kwa Watu wa Azam Tv juu ya Wachezaji wa Yanga SC wanavyotumia Dawa za Kuongeza Nguvu michezoni kinyume na Kanuni na Sheria za Soka duniani.

3. Taarifa zisizo rasmi zinadai Mchezaji muhimu (ambaye wenyewe Klabuni Kwao) wanamuita Church Boy Max Mpia Zengeli mara mbili mfulilizo kukataa KUOGA MAJI YA KIUSHIRIKINA ya KAFARA la MAITI akiwaambia Yeye ni Mtu wa SALA / MAOMBI na kwamba huo UPUUZI haufanyi na kamwe hatoufanya na pia KUWAONYA waache tabia ya KUSHONEA HIRIZI katika Jezi zake pasipo Yeye kujua kwakuwa Mganga kawaambia kwa sasa NYOTA ya Timu inabebwa na Jina lake.

4. Aidha Inadaiwa Mchezaji Mudathir Yahya ambaye mara zote ndiyo alikuwa akitwishwa kubeba MIKOMBORA ya KIUCHAWI ya Timu yaliyobeba MAJINI kukataa KUYABEBA kwakuwa yalitaka kumletea MATATIZO makubwa ambayo hata yangegharimu MAISHA yake na pia UONGOZI kushindwa kumuongezea Hela kwa KUJIHATARISHIA huko Maisha yake KIUSHIRIKINA kwa maslahi ya Klabu.

GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE sijawahi kuingia CHIMBO halafu nisipate / nisipewe TAARIFA MUHIMU ambazo huwa zinakuwa za SIRI.

Kocha Mkuu anatathminiwa (japo inadaiwa Kiongozi kutoka Zanzibar hamtaki ila Msomali wa Bara anamkingia Kifua) na kaambiwa endapo Klabu itafanya vibaya katika Mechi yao ya Kwanza ya Makundi Klabu Bingwa Wiki chache tu zijazo basi atafurumushwa na tayari Makocha Wawili (Mmoja Mwafrika Mwenzenu na mwingine Mzungu) wameshaanza Mazungumzo ya awali na ya taratibu na Bosi Msomali ili Muajentina akiharibu tu Klabu Bingwa basi haraka sana Mmoja wao aje Kuchukua rasmi Mikoba.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE "Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer" Kudadadeki...haya chukueni hii kwa 100% kwani sijawahi Kukosea KITAARIFA.
Aziz Ki analala Kitambaa Cheupe Sinza
 
Hongera kwa kuingia chimbo na kutuletea taarifa nyeti. Kwa yanga mambo ya kishirikina ni kama samaki na maji. Tumeshuhudia wakiruka mageti na kuiba taulo za magolikipa wa timu mpinzani wakiwemo Kibwana na Nzize, kwahiyo taarifa yako inaweza kuwa sahihi kwa 99% ila ukisema hujawahi kosea ktk taarifa zoko sidhani, Kuna siku ulitupeleka chaka kuwa makamu wa rais kawekwa bond Korea kusini kutokana na madeni ya nchi. All in all unapambana kutafuta habari nyeti. Big up.
 
1. Inadaiwa Wachezaji Aziz K na Kibwana Shomary WALIPIGANA Vyumbani baada ya Mechi kumalizika huku kila Mmoja akimlaumu Mwenzake.

2. Kuna tetesi zinasema Mwanachama Mwandamizi Mmoja mwenye Bifu Kubwa na Boss wa Timu baada ya kunyimwa Fedha zake na Madaraka aliyekuwa akiyataka na sasa Katengwa aliamua kutoa SIRI NZITO kwa Watu wa Azam Tv juu ya Wachezaji wa Yanga SC wanavyotumia Dawa za Kuongeza Nguvu michezoni kinyume na Kanuni na Sheria za Soka duniani.

3. Taarifa zisizo rasmi zinadai Mchezaji muhimu (ambaye wenyewe Klabuni Kwao) wanamuita Church Boy Max Mpia Zengeli mara mbili mfulilizo kukataa KUOGA MAJI YA KIUSHIRIKINA ya KAFARA la MAITI akiwaambia Yeye ni Mtu wa SALA / MAOMBI na kwamba huo UPUUZI haufanyi na kamwe hatoufanya na pia KUWAONYA waache tabia ya KUSHONEA HIRIZI katika Jezi zake pasipo Yeye kujua kwakuwa Mganga kawaambia kwa sasa NYOTA ya Timu inabebwa na Jina lake.

4. Aidha Inadaiwa Mchezaji Mudathir Yahya ambaye mara zote ndiyo alikuwa akitwishwa kubeba MIKOMBORA ya KIUCHAWI ya Timu yaliyobeba MAJINI kukataa KUYABEBA kwakuwa yalitaka kumletea MATATIZO makubwa ambayo hata yangegharimu MAISHA yake na pia UONGOZI kushindwa kumuongezea Hela kwa KUJIHATARISHIA huko Maisha yake KIUSHIRIKINA kwa maslahi ya Klabu.

GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE sijawahi kuingia CHIMBO halafu nisipate / nisipewe TAARIFA MUHIMU ambazo huwa zinakuwa za SIRI.

Kocha Mkuu anatathminiwa (japo inadaiwa Kiongozi kutoka Zanzibar hamtaki ila Msomali wa Bara anamkingia Kifua) na kaambiwa endapo Klabu itafanya vibaya katika Mechi yao ya Kwanza ya Makundi Klabu Bingwa Wiki chache tu zijazo basi atafurumushwa na tayari Makocha Wawili (Mmoja Mwafrika Mwenzenu na mwingine Mzungu) wameshaanza Mazungumzo ya awali na ya taratibu na Bosi Msomali ili Muajentina akiharibu tu Klabu Bingwa basi haraka sana Mmoja wao aje Kuchukua rasmi Mikoba.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE "Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer" Kudadadeki...haya chukueni hii kwa 100% kwani sijawahi Kukosea KITAARIFA.
Wakati wenu wa kuzusha, ila ligi bado tutakumbushana ikifika zamu yenu.
 
Stori zako mkuu zinaweza kuwa kweli ila si sababu ya kisayansi ya Yanga kufungwa, hizo ni taarabu tu mtani.

Shida ya Yanga kwasasa ni ndogo sana tu, ni timu kukosa mbadala wa Baka na Job, yaani wachezaji wengine wafundishwe tu namna Baka na Job wanacheza pale nyuma ili hao jamaa wakikosekana pasiwe na Shida, wanapokosekana timu inakosa balance pale nyuma hasa akili ya kukaba na kuanua mipira, simple problem wala sio ishu kubwa Tabora United walistudy goli la Azam lilivyopatikana baada ya Baka kutolewa kukawa free pale nje ya box nao wakarudia na kushinda Yanga, ishu ndogo tu wala si jambo la kutuhangaisha wana utopolo . Tushajua panapovuja ni kuimarisha kukaba katikati nje na ndani ya box letu wapinzani wasipige mipira, problem fixed.

Magoli manne Yanga imefungwa hadi sasa yote yametokea katikati juu kidogo ya box la Yanga, au ndani ya box ila katikati sehemu ambayo Baka au Job hucheza na kuanua mipira, hivyo ni kazi ndogo tu Master Gamondi tunajua ashaona, kama bado basi walio karibu nae wamwambie Yanga itafute mchezaji wa kuziba pengo la Baka au Job kazi kwisha, sote tunajua bado ubingwa uko pale pale Yanga ndo maana tuliwapigia makofi wachezaji badala ya kung'oa viti!!

kwa hiyo huyo Bacca na Job ndiye aliyewazuia washambuliaji wasifunge? kwanini wao Yanga wasingefunga goli tano na kufungwa goli hizo tatu.

bro!??!
 
kwa hiyo huyo Bacca na Job ndiye aliyewazuia washambuliaji wasifunge? kwanini wao Yanga wasingefunga goli tano na kufungwa goli hizo tatu.

bro!??!
Unadhani aliyekuwa Kocha wao Mkuu Luc Eymael Raia wa Ubelgiji aliposema kuwa (ipo YouTube) wana Yanga SC wote ni Nyani, Mbwa na Sokwe alikosea Mkuu?
 
1. Inadaiwa Wachezaji Aziz K na Kibwana Shomary WALIPIGANA Vyumbani baada ya Mechi kumalizika huku kila Mmoja akimlaumu Mwenzake.

2. Kuna tetesi zinasema Mwanachama Mwandamizi Mmoja mwenye Bifu Kubwa na Boss wa Timu baada ya kunyimwa Fedha zake na Madaraka aliyekuwa akiyataka na sasa Katengwa aliamua kutoa SIRI NZITO kwa Watu wa Azam Tv juu ya Wachezaji wa Yanga SC wanavyotumia Dawa za Kuongeza Nguvu michezoni kinyume na Kanuni na Sheria za Soka duniani.

3. Taarifa zisizo rasmi zinadai Mchezaji muhimu (ambaye wenyewe Klabuni Kwao) wanamuita Church Boy Max Mpia Zengeli mara mbili mfulilizo kukataa KUOGA MAJI YA KIUSHIRIKINA ya KAFARA la MAITI akiwaambia Yeye ni Mtu wa SALA / MAOMBI na kwamba huo UPUUZI haufanyi na kamwe hatoufanya na pia KUWAONYA waache tabia ya KUSHONEA HIRIZI katika Jezi zake pasipo Yeye kujua kwakuwa Mganga kawaambia kwa sasa NYOTA ya Timu inabebwa na Jina lake.

4. Aidha Inadaiwa Mchezaji Mudathir Yahya ambaye mara zote ndiyo alikuwa akitwishwa kubeba MIKOMBORA ya KIUCHAWI ya Timu yaliyobeba MAJINI kukataa KUYABEBA kwakuwa yalitaka kumletea MATATIZO makubwa ambayo hata yangegharimu MAISHA yake na pia UONGOZI kushindwa kumuongezea Hela kwa KUJIHATARISHIA huko Maisha yake KIUSHIRIKINA kwa maslahi ya Klabu.

GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE sijawahi kuingia CHIMBO halafu nisipate / nisipewe TAARIFA MUHIMU ambazo huwa zinakuwa za SIRI.

Kocha Mkuu anatathminiwa (japo inadaiwa Kiongozi kutoka Zanzibar hamtaki ila Msomali wa Bara anamkingia Kifua) na kaambiwa endapo Klabu itafanya vibaya katika Mechi yao ya Kwanza ya Makundi Klabu Bingwa Wiki chache tu zijazo basi atafurumushwa na tayari Makocha Wawili (Mmoja Mwafrika Mwenzenu na mwingine Mzungu) wameshaanza Mazungumzo ya awali na ya taratibu na Bosi Msomali ili Muajentina akiharibu tu Klabu Bingwa basi haraka sana Mmoja wao aje Kuchukua rasmi Mikoba.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE "Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer" Kudadadeki...haya chukueni hii kwa 100% kwani sijawahi Kukosea KITAARIFA.
Hizo tuhuma za madawa ya kuongeza nguvu ni mjinga na mpumbavu pekee anayeweza kukubaliana nalo. Yaani Yanga ni wajinga kiasi hicho eti waingie vyumbani na misindano kibao kama inavyooneshwa kwenye picha za mchongo? Are they so stupid and ignorant? Whoever posted those pictures of misindano is stupid of the highest order. Suala lenyewe la misindano hiyo fake nadhani litachukua mkondo wa kisheria ili kuwaadabisha baadhi ya watu>
 
Israeli huwa inakimbia au inaoopa Vita? Tena waambie wawe makini kwani nimeshapewa Rungu kuwa yoyote anayenitolea Lugha mbovu nimripoti tu ili ale UMEME / BAN sasa Wewe wajaze Waumie / Waumizwe na Moderators. Nimemaliza.
Umeshiba vipolo huko ulipo toka ukawaza ujinga
 
Kwa matokeo haya ya yanga yangu kila lisemwalo ni kwel kabisa.napata wapi nguvu za kubisha
 
Back
Top Bottom