Nitawanyoosha tu, mpaka kielewekeNaona mwanaintelijensia ushawasiliππ,, ila wewe jamaa hapana kwakweli ππππ
Tumia akili ndogo mwanamke hawezi kushusha thread ya kijinga kiasi hiki,Unajuaje mkuu? Au wewe ndio uliembambia?
Aisee πππ,, ila nikutakie tu kazi njemaππππNitawanyoosha tu, mpaka kieleweke
Mi changudoa na mipunga mingi humu inakera kwa kweli
Ukiona avatar ina tako tu ogopa sana π
Mambo ya twiter ya parody accounts yameshamiri sana jukwaaniSiyo tatizo ila tatizo ni pale utakuta muanzisha mada ni mtoto wa kiume ameamua kuchangamsha genge.
Unajua uraibu wa porn unaharib wanaume kwa wanawakeKuna wanaume wapumbavu mno, mtu umevaa umejisitiri haswa tena hadi na niqab limtu limekazana kuleta madude yake kwenye makalio yan kero kabisa
Eti bahati mbaya πππ,, wakati hua unasubiri siti zijae ndo upande ππππinatokeaga bahati mbaya umepanda gari imejaaπ
Siku hizi wanaandika mkuu, ni kweli sio wote ila kuna wadada wapo so real wanaweza kuandika chochote, so let's not judge..tuteme sumu zetu wakati tunategeshewa kwa daladala!Nakuambia acha tu, yaani mi navyojua 80% ya wanawake hawawezi
Kuandika thread za ngono ngono, never my dear never
Ukiona thread tu, ya hayo mambo alafu id ya kike jua tu huyo ni dume hana ubingwa tena kuna moja ilikuwepo humu,
Tukasanuka wajuba ikasemwa vibaya saivi kimetulia tuli
Haya mambo ya kushabikia ngono ngono ni yetu sisi vidume
Wanawake wana pride na aibu sana hawawezi kudhusha thread ya kijinga hivi hapa,
The id owner isn't a woman case closed ποΈποΈ
Ila sio wote wanafurahia hii hali, yan hapa ndo nasema wanaume viumbe vya ajabu, mtu haoni mkono uso wala mguu kila sehem yumesitiri yeye kazi kusogeza midude yake yan kama sio haya ningetamanu nimseme mule ndan ya gari, unasogea anakufwata mpka ikabidi nimgeukie nimuulize una shida gan sijui ndo akaona aibu akashukaUnajua uraibu wa porn unaharib wanaume kwa wanawake
Kuna dada alikuwa ananisogezea alafu anasema sorry. Nikirudi nyuma ananifata sasa akashuka Morocco hotel kituoni pale.
Nikasema ngoja nimtazame dirishani naona ananiangalia kana kwamba anasema mbona hushuki tuje tuyajengeπ
Duuh yangu macho, ila kuna walakini sana...Siku hizi wanaandika mkuu, ni kweli sio wote ila kuna wadada wapo so real wanaweza kuandika chochote, so let's not judge..tuteme sumu zetu wakati tunategeshewa kwa daladala!
Tigoni au Vodani???Ila siku Moja nilipataga msisimko nikatamani yule mkaka aipenyeze
Napendaga the way ulivyo wiseππ€Siku hizi wanaandika mkuu, ni kweli sio wote ila kuna wadada wapo so real wanaweza kuandika chochote, so let's not judge..tuteme sumu zetu wakati tunategeshewa kwa daladala!
Ona sasa, unapenda navoandika kumbe hata hunipendi πππ(kidding)Napendaga the way ulivyo wiseππ€
haha angesema Shida yake je? π baby zu Leo umejua kunifurahisha ila you live in a man's world you need to adopt huna jinsi kabisaIla sio wote wanafurahia hii hali, yan hapa ndo nasema wanaume viumbe vya ajabu, mtu haoni mkono uso wala mguu kila sehem yumesitiri yeye kazi kusogeza midude yake yan kama sio haya ningetamanu nimseme mule ndan ya gari, unasogea anakufwata mpka ikabidi nimgeukie nimuulize una shida gan sijui ndo akaona aibu akashuka