Hizi timu ndogo huwa zinanikosha sana siku zikicheza

Hizi timu ndogo huwa zinanikosha sana siku zikicheza

Behaviourist

JF-Expert Member
Joined
Apr 8, 2016
Posts
39,926
Reaction score
95,626
Hivi wakuu ni kawaida kurudia kuangalia goli moja siku nzima?😁😁😁

Hili goli haliniishi hamu.Yaani narudia kuliangalia hadi simu inaisha chaji kisha nachaji tena simu narudia kuangalia tena hadi chaji inaisha tena😂😂

Haya mambo ni kawaida au nimewehuka wakuu?😁
 
Back
Top Bottom