Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Hivi wakuu ni kawaida kurudia kuangalia goli moja siku nzima?😁😁😁
Hili goli haliniishi hamu.Yaani narudia kuliangalia hadi simu inaisha chaji kisha nachaji tena simu narudia kuangalia tena hadi chaji inaisha tena😂😂
Haya mambo ni kawaida au nimewehuka wakuu?😁
Hili goli haliniishi hamu.Yaani narudia kuliangalia hadi simu inaisha chaji kisha nachaji tena simu narudia kuangalia tena hadi chaji inaisha tena😂😂
Haya mambo ni kawaida au nimewehuka wakuu?😁