Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Nimependa sana hapo walipokuwa wanachekecha kupasua njia.Kulaleki Mendy alikua amesogea akajua inapigwa cross kati.
Kwenye msimamo wa ligi ni ya ngapi mkuu?Ila mkuu Westham sio team ndogo.
Wako nafasi ya nne hao jamaa, Moyes anazipatia sana timu ndogo akipewa timu kubwa zenye pressure anachemka.Kwenye msimamo wa ligi ni ya ngapi mkuu?
Ni wa nne mkuu.Kwenye msimamo wa ligi ni ya ngapi mkuu?
Duh!!Mimi huwa sipendi mchezo wa mpira ila West Ham wamenilazimisha nipende mpira kwa magoli yao matakatifu na team yangu kuanzia leo ni wao.Ni wa nne mkuu.
Watakukera wakicheza na team za midtable na za chini πDuh!!Mimi huwa sipendi mchezo wa mpira ila West Ham wamenilazimisha nipende mpira kwa magoli yao matakatifu na team yangu kuanzia leo ni wao.
π€£π€£π€£Watakukera wakicheza na team za midtable na za chini π
Tatizo la hizo team huwa zinakamia team kubwa ila wakicheza na minnows wenzao zinafungwa vizuri tu.π€£π€£π€£
Minnows huwa wanakuwa wakali sana kuanzia ukamiaji hadi ufungaji wa magoli bora na yenye mvuto.Tatizo la hizo team huwa zinakamia team kubwa ila wakicheza na minnows wenzao zinafungwa vizuri tu.