BabuMkubwa
JF-Expert Member
- Feb 11, 2017
- 2,417
- 3,590
Sure, kama pombe, vocha, sigara.Bado Tanzania tupo kwenye uchumi wa kijamaa,mwenye nacho achangie zaidi mapato ya Serikali angalia PAYE,NHIF nk.na kumiliki chombo cha moto bado inachukuliwa kama anasa kwa hiyo kodi/ushuru juu.
Sasa hivi ulimletea mtu gari mwenye Tin mpya mpya wanaifungia mpaka atoe maelekezo ya kutosha nchi ngumu sana hii yaani mtu analeta gari watu wa kodi za ndani wanafungia Tin gari isiweze kulipiwa kodi..Bado Tanzania tupo kwenye uchumi wa kijamaa,mwenye nacho achangie zaidi mapato ya Serikali angalia PAYE,NHIF nk.na kumiliki chombo cha moto bado inachukuliwa kama anasa kwa hiyo kodi/ushuru juu.
Hapo Zanzibar mbona hawana Kodi kubwa kama Sisi wakati nchi ni moja na vyanzo vya mapato ni vilevileWala hamna mwenye roho mbaya na nyinyi. Tatizo ni chi kuwa na vyanzo vichache vya mapato. Wangekuwa wabunifu na kukawa na vyanzo vingi magari yasingekuwa kimbilio lao. Walipa kodi Tz ni wachache sana ndio maana wanashikilia vitu vile vile miaka nenda rudi wanaongeza kodi tu.
Nani kakwambia tupo kwenye ujamaa, inaelekea ulifeli Gs.Mifumo ya kijamaa huwa haitaki wengi wamiliki magari
Roho ngumu ya viongozi wetu inachangia Sana, Sisi ambao tunafanya biashara zetu hizi ndogondogo tunaona Hali ya halisi ya Tanzania na viongozi wetuSasa hivi ulimletea mtu gari mwenye Tin mpya mpya wanaifungia mpaka atoe maelekezo ya kutosha nchi ngumu sana hii yaani mtu analeta gari watu wa kodi za ndani wanafungia Tin gari isiweze kulipiwa kodi..
daah yani sio kabisaMfumo unataka watu wengi waishi maisha ya kuunga unga...
Sheria zetu za Kodi bado zinasababu za kijamaa kuzuia wengi wasimiliki magariNani kakwambia tupo kwenye ujamaa, inaelekea ulifeli Gs.
Kwa hiyo gari ikiwa mpya ndio inakuwa na kodi zaidi??.Kwa kifupi, serikali kupitia mamlaka yake ya TRA kitengo cha kodi za magari used wanazingua. Inabidi watengeneze formula upya.
Kwasababu, moja: theoretically, gari la zamani linatakiwa liwe na kodi kubwa kuliko gari jipya. Ila angalia CX5 hizi tatu, moja ya 2024, then 2023 na 2022. Ya 2024 ina ushuru mkubwa zaidi ya mil 10 kutoka 2022.
View attachment 3015297View attachment 3015298View attachment 3015300
Na pili, wajue haya magari sasa sio anasa ni chombo cha usafiri, na kinatusaidia katika mishe mbalimbali. Haina haja gari unalipia vitu kibao kuanzia kodi, unakuja kulipia kwenye mafuta kodi, bima nao wanakodi yao serikali, etc. Wangepunguza gharama za kuagiza.
Tatu, kuna magari wangeyawekea exemption mfano yenye cc chini ya 1000 au ya umeme au gesi etc. Ata kama sio 100% free basi kodi iwe ndooogo sana.
serikali itaki muwe na usafiri inataka muwaone wao ndio wana usafiri wakati ni mahitaji ya lazima kwa kila binadamuHii hapo chini ni gari Mazda CX5 ya 2014 ambayo unamlipa mjapan milioni 14 unusu.
Kikokotoo cha kodi ya tra kwenye gari hilo ni milioni 10 unusu. Ukijumlisha unapata kama milioni 25 hivi. Hapo bado haujaweka gharama za bandarini.
HAPA UKIANGALIA NI KAMA SISI NA HAO WATENGENEZAJI NI KAMA TUNAGAWANA PASU KWA PASU.
Sasa unajiuliza kwanini kunawekwa tozo kubwa kama hizi kwa vitu ambavyo hata hatuvitengenezi sisi? lengo ni nini hasa?
Huku sio kujikolonisha wenyewe kweli? kulikuwa na sababu au ulazima gani kuwa na tozo kubwa ivi wakati hatutengenezi hizo gari hapa? au tunataka kufidia nini kwa tozo kubwa namna hii? maswali ni mengi wakuu.View attachment 3013556View attachment 3013557
Watanzania wana bara bara nzuri harafu tupo busy na bajaji au boda boda wakati bei za magari Nje ni rafiki tu..daah yani sio kabisa
Vipi ukinunulia gari Malawi au huko Zambia halafu ufanye kuileta hapa bongo, kodi yake imekaaje.??Sema Tanzania tu mkuu Zambia au Malawi kodi ya gari ni ndogo sana nililipia gari ya mteja Zambia kodi sawa na Tsh 6m gari ya 2018 GD 6 hilux double cabin wakati hiyo gari Tanzania kodi yake itaenda zaidi ya 30m...
Fortuner ya 2018 hapa kodi ni Tsh 33m..bei ya kununulia gari ingine..
Kukomesha used carsHii hapo chini ni gari Mazda CX5 ya 2014 ambayo unamlipa mjapan milioni 14 unusu.
Kikokotoo cha kodi ya tra kwenye gari hilo ni milioni 10 unusu. Ukijumlisha unapata kama milioni 25 hivi. Hapo bado haujaweka gharama za bandarini.
HAPA UKIANGALIA NI KAMA SISI NA HAO WATENGENEZAJI NI KAMA TUNAGAWANA PASU KWA PASU.
Sasa unajiuliza kwanini kunawekwa tozo kubwa kama hizi kwa vitu ambavyo hata hatuvitengenezi sisi? lengo ni nini hasa?
Huku sio kujikolonisha wenyewe kweli? kulikuwa na sababu au ulazima gani kuwa na tozo kubwa ivi wakati hatutengenezi hizo gari hapa? au tunataka kufidia nini kwa tozo kubwa namna hii? maswali ni mengi wakuu.View attachment 3013556View attachment 3013557
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Roho mbaya tu ya serikali imewajaa ili watoto wao waingie baa na magari sisi twende na daladala Tukose mademu alafu wao wachukue mademu kirahisi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bora Vangurd pana Rav 4 ya 2019 nilijua nimefungua link ya kuingiza ndege...wakati hiyo gari SA inauzwa bei ya kawaida na wao wanaiita Urban Cruiser..
Acha kuchanganya mambo hiyo gari huinunui kutoka kwa mtengenezaji sema mnagawana pasu ha hao wauza used cars wa huko japaniHii hapo chini ni gari Mazda CX5 ya 2014 ambayo unamlipa mjapan milioni 14 unusu.
Kikokotoo cha kodi ya tra kwenye gari hilo ni milioni 10 unusu. Ukijumlisha unapata kama milioni 25 hivi. Hapo bado haujaweka gharama za bandarini.
HAPA UKIANGALIA NI KAMA SISI NA HAO WATENGENEZAJI NI KAMA TUNAGAWANA PASU KWA PASU.