reymage
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 12,203
- 28,789
Jamani😃😃😃😃😃Roho mbaya tu ya serikali imewajaa ili watoto wao waingie baa na magari sisi twende na daladala Tukose mademu alafu wao wachukue mademu kirahisi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamani😃😃😃😃😃Roho mbaya tu ya serikali imewajaa ili watoto wao waingie baa na magari sisi twende na daladala Tukose mademu alafu wao wachukue mademu kirahisi
Hiyo Payee ndio kichefuchefu yaani hii nchi ukija kutoboa labda uwe mwiziBado Tanzania tupo kwenye uchumi wa kijamaa,mwenye nacho achangie zaidi mapato ya Serikali angalia PAYE,NHIF nk.na kumiliki chombo cha moto bado inachukuliwa kama anasa kwa hiyo kodi/ushuru juu.
Wanaogopa tutawagegeda watoto zao wa kike🤣🤣🤣🤣Kwa wenzetu kumiliki gari ni kitu cha lazima Kama ilivyo simu ya mkononi..... serikali zetu za Africa kumiliki gari ni anasa
Na waliotoboa wengi ni wezi wanaotengeza mazingira ya kuongeza mzigo kwa Watanzania ili waweze kuzichota na kuishi maisha ya anasa. Tanzania watumishi wa serikali ni matajiri kuliko watu wa private sector. Huwa nasikitika sana kusikia neno mtumishi wa UMMA sijui UMA. UMA upi unaouibia na kuuacha ukiishi umaskini wa kutupwa wewe ukiishi maisha ya anasa.Hiyo Payee ndio kichefuchefu yaani hii nchi ukija kutoboa labda uwe mwizi
Inasikitisha sana mkuuNa waliotoboa wengi ni wezi wanaotengeza mazingira ya kuongeza mzigo kwa Watanzania ili waweze kuzichota na kuishi maisha ya anasa. Tanzania watumishi wa serikali ni matajiri kuliko watu wa private sector. Huwa nasikitika sana kusikia neno mtumishi wa UMMA sijui UMA. UMA upi unaouibia na kuuacha ukiishi umaskini wa kutupwa wewe ukiishi maisha ya anasa.
SababuHii hapo chini ni gari Mazda CX5 ya 2014 ambayo unamlipa mjapan milioni 14 unusu.
Kikokotoo cha kodi ya tra kwenye gari hilo ni milioni 10 unusu. Ukijumlisha unapata kama milioni 25 hivi. Hapo bado haujaweka gharama za bandarini.
HAPA UKIANGALIA NI KAMA SISI NA HAO WATENGENEZAJI NI KAMA TUNAGAWANA PASU KWA PASU.
Sasa unajiuliza kwanini kunawekwa tozo kubwa kama hizi kwa vitu ambavyo hata hatuvitengenezi sisi? lengo ni nini hasa?
Huku sio kujikolonisha wenyewe kweli? kulikuwa na sababu au ulazima gani kuwa na tozo kubwa ivi wakati hatutengenezi hizo gari hapa? au tunataka kufidia nini kwa tozo kubwa namna hii? maswali ni mengi wakuu.View attachment 3013556View attachment 3013557
Kodi kubwa sana, na marais wanaangalia tu, kodi za vinywaji tu zinapunguzwa ila ushuru wa magari kimyaaaaaaaaaaa,Duh Aiseee! Isingekuwa kodi kila mtu angeweza kumiliki gari. Maana hivyo CX5 kwa mkononi ingekuwa milion 5 tu.
Duh mbona serikali inavuna mahali haijalima wala kupanda mbegu?!
Zanzibar wanapata mgao kutoka Tanzania bara ndio maana kule kodi zipo chini sanaHapo Zanzibar mbona hawana Kodi kubwa kama Sisi wakati nchi ni moja na vyanzo vya mapato ni vilevile
haswaUjamaa usiokuwa na wajamaa ni upi huo?ulishakufa sema waliouua wanautumia kutukandamiza tu.
Sheria za nchi juu ya ushuru hutofautiana kadiri ya mahitaji ya nchi, nafuu kwa watumiaji wa magari na mengineyo.Hii hapo chini ni gari Mazda CX5 ya 2014 ambayo unamlipa mjapan milioni 14 unusu.
Kikokotoo cha kodi ya tra kwenye gari hilo ni milioni 10 unusu. Ukijumlisha unapata kama milioni 25 hivi. Hapo bado haujaweka gharama za bandarini.
HAPA UKIANGALIA NI KAMA SISI NA HAO WATENGENEZAJI NI KAMA TUNAGAWANA PASU KWA PASU.
Sasa unajiuliza kwanini kunawekwa tozo kubwa kama hizi kwa vitu ambavyo hata hatuvitengenezi sisi? lengo ni nini hasa?
Huku sio kujikolonisha wenyewe kweli? kulikuwa na sababu au ulazima gani kuwa na tozo kubwa ivi wakati hatutengenezi hizo gari hapa? au tunataka kufidia nini kwa tozo kubwa namna hii? maswali ni mengi wakuu.View attachment 3013556View attachment 3013557
Hakuna lolote Ni roho mbaya na ukosefu WA maarifa WA Namna ya kupata Kodi Magu alijaribu kubadili Ile Kodi akaweka kwenye mafuta nadhani alikusanya Hela nyingi zaidiSheria za nchi juu ya ushuru hutofautiana kadiri ya mahitaji ya nchi, nafuu kwa watumiaji wa magari na mengineyo.
Tanzania tumepata unafuu kwamba unapoinguza gari kodi ya usajiri (registration) unalilipia mara moja ni kwa maisha yote ya gari ndio maana ushuru wa magari upo juu zaidi.
Nchi ambazo ushuru wa ku8nguza magari upo chini kila mwaka huwa wanafanya registration renewal kila mwaka, kwa maana kwamba kila mwaka pesa zinakutoka
Bongo hatuna watu wanaofikiria vzrKwa kifupi, serikali kupitia mamlaka yake ya TRA kitengo cha kodi za magari used wanazingua. Inabidi watengeneze formula upya.
Kwasababu, moja: theoretically, gari la zamani linatakiwa liwe na kodi kubwa kuliko gari jipya. Ila angalia CX5 hizi tatu, moja ya 2024, then 2023 na 2022. Ya 2024 ina ushuru mkubwa zaidi ya mil 10 kutoka 2022.
View attachment 3015297View attachment 3015298View attachment 3015300
Na pili, wajue haya magari sasa sio anasa ni chombo cha usafiri, na kinatusaidia katika mishe mbalimbali. Haina haja gari unalipia vitu kibao kuanzia kodi, unakuja kulipia kwenye mafuta kodi, bima nao wanakodi yao serikali, etc. Wangepunguza gharama za kuagiza.
Tatu, kuna magari wangeyawekea exemption mfano yenye cc chini ya 1000 au ya umeme au gesi etc. Ata kama sio 100% free basi kodi iwe ndooogo sana.
Mkuu Wewe elewa tu hatuna watu wabunifu na viongozi wetu Ni bola liende nenda kwenye misitu uombe kibali cha kukata mazao ya misitu yani Ni vituko,Kuna Sheria za hovyo zilitungwa miaka iyo lkn mpaka.sasa bado zipo tu Nchi hii kuishi yataka moyoAngalia hili jedwali la Kodi ya mafuta hapa ndipo utajua jinsi gani serikali yetu sio wabunifu wa kukusanya kodiView attachment 3015415
Tena bajaji na bodaboda ndo zipigwe kodi mara tatu kabisa. Zinaharibu mji wa Dar kweli. Sasa hiv city Centre haitamaniki na bodaboda na mabajajiKama Bajaji ya matairi matatu inafika kwa Tsh 10m jua hakuna Nchi hapo na pia wanashusha thamani ya fedha kirahisi mno fedha haina nguvu ya kununua kitu cha maana.. tunabaki kuuziana magari mabovu na machakavu kwa hela nyingi muda si mrefu tunaanzisha nyuzi hii gari mbovu mara sumbufu kumbe kodi ndio chanzo kikuu cha kukimbilia vitu vibovu vibovu ili kupunguza maumivu kumbe wapi...