Hizi tozo kubwa kwenye uingizaji magari zinalenga nini hasa?

Hizi tozo kubwa kwenye uingizaji magari zinalenga nini hasa?

Hizi D mbili ufafanuzi please
D mbili ni viwango vya ufaulu kwa mwanafunzi kumuwezesha kuingia chuo kikuu, kwa hiyo ukiwa nazo tunaamini una uelewa wa kutosha kukufanya ufaulu na kuchambua hoja fulani.
Kimsingi nimetumia lugha ya picha kuelezea kuwa magari yana kodi kubwa kwa sababu katika nchi yetu yapo kwenye kundi la anasa kama ilivyo kwa pombe, sigara n.k kwa hiyo kodi zake zinapigwa pasu kwa pasu na muuzaji.
 
Angalia hili jedwali la Kodi ya mafuta hapa ndipo utajua jinsi gani serikali yetu sio wabunifu wa kukusanya kodi
20240521_173816.jpg
 
Ukitaka kujua kuwa Mmerogwa tuna Bandari harafu magari yanayotakiwa kubeba mizigo kutoka bandarini kodi yake ni kubwa balaa mpaka inafikia Nchi jirani ndio wanakuja kubeba kwa gari zao maana gharama ya kulipia kwa kukodi ni kubwa kwa sababu ya uagizaji na matunzo ya hayo magari machakavu..
 
Hii hapo chini ni gari Mazda CX5 ya 2014 ambayo unamlipa mjapan milioni 14 unusu.

Kikokotoo cha kodi ya tra kwenye gari hilo ni milioni 10 unusu. Ukijumlisha unapata kama milioni 25 hivi. Hapo bado haujaweka gharama za bandarini.

HAPA UKIANGALIA NI KAMA SISI NA HAO WATENGENEZAJI NI KAMA TUNAGAWANA PASU KWA PASU.

Sasa unajiuliza kwanini kunawekwa tozo kubwa kama hizi kwa vitu ambavyo hata hatuvitengenezi sisi? lengo ni nini hasa?

Huku sio kujikolonisha wenyewe kweli? kulikuwa na sababu au ulazima gani kuwa na tozo kubwa ivi wakati hatutengenezi hizo gari hapa? au tunataka kufidia nini kwa tozo kubwa namna hii? maswali ni mengi wakuu.View attachment 3013556View attachment 3013557
Sera mbovu!
 
Hii hapo chini ni gari Mazda CX5 ya 2014 ambayo unamlipa mjapan milioni 14 unusu.

Kikokotoo cha kodi ya tra kwenye gari hilo ni milioni 10 unusu. Ukijumlisha unapata kama milioni 25 hivi. Hapo bado haujaweka gharama za bandarini.

HAPA UKIANGALIA NI KAMA SISI NA HAO WATENGENEZAJI NI KAMA TUNAGAWANA PASU KWA PASU.

Sasa unajiuliza kwanini kunawekwa tozo kubwa kama hizi kwa vitu ambavyo hata hatuvitengenezi sisi? lengo ni nini hasa?

Huku sio kujikolonisha wenyewe kweli? kulikuwa na sababu au ulazima gani kuwa na tozo kubwa ivi wakati hatutengenezi hizo gari hapa? au tunataka kufidia nini kwa tozo kubwa namna hii? maswali ni mengi wakuu.View attachment 3013556View attachment 3013557
Kuzaliwa nchi za ushenzi wa kijamaa na za kishamba kama hizi ni nuksi tupu
Kila kitu kinaonekana luxury .
Kitu kama gari kwa maisha ya sasa ni neccesity ya kurahisisha majukumu na si luxury .
Serikali ya kishenzi ya ccm inafanya mpaka takataka second hand za kutoka Japan zionekane luxury ,
Umasikini wa akili ni mbaya sana . Tanzania inaongozwa na majitu yenye umasikini wa akili .
Ni upumbavu
 
Hii hapo chini ni gari Mazda CX5 ya 2014 ambayo unamlipa mjapan milioni 14 unusu.

Kikokotoo cha kodi ya tra kwenye gari hilo ni milioni 10 unusu. Ukijumlisha unapata kama milioni 25 hivi. Hapo bado haujaweka gharama za bandarini.

HAPA UKIANGALIA NI KAMA SISI NA HAO WATENGENEZAJI NI KAMA TUNAGAWANA PASU KWA PASU.

Sasa unajiuliza kwanini kunawekwa tozo kubwa kama hizi kwa vitu ambavyo hata hatuvitengenezi sisi? lengo ni nini hasa?

Huku sio kujikolonisha wenyewe kweli? kulikuwa na sababu au ulazima gani kuwa na tozo kubwa ivi wakati hatutengenezi hizo gari hapa? au tunataka kufidia nini kwa tozo kubwa namna hii? maswali ni mengi wakuu.View attachment 3013556View attachment 3013557
Kuzaliwa nchi za ushenzi wa kijamaa na za kishamba kama hizi ni nuksi tupu
Kila kitu kinaonekana luxury .
Kitu kama gari kwa maisha ya sasa ni neccesity ya kurahisisha majukumu na si luxury .
Serikali ya kishenzi ya ccm inafanya mpaka takataka second hand za kutoka Japan zionekane luxury ,
Umasikini wa akili ni mbaya sana . Tanzania inaongozwa na majitu yenye umasikini wa akili
Ni upumbavu

Ukienda Zambia ,Congo ,Malawi ,Rwanda ,Uganda nk

Watu wanaburuza vya vya nguvu , gari kama BMW ,Range rover , Volkswagen ,Jeep ,Ford nk zimejaa mitaani na ni za bei nafuu na zipo kwenye hali nzuri kabisa , Tanzania takataka zimechoka second hand huko zinaagizwa na kuletwa na kuuzwa na kupigwa kodi za kipuuzi mpaka bei haziendani na uhalisia

Yaani hakuna incentives za watu kununua gari mpya , mtu ukinunua gari mpya unapigwa kodi ya kuuza ukoo wenu wote .
Uzezeta unaofanyika kwenye serikali na vitengo vya nchi hii hauna kipimo
 
Wala hamna mwenye roho mbaya na nyinyi. Tatizo ni chi kuwa na vyanzo vichache vya mapato. Wangekuwa wabunifu na kukawa na vyanzo vingi magari yasingekuwa kimbilio lao. Walipa kodi Tz ni wachache sana ndio maana wanashikilia vitu vile vile miaka nenda rudi wanaongeza kodi tu.
Hata watafuna kodi ni wachache vilevile
 
Back
Top Bottom