D mbili ni viwango vya ufaulu kwa mwanafunzi kumuwezesha kuingia chuo kikuu, kwa hiyo ukiwa nazo tunaamini una uelewa wa kutosha kukufanya ufaulu na kuchambua hoja fulani.Hizi D mbili ufafanuzi please
nyumbu!Bidhaa zipi hizo za ndani? Tunatengeneza gari?
Na magari ya Transit kama vile tunawatengenezea wageni ipo bara bara moja ya Tabora mpaka Mpanda unaweza kutembea umbali mrefu bila kupishana na gari yeyote huku watu wakiminyana kwenye Bus mbovu mbovu tu ikitokea ajali tunakaa kushangaa tena..Matokeo yake barabara zimejaa mapikipiki
duuh[emoji86] balaaAngalia hili jedwali la Kodi ya mafuta hapa ndipo utajua jinsi gani serikali yetu sio wabunifu wa kukusanya kodiView attachment 3015415
NdiyoGari za ndani tununue ile gari ya masoud kipanya au sio....
TRA hawahusika wanaohusika ni wabunge darasa la saba mliowachagua ndiyo watunga sheriaKwa hiyo gari ikiwa mpya ndio inakuwa na kodi zaidi??.
Ndio maana huwa nasema katika Taasisi za Serikali ambazo ni hovyo ni hiyo TRA.
Na mabajajiMatokeo yake barabara zimejaa mapikipiki
Ongezea na mafuta hapo.Sigara, pombe, magari. Bila D mbili huwezi kunielewa.
hawausiki kwavipi?TRA hawahusika wanaohusika ni wabunge darasa la saba mliowachagua ndiyo watunga sheria
Ujamaa usiokuwa na wajamaa ni upi huo?ulishakufa sema waliouua wanautumia kutukandamiza tu.Mifumo ya kijamaa huwa haitaki wengi wamiliki magari
Sera mbovu!Hii hapo chini ni gari Mazda CX5 ya 2014 ambayo unamlipa mjapan milioni 14 unusu.
Kikokotoo cha kodi ya tra kwenye gari hilo ni milioni 10 unusu. Ukijumlisha unapata kama milioni 25 hivi. Hapo bado haujaweka gharama za bandarini.
HAPA UKIANGALIA NI KAMA SISI NA HAO WATENGENEZAJI NI KAMA TUNAGAWANA PASU KWA PASU.
Sasa unajiuliza kwanini kunawekwa tozo kubwa kama hizi kwa vitu ambavyo hata hatuvitengenezi sisi? lengo ni nini hasa?
Huku sio kujikolonisha wenyewe kweli? kulikuwa na sababu au ulazima gani kuwa na tozo kubwa ivi wakati hatutengenezi hizo gari hapa? au tunataka kufidia nini kwa tozo kubwa namna hii? maswali ni mengi wakuu.View attachment 3013556View attachment 3013557
😀Bado Tanzania tupo kwenye uchumi wa kijamaa,mwenye nacho achangie zaidi mapato ya Serikali angalia PAYE,NHIF nk.na kumiliki chombo cha moto bado inachukuliwa kama anasa kwa hiyo kodi/ushuru juu.
Kuzaliwa nchi za ushenzi wa kijamaa na za kishamba kama hizi ni nuksi tupuHii hapo chini ni gari Mazda CX5 ya 2014 ambayo unamlipa mjapan milioni 14 unusu.
Kikokotoo cha kodi ya tra kwenye gari hilo ni milioni 10 unusu. Ukijumlisha unapata kama milioni 25 hivi. Hapo bado haujaweka gharama za bandarini.
HAPA UKIANGALIA NI KAMA SISI NA HAO WATENGENEZAJI NI KAMA TUNAGAWANA PASU KWA PASU.
Sasa unajiuliza kwanini kunawekwa tozo kubwa kama hizi kwa vitu ambavyo hata hatuvitengenezi sisi? lengo ni nini hasa?
Huku sio kujikolonisha wenyewe kweli? kulikuwa na sababu au ulazima gani kuwa na tozo kubwa ivi wakati hatutengenezi hizo gari hapa? au tunataka kufidia nini kwa tozo kubwa namna hii? maswali ni mengi wakuu.View attachment 3013556View attachment 3013557
Kuzaliwa nchi za ushenzi wa kijamaa na za kishamba kama hizi ni nuksi tupuHii hapo chini ni gari Mazda CX5 ya 2014 ambayo unamlipa mjapan milioni 14 unusu.
Kikokotoo cha kodi ya tra kwenye gari hilo ni milioni 10 unusu. Ukijumlisha unapata kama milioni 25 hivi. Hapo bado haujaweka gharama za bandarini.
HAPA UKIANGALIA NI KAMA SISI NA HAO WATENGENEZAJI NI KAMA TUNAGAWANA PASU KWA PASU.
Sasa unajiuliza kwanini kunawekwa tozo kubwa kama hizi kwa vitu ambavyo hata hatuvitengenezi sisi? lengo ni nini hasa?
Huku sio kujikolonisha wenyewe kweli? kulikuwa na sababu au ulazima gani kuwa na tozo kubwa ivi wakati hatutengenezi hizo gari hapa? au tunataka kufidia nini kwa tozo kubwa namna hii? maswali ni mengi wakuu.View attachment 3013556View attachment 3013557
Hata watafuna kodi ni wachache vilevileWala hamna mwenye roho mbaya na nyinyi. Tatizo ni chi kuwa na vyanzo vichache vya mapato. Wangekuwa wabunifu na kukawa na vyanzo vingi magari yasingekuwa kimbilio lao. Walipa kodi Tz ni wachache sana ndio maana wanashikilia vitu vile vile miaka nenda rudi wanaongeza kodi tu.