Hizi zilizowekwa katika barabara za miji ndani ya Wilaya ya Mbulu ni Lami au Kitu gani?

Hizi zilizowekwa katika barabara za miji ndani ya Wilaya ya Mbulu ni Lami au Kitu gani?

Hiyo ni lami ya kichina, baada ya kushindilia wanamwaga mchuzi wa lami, baadae wanamwaga kokoto kubwa, na baadae kokoto ndogo hapo mchezo umeisha.
 
Hiyo ni lami ya kichina, baada ya kushindilia wanamwaga mchuzi wa lami, baadae wanamwaga kokoto kubwa, na baadae kokoto ndogo hapo mchezo umeisha.
Yeah. Mtaani kwangu huku mwanza wamejenga barabara ya hivi. Kifusi kinashindiliwa wanamwaga huo mchuzi wa lami then kokoto.

Magari yakipita baada ya mda kokoto inashikana na huo mchuzi wa lami nyingine zinakaa pembeni ndo barabara hiyo
 
Naomba kujua kuna aina ngapi za lami, maana lami iliyowekwa ktk miji hii haifananni na lami ninazoziona ktk miji mingine ktk nchi hii.
Lami zipo za aina nyingi. Kuna lami inayochangywa kati ya lami(binder) na kokoto kwenye mtambo kabla ya kuwekwa barabarani na hii huwezi kuona kokoto zikitoka.
Kuna lami ambayo unatanguliza uji uji wa lami kisha kokoto hufuata huku zikikandamizwa na roller na hii kuona kokoto pembeni zilizotoka hakuepukiki na sio kwamba imejengwa chini ya kiwango. Ni kwamba lami ya aina hii lazima baadhi ya kokoto zitatoka yaani lazima itatokea baadhi ya kokoto kutogundishwa na lami lakini haitakiwi zitoke zote na layer ya chini ionekane.

Lami nilizotaja ni zile ambazo tunazitumia sana hapa nchini lakini katika ulimwengu wa lami kuna zaidi ya hizo na kati ya hizo nilizotaja lami bora na ambayo ni gharama ni ile inayochanganywa kati ya lami na kokoto kwenye mtambo kabla ya kuwekwa barabarani.

Ahsante.
 
Wilaya ya Mbulu ina miji midogo miwili Haydom na Dongobesh ambayo sehemu ya miji hiyo pamoja na mji wqa Mbulu amabayo ndiyo makao makuu ya wilaya barabara zake zimewekwa kitu kinachofanana na lami.

Naomba kujua kuna aina ngapi za lami, maana lami iliyowekwa ktk miji hii haifananni na lami ninazoziona ktk miji mingine ktk nchi hii. Mfano mzuri ktk makao makuu ya Mkoa wa Manyara (Babati) lami iliyowekwa ni nzuri sana very soft and strong.

Kilichowekwa ktk Wilaya ya Mbulu siielewi kwani unakuta kokoto ziko njenje inatoboa mpaka soli za viatu au sehemu zingine unakuta kokote imemwagwa juu ya barabara baada ya muda ukuta kokoto yote unakuta imetolewa pembezoni mwa barabara. Hiki ni kitu gani, ni aina gani ya lami?

Au ni kusema miji hii ina madaraja tofauti na miji mingine na kwanini? Au ndio upigaji maana Wilaya km ya Mbulu sijui hata km Waziri wa Ujenzi anaifahamu na km amewahi kuitembelea. Watumishi huku wanajifanyia wanavyoona inawafaa.
Picha
 
Wilaya ya Mbulu ina miji midogo miwili Haydom na Dongobesh ambayo sehemu ya miji hiyo pamoja na mji wqa Mbulu amabayo ndiyo makao makuu ya wilaya barabara zake zimewekwa kitu kinachofanana na lami.

Naomba kujua kuna aina ngapi za lami, maana lami iliyowekwa ktk miji hii haifananni na lami ninazoziona ktk miji mingine ktk nchi hii. Mfano mzuri ktk makao makuu ya Mkoa wa Manyara (Babati) lami iliyowekwa ni nzuri sana very soft and strong.

Kilichowekwa ktk Wilaya ya Mbulu siielewi kwani unakuta kokoto ziko njenje inatoboa mpaka soli za viatu au sehemu zingine unakuta kokote imemwagwa juu ya barabara baada ya muda ukuta kokoto yote unakuta imetolewa pembezoni mwa barabara. Hiki ni kitu gani, ni aina gani ya lami?

Au ni kusema miji hii ina madaraja tofauti na miji mingine na kwanini? Au ndio upigaji maana Wilaya km ya Mbulu sijui hata km Waziri wa Ujenzi anaifahamu na km amewahi kuitembelea. Watumishi huku wanajifanyia wanavyoona inawafaa.
Hatuelewi weka picha
 
Yeah. Mtaani kwangu huku mwanza wamejenga barabara ya hivi. Kifusi kinashindiliwa wanamwaga huo mchuzi wa lami then kokoto.

Magari yakipita baada ya mda kokoto inashikana na huo mchuzi wa lami nyingine zinakaa pembeni ndo barabara hiyo
Barabara ya Malimbe ndio imetengenezwa hivyo mi nikajua ujenzi haujaisha kumbe ndio imetoka ivyo
 
Hii ni bitumen au lami iliyochanganywa na kokoto kwenye mambo
images%20(8).jpg
 
Back
Top Bottom