Hmmm....eti ni kweli...?

Hmmm....eti ni kweli...?

Ni muhimu sana kutofautisha mazingira ya mwanamume anapoamua kwenda nje.....Kama anaenda kutafuta mahali pa kuponea wakati mke wake ni mgonjwa basi kwa mtazamo wetu that is not cheating!

Babu DC!!
babu umesemaje hapo?! Kwa mtazamo wangu mtazamo wenu si sahihi
 
jamani kuna siku utendaji unakuwa wa kipekee sana.

Inabidi tu mtu wa pili atoe japo 'tamko' kidogo lol

anyway babu nimekuelewa, vya uongo huwa vingi kuliko ukweli

Unajua nini Kongosho???

Kama umri na uzoefu unakuruhusu...huwezi kupata shida kujua kama mgonjwa wako kafa au bado mzima....!!

Kusubiri hadi uambiwe na mtu wa pembeni, ni ushahidi kwamba wewe bado bado.....!!

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Ngoja siku mmegombana ndio utajua, utasikia kidudu chenyewe kama mbilimbi au kibamia, au mwanaume gani ingiza chomoa hata 5 mins ufikishi.


Ndo maana mwanamume yeyote ambaye uzoefu wake uko angalau kwa kiwango cha kuhitimu secondary ya upili au utatu hawezi kuuliza mambo hayo.....Na hata akiambiwa bila kuuliza atajifanya kama hajasikia!!

Babu DC!!!
 
jamani kuna siku utendaji unakuwa wa kipekee sana.

Inabidi tu mtu wa pili atoe japo 'tamko' kidogo lol

anyway babu nimekuelewa, vya uongo huwa vingi kuliko ukweli

Wewe Kongosho wewe...umesahau kuwa, ukiona nyani mzee ujue keshakwepa mishale ya kutosha??

Kwa taarifa yako, kama utendaji uko chini ya kiwango, mhusika mwenyewe anajua mapema tu, hata kabla match haijafika half time!!

Na kama ni hivyo, utasubirije complements za kufukizia zije mwishoni wakati mtu unajua kweli kuwa ume-under perform?
Ndo maana nikasema kuwa ukiona mtu anayakubali hayo, basi hiyo ni dalili kwamba uzoefu bado bado kidogo!!


Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Kama anacheat kwa sababu kaamua, then it is okay

Ila kama ancheat kwa revenge ya mme, is it worthy shida yote hiyo?? Hasa hapo kwenye blue lol

Mie nadhani kuna Cheating Syndrome, ila hakuna tu mtu aliyeamua kufanya research
Yaani sasa hivi inataka kujengeka kuwa cheating is inevitable, kweli?
Kongosho ulichokisema ni sahihi miye nilitaka kumuonyesha boss kwamba si wanawake wote waweza kugundua kama wanakucheat but the best thing is for you to trust and behave yourself basi.
 
Last edited by a moderator:
i wish to find one who can lie to me and keep secrets

i am so good at uncover secrets that i hate myself for that....

Mmmh! The Boss Dont brag eh! Mpaka hapo ulipo there are so many secrets U WILL NEVER EVER LIVE TO UNCOVER!
 
Last edited by a moderator:
A woman's heart is a deep ocean of secrets!!

Hell yeah BJ. We wear smiles on our faces, but our hearts hold deep secrets that no one will ever understand.. But this doesnt justify us as better cheaters!
 
Bado tunaendelea ...
Ngoja niende church naomba na kukumea hii dhambi ya uzinzi
mbarikwe sana
 
hahahaha wao wanakuwa wako kwenye nafasi nzuri wanachuna ila hawa magubegube anakuja na kasura kabaya unakuta kaliwa mpaka ada au kodi kabisa wajinga hawa hawana maana wanasahaunhadi familia mla mwanamke analeta na kuboresha home anune nini ila mwisho wa siku wote waizi na moto dawa yao na umasikini
 
Nice Topic NN.
King'asti na Babu DC, dah......................I salute your wisdom aisee.
 
Back
Top Bottom