Hodi hodi kutoka kwa Kiranga

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] sijawahi kusoma thread ya mgeni anayeomba kukaribishwa nikacheka hivi.
Kiranga ni nomaaa

Ni Nifah mtaalamu wa ufupisho au nimtegemee mwingine..
 
Duh hehehehehehee Kiranga umetisha, ndio kwanza naiona thread yako ya "utambulisho" umetisha...Big up kamanda😀😀
 
Karibu mzaramu halisi bila chenga, kwa maneno hayo hata usingejitambulisha tungejua tu ni mzaramu kwakwel, karibu sana jamvini ndugu yake mbwiga mbwiguke
 
Al-Watan una mbwembwe...
 
Huu uzi haunichoshi kuusoma kila mara Mungu akubariki saana hata kama unamkataa
 
Naona Mmefukua Makaburi Yakitambo Sana Kpindi Hicho Jf Siijui
 
Reactions: PNC
Dah!!..haya bana, ila nimekumbuka mijadala ya enzi hizo, seemz kama most/ all the best intellectuals wameiacha JF au wamebadili majina kuendana na utoto wa sasa!
Kabisaa Mkuu Nakumbuka Humu Akiandika Kitu Ulikuwa Unakosolewa Then Unafundishwa Uandishi Wa Mada Ila Kwasasa Jf Hovyo Sana
 
Duh! hivi kumbe Chikira Mtabari ndio Nahuja!!...Hii nimeijua leo kwenye hili kaburi ulilofukua!.. NAHUJA an old time mate! [emoji23]
Dah!!..haya bana, ila nimekumbuka mijadala ya enzi hizo, seemz kama most/ all the best intellectuals wameiacha JF au wamebadili majina kuendana na utoto wa sasa!
Teh Teh Teh Huyo Ni Shemeji Yako Dear NAHUJA Hebu Kuja Hapa Mara Moja Lazizi Wangu
Wala sikubadili jina kuendana na utoto. Nimeamua tu. Hata hilo la Chikira nalo nilikuwa nimebadilisha. Ingekuwa ninataka utoto ningefungua ID mpya lakini kama unaona vizuri bado inaonesha nimejiunga 2011. Nitake radhi kuniambia nataka utoto wa JF
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…