Me nlijua wewe uko busy na fursa za K tu?? Kumbe na zingine...basi ntakwambia mzabzab.Aise safi sana natumai mwana jf atabarikiwa na utamu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
On a serious note...fursa gani hizo zipo na sie tuzichangamkie
Hizo fursa zingine muhimu bwana maana hizo ndio zinatupa ndalama za kuweza kupelekea moto waremboMe nlijua wewe uko busy na fursa za K tu?? Kumbe na zingine...basi ntakwambia mzabzab.
Ntakwambia nikishaitafiti vizuri
Utamu utarudi dar kama ulivyokuja kama huamini basii
Hao nanunua mieNaka nipo nasubiri samaki ukirudi mamy
Nipe tenda shunie nakuletea hadi mlangoni..free of charge yani.Naka nipo nasubiri samaki ukirudi mamy
Aisee...Me nlijua wewe uko busy na fursa za K tu?? Kumbe na zingine...basi ntakwambia mzabzab.
Ntakwambia nikishaitafiti vizuri
Utamu utarudi dar kama ulivyokuja kama huamini basii
Kho kho kho...Nipe tenda shunie nakuletea hadi mlangoni..free of charge yani.
Ukihihitaji Mtu akuletee popote ulipo kama ni wa kukaanga au Wabichi niambie Naka..Nikupe namba yake...Samaki wapo wengi sana sema tu raha zimezidi nakosa hata muda wa kwenda kule kwenye samaki...yani ni shida ngoja nicheki cheki
Njoo inbox utawapataUkihihitaji Mtu akuletee popote ulipo kama ni wa kukaanga au Wabichi niambie Naka..Nikupe namba yake...
Ni wewe unamwambia tu unatakaje..
Mimi naomba wale Dagaa wabichi wanaokaangwa na Mafuta pale Namanga[emoji2]
Huko naendaga misho wa mwaka ku fanya rejuvenation.Imagine kutoka mbezi stend hadi maili moja wametumia dakika 12 tu..
Yani kama mvivu kuamka unaachwa..
Uende ukawasalimie wasukuma bwana
Mmh na mletaji ni naniHao nanunua mie