Hodi Mwanza

Hodi Mwanza

Aise safi sana natumai mwana jf atabarikiwa na utamu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]


On a serious note...fursa gani hizo zipo na sie tuzichangamkie
Me nlijua wewe uko busy na fursa za K tu?? Kumbe na zingine...basi ntakwambia mzabzab.

Ntakwambia nikishaitafiti vizuri

Utamu utarudi dar kama ulivyokuja kama huamini basii
 
Me nlijua wewe uko busy na fursa za K tu?? Kumbe na zingine...basi ntakwambia mzabzab.

Ntakwambia nikishaitafiti vizuri

Utamu utarudi dar kama ulivyokuja kama huamini basii
Hizo fursa zingine muhimu bwana maana hizo ndio zinatupa ndalama za kuweza kupelekea moto warembo
 
Me nlijua wewe uko busy na fursa za K tu?? Kumbe na zingine...basi ntakwambia mzabzab.

Ntakwambia nikishaitafiti vizuri

Utamu utarudi dar kama ulivyokuja kama huamini basii
Aisee...
 
Samaki wapo wengi sana sema tu raha zimezidi nakosa hata muda wa kwenda kule kwenye samaki...yani ni shida ngoja nicheki cheki
Ukihihitaji Mtu akuletee popote ulipo kama ni wa kukaanga au Wabichi niambie Naka..Nikupe namba yake...

Ni wewe unamwambia tu unatakaje..

Mimi naomba wale Dagaa wabichi wanaokaangwa na Mafuta pale Namanga[emoji2]
 
Ukihihitaji Mtu akuletee popote ulipo kama ni wa kukaanga au Wabichi niambie Naka..Nikupe namba yake...

Ni wewe unamwambia tu unatakaje..

Mimi naomba wale Dagaa wabichi wanaokaangwa na Mafuta pale Namanga[emoji2]
Njoo inbox utawapata
 
Back
Top Bottom