Hofu inayotawala Mataifa ya Ulaya Dhidi ya Waafrika na Bara lao

wanastahili kufa tena wachapeni viboko mahiti zao maana ni mikosi.......ardhi yooote hii!...ukicheka na nyani ndo hao sasa!!! sawa na walee watumishi waliopewa talanta na bwana wao wakachimbia.......
We kama unasaza jua watz wengi tu hata mlo kwa siku ni tabu,watu wakila leo kesho wanapiga deshi hadi kesho kutwa.
Ndo maana nikasema ukiwa unashiba ni rahisi kumwaga chakula.
Ukimudu kupanda daladala uamini mtembea kwa miguu ni mjinga mvivu.
Ungetembea hata kijiji kimoja uyajue maisha halisi ungeelewa.
 
wao ni wao sisi ni sisi tuna taratibu zetu zifuate hutaki si kaishi nao! uone muziki wake!! km hujakuja huku unalia....MUZiki wa china urusi uko kivingine kabisa wala haufanani na wa iraq
Kule awapigani sababu watawala na watawaliwa utimizana wajibu.
Sisi tunalipa kodi lakini zinaenda kutumika kufadhili hitaji la wanasiasa na sio la walipa kodi nani alikuwa shida ya watz ni kujenga Dodoma, kununua ndege, kununua wapinzani, kujenga Chato airport, kupambana na upinzani.
 
Angalia report ya leo kuhusu world population,aliyekudanganya eti waafrika ni wengi duniani kuliko race zote nani.
Hata tu jumla ya wazungu wote tu hatuwafikii
Distribution of the global population 2021, by continent

Wirld population leo ni 7.9billion.

Share of the global population

Asia 59.33%
Africa 17.51%
Europe 9.77%
Latin America and the Carribean
8.37%
Northern America 4.73%
Oceania 0.56%

Ref: © Statista 2022
I rest my case.
 
Manyara mifugo inakufa ukame
walikurupika kufuga na hawana akili!! Mtwara yooote ile, Mikindani, Lindi, bonde la rufiji, kuleee Mto mara Tarime, ukija mpaka isbania, haya Msimbati yoote ile!! huko malisho ni karibu na bureee!

wanashindwa nini kupeleka mifugo yao huko?? hawako strategic!! ni suala la ku survey tu wanaongea na sirikali za kijiji husika baaasi wanapewa eneo tena buuuure!

Hao wamekurupuka kufuga! ile Elimu ya kufuga ya asili waliidharau ndo km hayo sasa! kuhusu mifugo yao!! Tarime yoote kule wamehifadhi misitu ajili ya mvua! vyanzo vya maji vimelindwa na kuheshimiwa vibaya sana tangu zama!!

tena wana akili hiyo vizazi na vizazi kwa hiyo maji si tatizo kwao! mpaka kesho na hawatumii mabomba ya kisasa, wao ni matank ya udongo kam tanuri ya tofali ya kienyeji makubwa km mitungi yanahifadhi hata lita laki nne!

na elimu km hii siyo mpaka uende shule!! ni wazee wa kimila kukaa tu nakuamua tufanyeje sasa!! hao huko manyara wamekumbatia usasa wakasahu mila na desturi zao mbona zamani waliishi na mvua za kutosha?ukikusanya maji yako ya mvua ukaweka humu tenki la tope la kuchoma hili ajili ya mifugo na matumizi!! nani ata kudai kodi??/ nakuuliza!! km mvua zipo za kutosha!! hazipo km kiji mjiulize kwa nini? je mnatunza mazingira vizuri? iteni wazee wa kimila tatizo lenu mana wadharau ajili ya kukumbatia usasa!! wanakufa na ujuzi wao!
 
Hatua ya kwanza. USICHANJEEEE lije jua Ije mvua!!!
 
Bongo nimetembea sana!! si hapo tu mpaka Lesotho vijijini huko, swaz vijijini hasa, Bongo na kenya ndo usinambie kabisaaa!! tena kwa east Africa kenya wako njema sana! ktk kuishi kikawaida!

Mtwara nilikaa kabisaa nikaweka kambi hawana strategic plan za kawaida kabisaaa!! hata kujenga nyumba zao tu za kuishi ni msala! Matope makuti yapo hapo tena mazuri kuliko ya Bukoba! nitofauti sana na wahaya! wanyamwezi na wasukuma!!

Mahurunga yooote ile na vijiji jirani ni mapori mazuri sana kwa kilimo na ufugaji kabisaa. na hata wafugaji wengi mtwara ni kutoka mikoa mingine!! tatizo kubwa ni mahali alipo kaa mwarabu ndo pana shida sana! chunguza!

Hkn watu wanao jituma kuzalisha mashambani nakutunza mazingira km wachaga, wasukuma, wanyakyusa, wakurya nk!! huko nimeishi nao! na kuwajua kwa karibu mno!!

hao hawaoni tabu wanashinda mashambani kula ni hukohuko! ni km wamefanya burudani flani hivi kuzalisha mali, na kweli na wanavyakula tele!...msukuma kulima mwili unamsisimka kufanya ivo!
 
Makala yako ni parochial , narrow minded.
Africa population 1.34 bil
China peke yske1.43 bil
India 1.38 bil
Kwanini threat iwe Africa tu wakati Asia peke yake ina 4.6 bil.
Binafsi naamini hilo andiko hata kama ni narrow. Nina sababu dhaifu zifuatazo
+Sensa za waafrika huwaacha watu wengi bila kuhesabiwa. Takwimu hizo ni za kukadiria tu. Waafrika wako zaidi ya hao.
+Hao mabilioni ya wa Asia na huko ulaya ni pamoja na waafrika.
+Kampeni kali ya uzazi wa mpango kwa gharama kubwa kiasi hiki ni ishara kuwa race hii inafanyiwa mpango ipotee.
+nyongeza ni kuwa, licha ya kuogopa ongezeko la race hii, wanahangaika kuibakiza Afrika na watu wachache watakaomezwa na weupe ili iwe rahisi kuvuna mali asili za Afrika.
 
Facts and figures can never make a narrow argument.
Counter the facts and figures by your own.
Hii kuota na kuwa na opinions baada ya ndoto, is what makes us Africans very un scientific.
 
Facts and figures can never make a narrow argument.
Counter the facts and figures by your own.
Hii kuota na kuwa na opinions baada ya ndoto, is what makes us Africans very un scientific.
Ulichokisahau ni kuwa wazungu wako opposite na kila kitu cha Afrika. Tafiti zetu hazipewi nafasi hata kama zina uhalisia ndani yake. Gunduzi zetu hupigwa vita kali zisitumike duniani hasa zile za kuchochea maendeleo yetu na zenye kujenga misingi ya kujitegemea.

Kama kweli hawaogopi kwanini hutishia, huhonga na hata kuwaua viongozi wa Afrika wanaoonekana kupinga sera dhulumaji zao? Jibu ni moja Afrika ni tishio kwao.

Unekaririshwa mrengo wao utakuwa kwao daima.
 
Facts and figures buddy, not hot air!
 
Kampeni za uzazi wa mpango zipo nzima kwa race zote, Ingekuwa zipo afrika pekee hoja yako Ingekuwa na mashiko
 
Hizo ni nadharia tu,hizo tafiti za maendeleo je tumezuiwa kuzipractice Ili zilete changes,nani anatuzuia kulima na kuuza China,kupanda miti, kujenga miundombinu ya umwagaliaji, kubadili mifumo mfu ya elimu yetu, kuchimba madini yetu wenyewe,nk.
 
Hizo ni nadharia tu,hizo tafiti za maendeleo je tumezuiwa kuzipractice Ili zilete changes,nani anatuzuia kulima na kuuza China,kupanda miti, kujenga miundombinu ya umwagaliaji, kubadili mifumo mfu ya elimu yetu, kuchimba madini yetu wenyewe,nk.
Nina wasiwasi na uelewa wako. Nimeongea kwa lugha nyepesi sana. Nani anapanga bei za bidhaa soko la dunia. Utakima na kuuza kwa nani kwa bei wanayotaka wao au unayotaka wewe. Wakulima wao wana bima, sisi wakulima wetu hawawezi hata kununua mfuko wa mbolea.

Kifupi wameikamata Afrika na baadhi ya nchi kama kwa akina Maduro kwa kuweka vikwazo kwa kila hatua ya maendeleo.

Wanafadhili kondomu bure lakini siyo elimu, maji, umeme na teknolojia. Wanafadhili na kuhimiza kulima maparachichi, kahawa na chai siyo mahindi, maharage na mchele. Raha yao ni kuiona Afrika ina njaa, ujinga na umaskini.

Kifupi wako busy kutuuzia dawa tena za kiwango cha chini, vifaa vya teknolojia ya chini n.k kwa kigezo cha umaskini wetu uliotengenezwa na wao. Jiulize nani amefadhili mradi wa umeme wa mwl Nyerere.
 
Evidenced hiyo hapo, angalia population growth ktk nchi za ulaya, vs ktk Africa and the rest of other regions

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
kweli mkuu pia umesahau mnamna walivotengeneza virusi vya ukimwi,ebola na corona
 
Yale yale ya mfalme farao wa Misri aliyowafanyia wayahudi original...na Mungu alimwambia Musa wayahudi wasipo zishika amri zangu wata rudi Misri kwa mitumbwi.....safari ambayo hawatarudi tena ktk nchi yao ya ahadi....Misri ni Africa. Na kweli viafrica vilivyo bskia israel/palestina ni vichache mnoo...havitambuliki wengi tulikimbilia Misri yaani africa....lkn wkt ule wa zama za utawala wa wagiriki na waroma. Tulipofika Misri tu..nao wakatufukuza wakisema viyahudi (wabantu)vime fukuzwa kwao vinakuja huku kwetu...nao wakatufukuza zaidi tukaelekea kusini zaidi na magharibi zaidi ndo maana lugha zetu africa ya wabantu zina fanana saaana.....lkn pia wakatufuata kusini ya afeica na tukauzwa km watumwa Ulaya na USA.biashara ambayo imeisha hivi karibuni tu miaka takribani 100 ilopita.naabaki yapi hapo zanzi bar .bagamoyo nendeni mkajioneee!!.....watumwa ni waafrica tuu!! Muarabu wala mzungu...hana historia hiyo......Biblia ni kitabu cha Historia ya mweusi.....tu hata iweje! Mkisome muelewe.angalia sasa bongo tuko million 60. Kutoka millio 5-10....baada ya uhuru.....kabla tulikuwa millioni moja...tusingeuzwa/family planning tungekuwa milllion mia tatu mpaka sasa.....lkn hata wafanyeje waafrica tutazaa sana tu......mana tuna vizalio vitamu sana. hata wao wana kili sisi weusi ni watamu mnooo! Ukibisha uliza demu anaye chepuka na Mzungu........
 
acha uongo weye!!! Viongozi wa kule wako juu ya sheria na wanachaguliwa kufuata blood line tu!! Kwa mfano Bush family....kennedy family.mervengian family na hawa ni mtajiri wa kutupwa taaangu zama za mataifa ya ulaya yanyanyuke kiuchumi......familia hizo zooote ndo zina control uchumi wa Duniani kote.ndo wamiliki wa Bank kuu zote Duniani isipokuwa nchi chache mnoo na africa hkn km urusi.iran.china.cuba nk.
Familia hizo ziko juu ya sheria Duniani kote! Hutakaa uwashtaki mahakama yeyote Duniani...mfano mtoto wa M.Thatcher alitaka kupindua serikali ya Equatorial guinea akashindwa na utamu zaidi alikamatwa live....na akaachiliwa bila msharti.......Rais mponea chupu chupu akapewa mihela ya kifa mtu mpaka leo ni tajiri mzee ameoza.na wese anauza km kawa......
 
watuache tu.Africa yetu...(Mayahudi original). ... bila kutugusa miaka kumi tu. naku hakikishia Africa tutakuwa mbali bin mnooo...tutawapa misaada mpaka wanye...sisi ni kiboko ya njia tuko vizuri baba.....nchi yeyote Ulaya iliyoendelea leo ni kwa sababu ilifuga watumwa weusi tiii....wao wanajua moto wetu si wa kitoto wakituachia huru...hivi umewahi jiuliza kwa nini walipigana vita kuelekea Africa na siyo kuelekea ulaya yao???.....sababu ya utajiri wetu..kiafya na kimasrahi..wale mazeruzeru hawana lolote wale! ..hata kuzaa/kutia ke mimba tu mtihani...bao mbili tu atahema siku nzima haamki. Lkn mweusi ni dakika sifuri tu....hata dadake akijipendekeza anao mche mweusi anatapika hovyo. Tuko vizuri mnooo.tunawahesabia tu wajinga hao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…