propaganda za kijamaa zilizojaa lengo la kumuwini mwafrika awe upande wa Urusi.
Watawala wa kiafrica wanaanzisha vita lakini wazungu ndio wanao ingia gharama za kuhudumia.
Hakuna mwana wa Africa anae anzisha vita tu!! bila sababu km yupo mtaje......nikupe ukweli uliofichwa!
mawazo ya kijamaa ya miaka ya 70 yaliyojaa chuki za kushindwa kwa watawala wa kiafrica baada ya mbwembe za kudai UHURU Ili waje wanufaike
Ujamaa haukushindwa bali kilikuwa kipindi cha mpito kuelekea Uhuru kamili!
propaganda za kijamaa zilizojaa lengo la kumuwini mwafrika awe upande wa Urusi.
Sisi km Taifa au Bara tuna uhuru wa kuchagua nani awe rafiki na nani asiwe rafiki kwa faida ya Mwafrica....... narudia tena hata km hao viongozi walivuna lkn si wako kwetu humu humu?? wamajenga wametumia walicho kivuna kiko humu kama walianzisha viwanda, Mabenki, mashule kwani ni kwa faida ya nani?? watoto wao na sisi... wacha wale wanaajili watanzania, wanasomesha watanzania sasa shida iko wapi! acha chuki!
Mwafrika alichukuliwa utumwani kwa hiari yake hata ndie aliyeshiriki kumuuza mwafrika mwenzake k
wakikusikia watakucheka sana...mfano Sadam/Gadafi utasema ameondolewa na Walibya?? na ndivo Historia ya Magaharibi itakavo andika!!......wale wanatumia udhaifu wenu kuwafanya wanavo taka! km weye hujui tu!
wanakijiji walishindwa vipi kuwaua hao wafanyabiashara Ili wawakomboe waafrika wenzao
walijitahidi mno kukataa hiyo hali mpaka wengine wakafa ajili ya Kuwa pinga mfano Yaya zomba wa angola alipinga, mkwawa!! mangi sina nk walipinga!! kilichofanyika walijipenyeza km walivo fanya Libya!! au tuseme mtu mwenye fikra km zako ndo walitumika!
Still hata leo waafrika wamejaa embassy zao kuomba viza za kwenda utumwani kubeba boksi kwa hiari.Mimi Katu siwezi
Mbinu kabambe za kumjua Adui ni kukaa nae!!..lkn kwa mawazo yako hayo weye usiende sababu huna malengo, hiyo moja pili kule watu hakuna wataishi vipi??? na sisi ndo wa Dunia hii wale ni maplastic tu hawawezi bila sisi covid si unaijua wewe? haya
uchawi ni sayansi ya mwafrika, kwann mwafrika alishindwa vipi kutumia uchawi kuwazuia wasichukuliwe utumwani au kutawaliwa au kunusuru dini au tamaduni yake isiharibiwe na dini ngeni uoni ya kwamba mzimu ni kitu
Kwanza wazungu walitumia waafrica wenye roho za kinafiki ambao hao waliuza siri hiyo ya mafanikio!! .....bila hao tusinge chukuliwa, mfano ni ile vita ya majimaji....tuliuzwa na watu km wewe ambao walikuwa hawaamini ktk mafanikio yetu... vita ile .ilitisha Dunia mpaka leo wanatuheshimu!!!
pia waafrica mpaka leo tuna thamani kubwa kiuzalishaji ila hawataki tujue hilo! ndo maana wanatubembeleza kwa Viza! bila sisi hawaishi!!! wachache sana tunalijua hili!
.....hizo habari za kwenda huko kwao tunaanza huko waliko ni mbinu ya kumjua adui!! ....mbona wao wanakuja??
Samuel Doe alivuna alichopanda kwa kutaka kuigeza liberia mali yke
Alikuwa ni mtawala aliye tumiwa na wao mabeberu,, ikafika mahali akawa mnafiki yaani kuwageukia ndg zake waafrica na kujipendekeza OAU Hapo sasa wakamchoka wakamuua, kutumia mwafrica Kibraka Mwenzake Prince johnson, ambaye huyu nae alipata mafunzo CIA! nae wakamwondoa kijanja asije toa siri ya uovu wao!
Hao mie nakwambia utatumikia tu kamwe hawatakupenda hata uwape naniliu ile tamu..... mnaitaje sijui.....lkn ivo!
Iddi Amin alikuwa bogus ilikuwa sahihi kuvuna alichopanda badala ya kujenga alibomoa
Idd amini hakusoma so alikuwa kibaraka mkubwa wa kupenda vya wazungu km unavo wasifia !! akaandaliwa mapema sana akiwa KAR km kaptein wa jeshi nchini kenya!! km kawaida ya wazungu wali tizama udhaifu wake tu! wakaona ngoja wamtumie km wale waliouza ndg zao utumwani!!!
But mwishowe akawageuka! akawa upande wa Africa! wakamnyima Ulinzi kabisa na sisi kupitia jicho la OAU tulisha ona kitambooo sana ndg yetu anapotea tukamuonya hakuelewa tukaona ni zigo! ndo tukamwondoa kwani unaona ytulizodolewa na Africa sisi??