Hofu inayotawala Mataifa ya Ulaya Dhidi ya Waafrika na Bara lao

Hofu inayotawala Mataifa ya Ulaya Dhidi ya Waafrika na Bara lao

Asababishe vita Ili iweje sasa hali raslimali yeyeto waitakayo afrika uipata kama wawekezaji pasipohaja ya kuingia gharama kugharamia vita.

Na huwezi ukaanzisha vita palipo na haki. Eti kupunguza race ya waafrika huu ni utopolo na muendelezo wa propaganda mfu za miaka ya 70.

Wachina na wahindi ndio wengi duniani kuliko weusi hata kama tunazaliana Sana still tuna kufa mapema mno kwa maradhi,njaa,lishe duni.

Sisi tutatue matatizo yetu wenyewe tusiwape wengine lawama ya kushindwa kwetu.
 
Hua nashangaa sana watu kujivunia population kwamba watawashinda wazungu. Yaani kwa mawazo finyu wanafikiri itafikia kipindi wazungu watafutika kwenye uso wa dunia wabakie wao. Huu ni utaahira
Wazingu wakitoweka,watabaki kwenye miili ya warabu,waafrika,latino kutokana na kuchanganyikana
Kutoweka kwa viumbe sio jambo geni.
Mfano watu wafupi wa kongo wanadhaniwa watakuja kutoweka.
Wanyama wa Africa nao wanadhaniwa wanaweza kuja kutoweka kama hawatalindwa, hata baadhi ya mimea inatoweka.
Exnction ni nature na viumbe vingi vimetoweka na kuzaliwa vingine kwa mijibu wa evolution.
Suala la wazungu kutoweka huwa linajadiliwa sana mitandaoni japo muda mwingine linakokezwa na black American , na wazungu wanahisi wao wanachukiwa na race zote hivyo wanajitahidi kuunda hata siraha kali za kujilinda.
Kutoweka kwa wazungu ni conpiracy theory sio fact.
 
Hofu ya European ni Population growth, they are racist, they think wao pekée ndio wanafaa kuwepo ktk huu ulimwengu, ndio maana wako na projects nyingi zenye lengo la kufanya mwafrika awe depopulated,,, lakini kutokana na sheria asili za dunia hawawezi kwa kuwa black race iko strong ktk nyanja za kiafya.

Hofu nyingine ni migration from Africa to Europe, in comparison with high population growth for the African race, with depopulation in Europe.... In the long run I think it will result to the colonization of EuropeView attachment 2083628

Screenshot_20220115-205607.jpg


Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Ujajibu bado kipi wamekosa kukipata hadi wasubirie tuuane ndo wapate?
wkt wa nyerere mzungu gani alikujakizembe kuchimba chimba humu?!! ni kipindi cha Nkapa tu!! Mwenye akili za kimachinga, ndo walikuja kuchimba!! DRC hapakuingilika kirahisi enzi za Mobutu...thubutu.....

lkn leo wanapigana mpaka kesho! ajili ya viongozi wenye akili za hovyo! wao wanachimba...zile ndege za Maiduguli zilizo kuwa zinabeba minofu ya samaki Mwanza!! zilikuwa zinashusha siraha!

Bila kutuua hata kipande cha ardhi tu hawapati Pale Moshi!! angalia leo Nsumbiji mafuta yanatakiwa, hkn mwafrica anae weza pambana na serikali ile nguli! bila msaada wa hao unao waheshimu!

sisi ni bora mnoo! tunajua na wao wanajua ivo. lije jua ije mvua!! hkn atakayetuondolea ubora wetu Duniani kote!! sisi weupe wetu tumeuweka kwenye soli za miguu yetu tunaukanyagia vinyesi wao eti wameweka usoni!!

hilo jambo linawauma sana mpaka kesho!! hata uwasifu vipi hawatakuamini kamwe!! watakuita Nyani tu! sijawahi kuona mwafrica anafurahia hili jina wewe ni wa kwanza! Savimbi aliwalamba miguu yuko wapi?

Hissen Habre aliwalilia! wakamkamua nyaa mchana kweupeee!! hata haijulikani alifia wapi!.....Samwel Doe alikuwa kibaraka wao yuko wapi!! alikatwakatwa km mishikaki!.... Idd Amin aliwapenda hata alipozikwa hakujulikani!!

Hata humu wamo wanakuchora mbaya ulivo tengeneza aibu ya kumpenda adui aliye waburuza ndg zako utumwani!! bila shaka weye utakuwa damuzilezile zilizo waburuza babu zetu utumwani!! hata tufanyeje hilo halita watoka lkn dawa yenu ni rahisi sana!

weusi mnao walamba wazungu mpaka leo!! ni aibu kwetu sana!! unashindwa na mzee wa kale Mkwawa aliwapinga
 
walipigania UHURU kwa maslai ya matumbo yao na sio maslai ya waafrika.
mwafrica mwenzio akishiba weye unaumia zaidi kuliko mzungu akishiba??? LOool! ni asili ya roho mbaya wacha ale si ndg yako?
 
Waafrika mnakaa kujilisha Upepo yaani Ulaya na Marekani wawe na hofu na Afrika ambayo inawategemea wao kwa asilimia kubwa? Huu wazimu wa wapi? Watu mkishavuta bhangi mnaanza jiaminisha mambo ya hovyo hovyo sana
 
Yote hizi ni propaganda mfu za miaka ya 70 enzi za vita baridi ziliasisiwa Urusi kwenye chuo cha patrick lumumba. Mrusi na Mchina ndio walitengeza kirusi hiki cha fikra za kijamaa ili kumuwini mwafrika awe upande wake kumpandikizia chuki ya kuwachukia wazungu kambi ya Magharibi.
Hizi idealogy not applicable kwa kizazi cha sasa chenye fikra huru zilikuwa na nguvu miaka ya 70
Me nakuelewa sana
 
Umaskini wako siyo wetu! sisi tuna hele tunashiba masaa 24 Mungu amekupiga kofi tubu acha kiburi
Wachache SAwa mnasaza Mimi nasema majority ya watz je wanasaza.

Kama umezaliwa masaki kusoma na kukulia huko huwezi kuwa na sauti ya kuwasemea watz sababu ujui machungu wapitiayo.
Hali halisi tembea vijijini uone ila nenda na change kamili elf 10 utazunguka kijijini kizima upati chenji.

Umasikini wa watz umeletwa na ccm.

Ccm imeshindwa kufursanisha fursa kwa vijana ikiwemo kuondoa Vikwazo vya mafanikio.
 
mwafrica mwenzio akishiba weye unaumia zaidi kuliko mzungu akishiba??? LOool! ni asili ya roho mbaya wacha ale si ndg yako?
Mwafrika mwenye akili ni yule mwenye njaa pekee,akishiba uwezo wa kufikiri upungua.
Mimi nazungumzia umasikini wa majority sizungumzii personal,takuwa vipi masikini hali nchi imejaa utajiri KILA kona fursa tele.
 
Umaskini wako siyo wetu! sisi tuna hele tunashiba masaa 24 Mungu amekupiga kofi tubu acha kiburi
Kwann waingie gharama wasababishe vita kupata nn wakikosacho kama wawekezaji hali ukiwa na pesa popote duniani unawekeza to cha vita Ili kulinda maslai . Watawala wa kiafrica wanaanzisha vita lakini wazungu ndio wanao ingia gharama za kuhudumia.

wakimbizi,siwafagili wazungu bali Mimi napingana na mawazo ya kijamaa ya miaka ya 70 yaliyojaa chuki za kushindwa kwa watawala wa kiafrica baada ya mbwembe za kudai UHURU Ili waje wanufaike wao na sio waafrika wote kama sasa.Pia nachallenge historia tuliyosoma mashuleni nyingi ni uongo na propaganda za kijamaa zilizojaa lengo la kumuwini mwafrika awe upande wa Urusi.

Mwafrika alichukuliwa utumwani kwa hiari yake hata ndie aliyeshiriki kumuuza mwafrika mwenzake kwa wafanyabiashara ambao awakuzama front ndani vijijini kukamata watu Kazi ya mwafrika ilikuwa ni kuwakamata watu kisha anawauzia hao wakoloni,pili waafrika walisafiri toka bara hadi pwani na walipita vijijini kwanini wanakijiji walishindwa vipi kuwaua hao wafanyabiashara Ili wawakomboe waafrika wenzao.Still hata leo waafrika wamejaa embassy zao kuomba viza za kwenda utumwani kubeba boksi kwa hiari.Mimi Katu siwezi enda utumwani nikaacha utajiri wote huu nchini,huwa naenda kuwatembelea watumwa ugenini wakati wa likizo.

Tatu unasema uchawi ni sayansi ya mwafrika, kwann mwafrika alishindwa vipi kutumia uchawi kuwazuia wasichukuliwe utumwani au kutawaliwa au kunusuru dini au tamaduni yake isiharibiwe na dini ngeni uoni ya kwamba mzimu ni kitu feki na kisicho na nguvu kabisa kama kilishindwa jitetea dhidi ya dini ngeni kinawezaje kuwa na manufaa kwa kizazi cha sasa?

Samuel Doe alivuna alichopanda kwa kutaka kuigeza liberia mali yke binafsi ugonjwa wa watawala wa kiafrica nao uvuna walichopanda.

Iddi Amin alikuwa bogus ilikuwa sahihi kuvuna alichopanda badala ya kujenga alibomoa.
 
Hofu ya European ni Population growth, they are racist, they think wao pekée ndio wanafaa kuwepo ktk huu ulimwengu, ndio maana wako na projects nyingi zenye lengo la kufanya mwafrika awe depopulated...
Bado population ya China ni kubwa kuliko waafrika wote,bado population ya wahindi ni kubwa kuliko waafrika wote.
Hizi ni nadharia tu zisizo na usawa.India na China still wanazalisha zaidi kuliko waafrika.
 
Nyie msioweza kujenga matundu ya vyoo kwa watoto wenu wa shule ndio muwe tishio kwa watu wanaochunguza maisha sayari nyingine huko? Huu ulevi wa kahawa umewazidia naona
sometimes hata nzige huwa tishio kwa binadamu.
 
Hofu ya European ni Population growth, they are racist, they think wao pekée ndio wanafaa kuwepo ktk huu ulimwengu, ndio maana wako na projects nyingi zenye lengo la kufanya mwafrika awe depopulated,,, lakini kutokana na sheria asili za dunia hawawezi kwa kuwa black race iko strong ktk nyanja za kiafya.

Hofu nyingine ni migration from Africa to Europe, in comparison with high population growth for the African race, with depopulation in Europe.... In the long run I think it will result to the colonization of EuropeView attachment 2083628

View attachment 2083629

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
excellent
 
Bado population ya China ni kubwa kuliko waafrika wote,bado population ya wahindi ni kubwa kuliko waafrika wote.
Hizi ni nadharia tu zisizo na usawa.India na China still wanazalisha zaidi kuliko waafrika.
Hawa hawakuwa na migogoro mingi km waafrica hasa utumwa na ukoloni!! na bado ukolono mambo leo! na hata hao siyo tishio kwa Dunia km ilivo kwa mwafrica!!
 
Bado population ya China ni kubwa kuliko waafrika wote
sisi mika 50 tu ya uhuru tuko hivi!! kwa idadi!! je tusinge uzwa utumwani je?.........haya hao miaka nenda rudi wanatuzid padooog sana na sasa COVID nameingine meeengi VINAWAPUKUTISHA!

Ruka galagala africa ndoo yenyewe Mungu alisema kitambo sana!! Dunia hii sie ndo tunatamalaki!
 
Wazingu wakitoweka,watabaki kwenye miili ya warabu,waafrika,latino kutokana na kuchanganyikana
Kutoweka kwa viumbe sio jambo geni.
Mfano watu wafupi wa kongo wanadhaniwa watakuja kutoweka.
Wanyama wa Africa nao wanadhaniwa wanaweza kuja kutoweka kama hawatalindwa, hata baadhi ya mimea inatoweka.
Exnction ni nature na viumbe vingi vimetoweka na kuzaliwa vingine kwa mijibu wa evolution.
Suala la wazungu kutoweka huwa linajadiliwa sana mitandaoni japo muda mwingine linakokezwa na black American , na wazungu wanahisi wao wanachukiwa na race zote hivyo wanajitahidi kuunda hata siraha kali za kujilinda.
Kutoweka kwa wazungu ni conpiracy theory sio fact.
Big up meeen! You are coming up!!! .......kuna wengi hawajui haya baelezee baba!! Elimu kubwa hii!
 
Back
Top Bottom