Hofu ya maambukizi ya VVU inanimaliza kiafya, nilishiriki ngono na muathirika wa UKIMWI

Hofu ya maambukizi ya VVU inanimaliza kiafya, nilishiriki ngono na muathirika wa UKIMWI

Mkuu ukishamaliza kutumia PEP ukipima na kujikuta negative Ina maana haujapata maambukizi endelea kula maisha na punguza hofu umesalimika

Na pole sana na mateso ya izo dawa zinatesa sana
Ulishawahi kuitumia?
 
Unawapoteza wenzako mkuu

Jirani yangu (18yrs form 3) kapimwa kakutwa nao

Acha kabisa huu ugonjwa upo
nimeogopa sana
Janja ya vipimo ndo imeonyesha kuwa ana HIV lakini kiuhalisia ni mzima wa afya tele. Il kwa kuwa wameshamhukumu hakumu ya kifo basi huyo asipokuwa makini mtampoteza kwa msa mfupi sana. Mwambie anitafute kabla hajaanza kubugia mbaazi alizopewa.

Kwa taarifa yako kuna sababu zaidi ya sabini zinazoweza kupelekea hicho kipimo chao feki cha kupima ukimwi feki kitoe majib feki ya kuwa mtu ana HIV
 
Janja ya vipimo ndo imeonyesha kuwa ana HIV lakini kiuhalisia ni mzima wa afya tele. Il kwa kuwa wameshamhukumu hakumu ya kifo basi huyo asipokuwa makini mtampoteza kwa msa mfupi sana. Mwambie anitafute kabla hajaanza kubugia mbaazi alizopewa.

Kwa taarifa yako kuna sababu zaidi ya sabini zinazoweza kupelekea hicho kipimo chao feki cha kupima ukimwi feki kitoe majib feki ya kuwa mtu ana HIV

Hii ndio naisikia leo,sasa mbona watu wanakonda,au kuumwa sana wasipotumia dawa?kitu gani kinasababisha
 
Hii ndio naisikia leo,sasa mbona watu wanakonda,au kuumwa sana wasipotumia dawa?kitu gani kinasababisha
Ni akili yao tu ndo inasababisha. Akili ukiiaminisha kuwa umekunywa maji machafu na lazima tumbo litauma, kweli baada ya muda utaanza kuugulia
 
Nina mademu wawili. Wote wana huo ukimwi wenu feki tena kwa kuwapima mwenyewe kwani walikuwa hawaamini kwamba naweza kuwa nao ili hali wao ni positive mm negative. Nakung'uta kavu na niko sawa kabisa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ni akili yao tu ndo inasababisha. Akili ukiiaminisha kuwa umekunywa maji machafu na lazima tumbo litauma, kweli baada ya muda utaanza kuugulia

No kuna mtu X namfaham alikua anaishi na mtu but hakuwahi kujua kama ana hiv na hajawai kumuona akimeza dawa au kuona dawa zake kwa kifupi hamezi dawa Yan mpaka leo na wala haumwi na ukimuona huwezi jua kama anao but baada ya muda yule mtu X akaanza kuumwa mara kikohozi mara kwa mara na mwili ulianza kubadilika ikabid aende hosp kubwa wakampima TB ikawa +ve wakamwambia lazima apime HIV akakutwa nayo,alichanganyikiwa sana but wakamshauri vizur nakumwambia amuite huyo mtu wake alikubali ikawa +ve nae anyway point yangu Mbona huyu mtu X hakujua kama alikua nao but mwisho wa siku akaanza kuugua?
 
Mm nilikah mwaka mzima kbsa kiss na mkasa ckumla yule manzi ila nilipiga vidole San yaani nakuja kuambiwa Ni muhaadhirika nilidata mazima na sikupima kbsa nikiofia kujuwa nimeunaza had pale demu wangu mmoja kuja kushika mimba na kuzaa kbsa ndio ikawa pona yangu
 
Nina mademu wawili. Wote wana huo ukimwi wenu feki tena kwa kuwapima mwenyewe kwani walikuwa hawaamini kwamba naweza kuwa nao ili hali wao ni positive mm negative. Nakung'uta kavu na niko sawa kabisa

Endelea tu kukung'uta
 
Back
Top Bottom